Mabilioni ya ruzuku kwenye mafuta bora yangefanya kazi nyingine tu

Mabilioni ya ruzuku kwenye mafuta bora yangefanya kazi nyingine tu

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Nasikitika nilichogundua Ugumu wa maisha siyo kwa wote

Kuna wengine kama wale wanawekewa mafuta kwenye gari serikali ,wanaletewa vyakula nyumbani na serikali
watoto wanasomeshwa na serikali ,hawa wakisikia mafuta kupanda bei wanaona kama hadithi tu.

Nchi isingepitiwa na bahari hii ingekuwa kama jehanamu,bilioni za ruzuku bora zingefanya kazii maana,watu wameongea mpaka wamechoka mwarobaini wa tatizo hili siyo ruzuku lakini kimya,tunasubiria nguvu ya UMMA ipaze sauti
 
Hii nchi unaambiwa haina wanyonge kwa sasa. Je, unaelewa maana yake?
 
Naunga mkono hoja. Hiyo ruzuku inaweza kutumika kabisa kama kichaka cha upigaji. Ifikie tu wakati tujifunze kupitia ile EPA/Escrow!
 
%60 ya bei ya mafuta ni kodi na tozo mbalimbali ivyo tatizo wanalijua sema ndo hivyo sihasa za nji hii.
 
Hizi billioni 100 kila mwezi zingetumika km ruzuku kupunguza gharama za kufunga mfumo wa Gas ktk magari, na kufunga mifumo ya Gas ktk vituo kila mkoa hii bei ya mafuta wala isingetuumiza ht wakipigana miaka 10 non stop.
1. 100B za mwezi June zingejenga vituo kila wilaya.
2. 100B za mwezi July tunge subsidize uwekaji mfumo wa Gas ktk Maroli na Mabasi yote ya mikoani.
3. 100B za mwezi August hizi zikafunge mfumo wa Gas kwa magari yote ya serikali.
4. 100B mwezi Sept kwa Magari binafsi.
How do we get our money back?
Km mtungi unauzwa 17k uuzwe 20k ili kurudisha gharama za kifunga mfumo...
As of now hatujui vita itaisha lini or tutatoa ruzuku kwa muda gani.
 
Hizi billioni 100 kila mwezi zingetumika km ruzuku kupunguza gharama za kufunga mfumo wa Gas ktk magari, na kufunga mifumo ya Gas ktk vituo kila mkoa hii bei ya mafuta wala isingetuumiza ht wakipigana miaka 10 non stop
Good enough
 
Back
Top Bottom