Mabilioni ya shilingi yamwagwa kujenga barabara Kigoma

Sio mjuzi wa hii barabara ila ndio inayounganisha mkoa wa kigoma na jiji LA Mwanza Kwa njia ya Lami kupitia nyakanazi? Sababu navyojua hiyo bara bara ilikuwa na mkandarasi tayari, au ni nyingine?
Mkandarasi aliyekuwapo (Nyanza Contractors aka Magu) yeye anaishia hapo kijiji cha Kabingo, urefu wa kama 60km hivi kutoka Nyakanazi. Ila ameteseka sana na hiyo barabara tangu 2015 bado haijaisha! Hiki kipande wanachopewa Wachina kilikuwa kinasubiri uchaguzi mkuu. Kuisha kitategemea maamuzi ya wananchi wa Kigoma, wakitumia haki yao kikatiba haitaisha mpaka itafika 2025!
 
Kafulila atakua hautaki huu mradi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilikuwa nadhani utasema kwanini mradi huu uanze kutekelezwa wakati kampeni za uchaguzi zinakaribia na hivyo ni njama za CCM kuchukua jimbo lako la uchaguzi!
 
Hiko kipande cha Manyovu - Kasulu kitapita katika wilaya yetu ya buhigwe!
Ikikamilika kuna fursa nimezitega mitaa ile, hata ikichukua miaka mitano, nimeshaseti mitambo yangu.
Imana ishimwe chane!
 
Hahaha, kumbe unajua magu ana mkono wake hapo! Nshaskia hii kitu bana!
 
So cha nyanza wenyewe tayari au bado wanaendelea na ujenzi....pia mbona gharama za ujenzi kubwa sana? Au hiyo barabara INA milima mingi?
 
So cha nyanza wenyewe tayari au bado wanaendelea na ujenzi....pia mbona gharama za ujenzi kubwa sana? Au hiyo barabara INA milima mingi?
Vijito na mito ni mingi mno sehemu kubwa ya ukanda ule mikima ni kuanzia Kasulu Rusunwa hills ni balaa, kibigwa, heru juu mpaka Manyovu centre/Mnanila
 
So cha nyanza wenyewe tayari au bado wanaendelea na ujenzi....pia mbona gharama za ujenzi kubwa sana? Au hiyo barabara INA milima mingi?
Kipande cha Nyanza wapo wanamalizia. Nafikri kufika wakati wa kampeni watakuwa wanakabidhi sasa! Inawezekana ni hiyo miinuko mingi na kona nyingi nyingi kwenye hiyo barabara, ingawa miinuko yenyewe siyo milima yenye mawe!
 
Acha Ujinga wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu lini barabara ya kigoma Nyakanazi ikapita Manyovu?
Hicho kipande cha Manyo-vu no kutoka Kasulu - Manyovu kupitia Buhigwe (wilaya mpya). Kikifika manyovu kinaungana na ile ya kwenda Kigoma kupitia Mwandiga! In ramani nzuri maana inatoa fursa na kwa watu wa Buhigwe kupata lami. Kumbuka ile ya Kigoma-Kasulu imeshakamilika, kwa hiyo zitaungana hapo Kasulu mjini!
 
Zittoooooo

Njoo huku wanajenga barabara ya mkoani kwako mwaka wa uchaguzi ili ushindwe ubunge. Tafadhari nenda wingereza na ujerumani upinge mradi huu kwani ni mbinu mbovu ya kukuondosha katika ubunge. Hii ni rushwa kwa wapiga kura.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya miundo mbinu katika ubora wake
 
Huku ndio hela zinatakiwa kwenda sio kwenye ma dreamliner

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…