Mabilioni ya Urusi yaliyotaifishwa kupelekwa Ukraine, yaani $300 billions

Mabilioni ya Urusi yaliyotaifishwa kupelekwa Ukraine, yaani $300 billions

Huyo anayeogopwa mbona hatii mguu kama alivyotia Syria, Libya, iraq nk nk?

Mmechukua au mpo ktkt mkakati wa kisheria kujimilikisha baabda ya kuishiwa feda za kufadhiri vita ya Ukraine matokeo ya chumi zenu kuanguka

Aliogopwa mpaka wakamuomba Zelensky aihame nchi ila akakomaa na kugeuza kibao, kwa sasa hivi Urusi inapelekewa moto na kataifa yaani kiasi kwamba hamna sababu hata ya taifa lingine kusaidia kitu, juzi hadi imeanza kusema italazimika kutumia nyuklia.
Hata hivyo hela zinachukuliwa na zimechukuliwa nyingi tu, labda waarabu wenu wamsaidie na hela.
 
point yangu !! huu muda unaotumia kushopokea western ungeutumia katka kupigania masilahi ya nchi zako za africa, na injustice na racial segregation zinazoendelea,,, na vita zilizopo africa zinazochochewa na hao mabwana zako wa ulaya

Maslahi yangu yapo salama sina haja ya kuyapigania, kwa sasa Urusi apokee kichapo maana ndiye alikua anasaidia sana yale magaidi yenu.
 
Jameni $300B sio hela ndogo, ni ndefu kinoma yaani itabidi uunganishe uchumi wa Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, DRC na bado ubaki na salio....
============

The US and European partners are studying the legal basis for using about US$300 billion of frozen Russian assets to restore Ukraine.
Quote from Blinken: "My own view is you broke it, you bought it. And so the Russians having broken it, they ought to pay for it. And one way to do that would be through the use of these assets. We have to make sure that there is a legal basis to do that. And as I said, since most of the assets are in Europe, Europeans also have to be convinced that there’s a basis to do it."

Details: Blinken said the amount of frozen assets was US$300 billion.

Blinken also added that if Russia is allowed to do what it is doing with Ukraine and does not receive any punishment, it will send a signal around the world to countries that are going to start aggression that they can get away with it. "It’s opening a Pandora’s box of conflict. And in that kind of world, a world of conflict, a world of aggression, that’s not going to be good for anyone".

Blinken believes that in this world, the US would always be drawn into a conflict, and it would be much more expensive than supporting Ukraine.
Mali ya babu jinga wacha iteketee, Na zile silaha zilizokwapuliwa Iran nazo pia zinaenda kuwatengeneza hao hao ndugu zao wa damu russia
 
Aliogopwa mpaka wakamuomba Zelensky aihame nchi ila akakomaa na kugeuza kibao, kwa sasa hivi Urusi inapelekewa moto na kataifa yaani kiasi kwamba hamna sababu hata ya taifa lingine kusaidia kitu, juzi hadi imeanza kusema italazimika kutumia nyuklia.
Hata hivyo hela zinachukuliwa na zimechukuliwa nyingi tu, labda waarabu wenu wamsaidie na hela.
Nchi moja imepambana na nchi 30 ukijumlisha na NATO. Na nchi zote 30 kuishiwa silaha na fedha usifikii ni jambo la mchezo. Mwamba Putin ni dude moja kubwa sana na halitakuja kusahaurika kwenye historia ya dunia
 
Nchi moja imepambana na nchi 30 ukijumlisha na NATO. Na nchi zote 30 kuishiwa silaha na fedha usifikii ni jambo la mchezo. Mwamba Putin ni dude moja kubwa sana na halitakuja kusahaurika kwenye historia ya dunia

Heheheehe ona mnafarijiana huko, mwambieni huyo mtume wenu avamie kainchi kamoja ka NATO ndio uone akifutika, yaani hapo kainchi jirani kamemshinda mpaka leo anafukuziwa na kutema ardhi licha ya kutumia nguvu zake zote kasoro manyuklia tu.
Ni aibu sana....

A324BBEF-12E5-409E-A0CB-7355E922EA2A_w1080_h608_s.png
 
Pesa ya Mrusi kila anaye ichukua itamtokea puani Mrusi huwa hasamehe
 
Unaonaje umshauri Putin wachape hao mashoga? 😂😂
Mpaka muda huu wanachapwa balaa...!!!Kuunguza vifaa vya kivita zaidi ya elfu 5, chukulia vifaa vya hawa wenzetu huwa ghali sana, ni fimbo hasa.
 
Heheheehe ona mnafarijiana huko, mwambieni huyo mtume wenu avamie kainchi kamoja ka NATO ndio uone akifutika, yaani hapo kainchi jirani kamemshinda mpaka leo anafukuziwa na kutema ardhi licha ya kutumia nguvu zake zote kasoro manyuklia tu.
Ni aibu sana....

A324BBEF-12E5-409E-A0CB-7355E922EA2A_w1080_h608_s.png
Pole sana
 
Pole sana

Ungenipa pole siku za ule msafara mliokua mumetuaminisha ndio kiama kwa Ukraine, niwe mkweli nilikua mojawapo wa tuliokua tunakosa usingizi, ila kwa namna ulifyekwa na wabeba javelin, yaani Mrusi katumia mbinu za WWII kwa dunia ya leo...

20220305_EUP511.jpg



im-501678
 
Hilo sio rahisi kama unavyolichukulia maana hata Russia ana assets zao nyingi tu, kingine Putin alisema wame earn 2x ya frozen assets.
 

Attachments

  • IMG_2756.jpeg
    IMG_2756.jpeg
    101.1 KB · Views: 1
ilmu ya dunia bro, kajielimishe, yaani hapo mpo mnashabikia Urusi kuiba ardhi ya watu na kusambaratisha nyumba zao, sijui hiyo dini huafundisha nini haswa.
Hela yote ya Urusi lazima itaifishwe ikalipe kila kitu na hata mali binafsi ya Putin tunaisaka.
Sema watu weusi tunashida kubwa sana
 
Hayo mataifa umetaja hapo yalijiharibu kwa mizuka ya kijinga ya dini ya mwarabu, ila kwenye huu ugomvi Urusi imeikuta nchi ya watu na kuiba ardhi na kusambaratisha makazi ya watu, lazima hela zao zitaifishwe.
Sjui hata una Elimu gani
 
Hapo sasa sawa, maana Ukraine atakuwa na pesa kununua Silaha zingine kutoka magharibi. Russia na China lazima wafungwe speed governor. Na zile bunduki na risasi za Irani zipelekwe pia Ukraine. Wakitaka askari waje tuwape UVCC wapelekwe huko pia.
 
"Sema lazima ziibiwe..." Hata hivyo, nakutahadharisha Russia akiamua jambo lake hatanii!!! Jana katoa maelezo yayojitosheleza nakushauri uyapitie kwa utulivu, Utapata ujumbe ninaojaribu kukufikishia hapa.
Urusi ni jibwa kibogoyo huo ujumbe unakuhusu wewe tu sio mabeberu.

Beberu halitishwi na jumbe za urusi coz linamambo mengi ya kufanya.
 
Back
Top Bottom