Huyo anayeogopwa mbona hatii mguu kama alivyotia Syria, Libya, iraq nk nk?
Mmechukua au mpo ktkt mkakati wa kisheria kujimilikisha baabda ya kuishiwa feda za kufadhiri vita ya Ukraine matokeo ya chumi zenu kuanguka
point yangu !! huu muda unaotumia kushopokea western ungeutumia katka kupigania masilahi ya nchi zako za africa, na injustice na racial segregation zinazoendelea,,, na vita zilizopo africa zinazochochewa na hao mabwana zako wa ulaya
Mali ya babu jinga wacha iteketee, Na zile silaha zilizokwapuliwa Iran nazo pia zinaenda kuwatengeneza hao hao ndugu zao wa damu russiaJameni $300B sio hela ndogo, ni ndefu kinoma yaani itabidi uunganishe uchumi wa Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, DRC na bado ubaki na salio....
============
The US and European partners are studying the legal basis for using about US$300 billion of frozen Russian assets to restore Ukraine.
Quote from Blinken: "My own view is you broke it, you bought it. And so the Russians having broken it, they ought to pay for it. And one way to do that would be through the use of these assets. We have to make sure that there is a legal basis to do that. And as I said, since most of the assets are in Europe, Europeans also have to be convinced that there’s a basis to do it."
Details: Blinken said the amount of frozen assets was US$300 billion.
Blinken also added that if Russia is allowed to do what it is doing with Ukraine and does not receive any punishment, it will send a signal around the world to countries that are going to start aggression that they can get away with it. "It’s opening a Pandora’s box of conflict. And in that kind of world, a world of conflict, a world of aggression, that’s not going to be good for anyone".
Blinken believes that in this world, the US would always be drawn into a conflict, and it would be much more expensive than supporting Ukraine.
US and EU look for legal grounds to transfer $300 billion of Russian assets to Ukraine â Blinken
The US and European partners are studying the legal basis for using about US$300 billion of frozen Russian assets to restore Ukraine.www.pravda.com.ua
Nchi moja imepambana na nchi 30 ukijumlisha na NATO. Na nchi zote 30 kuishiwa silaha na fedha usifikii ni jambo la mchezo. Mwamba Putin ni dude moja kubwa sana na halitakuja kusahaurika kwenye historia ya duniaAliogopwa mpaka wakamuomba Zelensky aihame nchi ila akakomaa na kugeuza kibao, kwa sasa hivi Urusi inapelekewa moto na kataifa yaani kiasi kwamba hamna sababu hata ya taifa lingine kusaidia kitu, juzi hadi imeanza kusema italazimika kutumia nyuklia.
Hata hivyo hela zinachukuliwa na zimechukuliwa nyingi tu, labda waarabu wenu wamsaidie na hela.
Nenda bandiko la kwanza la uzi huu utapata maelezo AsanteWameibaje unaweza kutupa uthibitisho ili tuamini kwamba sio stori za kwenye vijiwe vya kahawa.
Nchi moja imepambana na nchi 30 ukijumlisha na NATO. Na nchi zote 30 kuishiwa silaha na fedha usifikii ni jambo la mchezo. Mwamba Putin ni dude moja kubwa sana na halitakuja kusahaurika kwenye historia ya dunia
Unaonaje umshauri Putin wachape hao mashoga? 😂😂Sema hela zilizoibwa na US na wenzake kutoka akiba ya Russia kuliwa kupitia kisingizio cha kupewa Ukraine!!! Utaeleweka na utakuwa mkweli.
Mpaka muda huu wanachapwa balaa...!!!Kuunguza vifaa vya kivita zaidi ya elfu 5, chukulia vifaa vya hawa wenzetu huwa ghali sana, ni fimbo hasa.Unaonaje umshauri Putin wachape hao mashoga? 😂😂
Pole sanaHeheheehe ona mnafarijiana huko, mwambieni huyo mtume wenu avamie kainchi kamoja ka NATO ndio uone akifutika, yaani hapo kainchi jirani kamemshinda mpaka leo anafukuziwa na kutema ardhi licha ya kutumia nguvu zake zote kasoro manyuklia tu.
Ni aibu sana....
Pole sana
Acha kujitoa ufahamuUrusi iliogopwa hapo awali ila hii ya sasa hata JWTZ wanaipiga, kwa taarifa zako hela za Urusi zimeshachukuliwa.
Sema watu weusi tunashida kubwa sanailmu ya dunia bro, kajielimishe, yaani hapo mpo mnashabikia Urusi kuiba ardhi ya watu na kusambaratisha nyumba zao, sijui hiyo dini huafundisha nini haswa.
Hela yote ya Urusi lazima itaifishwe ikalipe kila kitu na hata mali binafsi ya Putin tunaisaka.
Sjui hata una Elimu ganiHayo mataifa umetaja hapo yalijiharibu kwa mizuka ya kijinga ya dini ya mwarabu, ila kwenye huu ugomvi Urusi imeikuta nchi ya watu na kuiba ardhi na kusambaratisha makazi ya watu, lazima hela zao zitaifishwe.
Urusi ni jibwa kibogoyo huo ujumbe unakuhusu wewe tu sio mabeberu."Sema lazima ziibiwe..." Hata hivyo, nakutahadharisha Russia akiamua jambo lake hatanii!!! Jana katoa maelezo yayojitosheleza nakushauri uyapitie kwa utulivu, Utapata ujumbe ninaojaribu kukufikishia hapa.
Muda utasema...!!! Lakini, ninauona wakati huko mbele huyu beberu atajing'oa pembe zake bila gazi ili ajifananishe na sungura. Kisa eti akimbilie shimoni kumkwepa Dubu!!Beberu