Mabilioni yaliyomwagwa kukarabati uwanja wa Mkapa mbona bado uwanja mbovu?

Mabilioni yaliyomwagwa kukarabati uwanja wa Mkapa mbona bado uwanja mbovu?

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Zaidi ya mwaka sasa umepita, Tangu uwanja wa Mkapa ulipoanza kufungiwa mara kwa mara kwa ajili ya marekebisho na kupelekea baadhi ya mechi muhimu kuahirishwa kwa zaidi ya mwaka sasa. Kwa kipindi chote hicho, na kwa mabilioni yaliyomwagwa pale, Tulitarajia uwanja angalau uwe Pitch yenye quality ya viwango vya juu kama viwanja vya Ulaya tunavyoona, uwanja uwe na double electronic LED displays, moja perimeter kuzunguka uwanja na zingine kuzunguka juu, kama ilivyo kwenye uwanja wa Amahoro, uliopo Kigali, Rwanda.

Badala yake tumeshuhudia katika derby ya Kariakoo, uwanja hauna quality, pembeni wameweka mabango yao ya mabati ya "1X BET" pitch mbaya, viti vingi bado vibovu! nk.

Maboresho gani yamefanyika kwa mabilioni tuliyoelezwa hapo awali?

Wahusika watupatie maelezo.
 
Zaidi ya mwaka sasa umepita, Tangu uwanja wa Mkapa ulipoanza kufungiwa mara kwa mara kwa ajili ya marekebisho na kupelekea baadhi ya mechi muhimu kuahirishwa kwa zaidi ya mwaka sasa. Kwa kipindi chote hicho, na kwa mabilioni yaliyomwagwa pale, Tulitarajia uwanja angalau uwe Pitch yenye quality ya viwango vya juu kama viwanja vya Ulaya tunavyoona, uwanja uwe na double electronic LED displays, moja perimeter kuzunguka uwanja na zingine kuzunguka juu, kama ilivyo kwenye uwanja wa Amahoro, uliopo Kigali, Rwanda.

Badala yake tumeshuhudia katika derby ya Kariakoo, uwanja hauna quality, pembeni wameweka mabango yao ya mabati ya "1X BET" pitch mbaya, viti vingi bado vibovu! nk.

Maboresho gani yamefanyika kwa mabilioni tuliyoelezwa hapo awali?

Wahusika watupatie maelezo.
Kwani huoni huko barabarani magali yenye uzito mkubwa
 
Yn mm mpaka sasa sijaona utofauti wowote wa uwanja ulivyokuwa mwanzo na sasa.
 
Zaidi ya mwaka sasa umepita, Tangu uwanja wa Mkapa ulipoanza kufungiwa mara kwa mara kwa ajili ya marekebisho na kupelekea baadhi ya mechi muhimu kuahirishwa kwa zaidi ya mwaka sasa. Kwa kipindi chote hicho, na kwa mabilioni yaliyomwagwa pale, Tulitarajia uwanja angalau uwe Pitch yenye quality ya viwango vya juu kama viwanja vya Ulaya tunavyoona, uwanja uwe na double electronic LED displays, moja perimeter kuzunguka uwanja na zingine kuzunguka juu, kama ilivyo kwenye uwanja wa Amahoro, uliopo Kigali, Rwanda.

Badala yake tumeshuhudia katika derby ya Kariakoo, uwanja hauna quality, pembeni wameweka mabango yao ya mabati ya "1X BET" pitch mbaya, viti vingi bado vibovu! nk.

Maboresho gani yamefanyika kwa mabilioni tuliyoelezwa hapo awali?

Wahusika watupatie maelezo.
Mfumo wa manunuzi ni tatizo
 
Una hakika ukarabati umeshaanza tayari? Mie najua mambo hayajaanza. Usikute nilipitwa matukio.

Na inawezekana kabisa kiasi hicho kisitoshe hata maandalizi tu ya awali kabla ya ukarabati wenyewe.

Karibu sana Tanzania.
 
Back
Top Bottom