Usichanganye mambo yanga akiwa bingwa au akiwa wa pili anapata bonus. Ila asipokuwa top 2 inamaana hatopata hiyo bonus.Kwa hiyo huo mkataba ikitokea yanga hajachukua taji la ligi kuu au nafasi ya pili kwa miaka 10 Yanga atapata 0?
Akili zenu ni shida sana
Unajua maana ya bonus?Ama kweli utopolo ni MATAAHIRA hiyo pesa ya haki ya matangazo muliyoiuza kwa AZAM miaka 10 hata musipobeba ubingwa lazima wapewe sasa utapigiaje hesabu ni malipo ya ubingwa?
Watu wamepindua mezaAzizi ki mbona anaekekea msimbazi
[emoji41]Baada ya kufanya mapinduzi kwenye kombe la ligi ya NBC kutoka kuwa kombe mpaka kuwa brenda ya juis nasikia fununu kuna mapinduzi mengine huko,watu wameachiwa kufuli tupu bila funguo,, ufunguo(ki)wahuni wamesepa nao[emoji23][emoji28]
Hahaha ya lini hiyo?
Funguo Gani??Hahaha ya lini hiyo?
Funguo mwenyew anataka unyamani
Kocha wa yanga mwenyewe katuma cv simba nyie endeleeni kujipa moyo tu mchezaji aache kwenda simba aende utopolo walioshindwa kumlipa ntabazonkiza.
Wa simba ni mapunguwani zombieMashabiki wa Yanga ni mataahira
Hawa hawa makolo au simba wa serengeti?Huyu mchezaji ameshanaswa na Simba
Huyu mchezaji ameshanaswa na Simba
Kolo Lilipewa Habari Na Fabrizio Kumwembe [emoji1787]View attachment 2257558
Naona yuko na kiongozi wa Simba!
@pwilo Wewe Kolowizard Njoo Tupeane Update Za Usajili Wa Ki Aziz Kutua Msimbazi Bhn Usijifiche [emoji23]Kocha wa yanga mwenyewe katuma cv simba nyie endeleeni kujipa moyo tu mchezaji aache kwenda simba aende utopolo walioshindwa kumlipa ntabazonkiza.
Mmmmh acha uongooo, hela za mtangazo mnalipwa kwa mwezi, kila mweziKuna mikataba miwili tofauti ya Adam
1.Mkataba kati ya Azam TV na TFF (TV Rights)-ambapo bingwa anapata milioni 500
2.Mkataba kati ya Azam TV na Yanga-Huu unahusu haki ya maudhui yote yanahusu Yanga,yanamilikiwa na Azam na Mkataba huo ni Wa Billion almost 30 kwa miaka 10.….…....ila kuna kipengele cha Bonuses endapo timu ikichukua ubingwa inapata Bonus ya Billion 3
Kuna kitu kinaitwa Bonuses kwenye hii mikataba,sportpesa kila mwaka wanaipa simba Bonuses za million 100 baada kufika robo fainali na kuchukua ligi kuu na FAMmmmh acha uongooo, hela za mtangazo mnalipwa kwa mwezi, kila mwezi
Tupe ushahidiHuyu mchezaji ameshanaswa na Simba