Mabinamu ya kweli haya jamani....

Mabinamu ya kweli haya jamani....

He! What is bht? BIHECHITII? Hata kutamka halivutii. Bihechitii? LOL! Afadhali Iribini.

weee jiangalie na kauli zako hizo!!! lako la kidhungumpaka wazee wakichaga wakashindwa kulitamka.....jina hilo bht unaflow tu..ulimi tambarareeeeeee
 
Mie simo,ugomvi wa mtu na shemejiye huwa hauingiliwi.
eeeh mwaya we chukua kikapu nenda marikiti, akinizidi namwitia compressor kisha tukipatana msosi uwe mezani tujichane
 
weee jiangalie na kauli zako hizo!!! lako la kidhungumpaka wazee wakichaga wakashindwa kulitamka.....jina hilo bht unaflow tu..ulimi tambarareeeeeee
kibluleiblulei tu(sore nimeintafia!)
 
Hizi mada za leo kwenye mahusiano zinastahili tuzo. Zinagusa kila kona na kila mtu. Nimejifunza Kumbe nikioa watoto wangu wote watapata majina kutoka kwangu. Nani anataka presha baadae bwana.

Halafu wife anayempa mtoto wa kiume jina la EX wake si kuna wakati anamtamani hata mtoto wake akimkumbuka huyo wa zamani wake. Na ndio maana we have to take care kwa watoto wetu

Sasa kama husband naye akimpa mtoto wa kike jina la kicheche wake wa zamani hapo inakuwaje?

Duh! Ndoa
 
hahahah Xpin hebu acha maskhara bwana mie mbado kumshitukia ila nimekumbana na discusion hapa imezua utata home kwa mtu eti amehisi wife kampa mtoto jina la ex-boyfriend wake hahahahah


Hapo naua mtu! kesi baadaye
 
Back
Top Bottom