Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo hapa kwa mangi uvichukue






[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna mwamba wa kuitwa DeepPond kila siku anastori ya kutendwa na wanawake.
Aka! Si unielekeze hapa jamanNjoo hapa kwa mangi uvichukue![]()
Ngoja tumalizie ufufuko wa bwanaUmejuaje wanatunga nyui za uongo?
Unataka tukutajie ili uwafanye nini?
Mbona wewe haujamtaja hata mmoja?
Tunawaombea woteMsitajee marehemu tu
Unamtaka yupi hapoAka! Si unielekeze hapa jaman
Amen wasamehewe kwa kutudangangaTunawaombea wote
[emoji16][emoji16][emoji16]Jamaa nishai sana kuna uzi mmoja alidai alijipiga copy mwili wake.Mwili mmoja ukabaki ndani nakala ikaenda kuzurula hukoo.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Jf wote ni waongo siku ya kwanza kujiunga jf nilijikuta mimi ndo maskini pekee wengine wote wanaishi expensive life
Hapa duniani ukiwa siriazi sana ni tatizoJamii intelligence nako kumevamiwa siku hizi ,, fix zimekuwa nyingi sana kule,, WANAJIJUA
😂😅Huyo na kukurupuka kwake km braza K
Huyo memba ni mbigwa wa kulikeleo ume-comment kwa mara ya kwanza nilishazoea ww ni kulike tu
Jamaa lako la masufuria,Limelimwa tena ban sijui limeomba tena buku tatu kwa nani? Mshauri akirudi atulize kiberenge ..nmecheka sana.Naskia skuizi anatembeza masufuria na vijiko mtaani kwake🤣😂😁😁