Mabingwa watarajiwa Young african leo Dimbani, mashabiki wa Simba waongoza katka ununuaji wa ticketi!!

Mabingwa watarajiwa Young african leo Dimbani, mashabiki wa Simba waongoza katka ununuaji wa ticketi!!

Wanchojisahau Yanga ni kwamba Mwinyi Zahera aliongoza mzunguko wa kwanza wote akiwa kileleni huku akiwa hajapoteza mechi...mpaka pumzi zilipowakata mzunguko wa pili na kujeruhiwa na Kijana (el capitain) Jacob Massawe kutoka timu ya Stendi United ya mkoani Shinyanga,halo iliyopelekea Yanga kushuka na kuelekea kwenye nafasi yao huku wakiwapisha mabingwa Simba ambao kwa muda walikua na viporo kutokana na majukumu ya kuliwakilisha taifa kwenye michuano ya kimataifa ambapo kwa bahati mbaya walitolewa kwenye hatua ya robot fainali kitu ambacho hakikutarajiwa na watanzania walio wengi pamoja na Afrika kwa ujumla....kwani wengi waliamini timu hiyo ambayo alitokea Mbwana Samata... ambaye in mchezaji wa kwanza East Afrika kuwa mchezaji bora Afrika pia kuwa mfungaji bora wa ligi ya mabingwa...ingeweza kuwatoa Mabingwa hao wa zamani wa club ubingwa Afrika Tp Mazembe.

My take; Furahini sasa Yanga na mshone madera na vijora vingi kweli...kwa maana siku yaja mwenye nafasi yake ya kwanza atakuja kama Mwizi na kuichukua (Simba).
Na hapo ndipo kutakua na vilio na kusaga meno na kuilaumu TFF as if ndo imemsajili Nchimbi badala ya Miquesson...au Yacouba badala ya Chama....Siku hiyo mtalia na kusaga meno huku mkisema ni bora tungemsajili Prince Dube kuliko Sapong na hakutakuwa na muda tena....wape salaam atakua kimya huku Bumbuli akiwa mkali San kuongea na waandishi...time will tell.
 
Bingwa mtarajiwa tena.....Kwani miaka 10 imeshaisha...? Nyie Utopolo si mlishaelezwa Simba anaenda kuwa Bingwa kwa miaka kumi MFULULIZO ?...
 
Bingwa mtarajiwa tena.....Kwani miaka 10 imeshaisha...? Nyie Utopolo si mlishaelezwa Simba anaenda kuwa Bingwa kwa miaka kumi MFULULIZO ?...
yani
SIMBA NA MASHABIKI WAKE HAMNAZO, ETI MIAKA KUMI?? HIYO LIGI yA MO au??
yanahuzunisha mfanyayo😂😂[/SPOILER][/SPOILER]
 
Hizo hela wanazonunulia tiketi wangechangia bakuri lao la 300m faini kutoka FIFA..na la Morrisson linakuja FIFA hawataki ujinga
Hiyo pesa nishaongea na Mo asiilipe yeye,nitailipa mimi shabiki kindakindaki wa mikia nambari moja kutoka Puerto Rico republic
 
Hiyo pesa nishaongea na Mo asiilipe yeye,nitailipa mimi shabiki kindakindaki wa mikia nambari moja kutoka Puerto Rico republic
nasikia [ISPOILER ]MO [/ISPOILER] Amesema atajipigapiga alipe 😂😂
 
Wale mafundi wa kusakata kabumbu africa mashariki na kati, wanajangwani,kipenzi cha watanzania wapenda soka,Dar es salaam young african tanzania,leo wanatarajia kuwa na mechi kali kati yao na wababe wa mkoa wa shinyanga Mwadui fc.,ikiwa ni mwendelezo wa ligi kuu Tanzania bara.

Karibia 78% ya maandalizi ya game hiyo kubwa yameshafanyika huku wapenzi wa soka kutoka pande zote za Tanzania wakijiandaa kwenda kutazama burudaaani safi kutoka katika viwanja hivi.

Aidha katika ununuaji wa tiketi,inasemekana kuwa mashabiki wa timu moja hivi maarufu kama mikia fc😂😂, wamejitokeza kununua ticket za mchezo huo kwa wingi .hii imetokana na timu yao kusuasua katika ligi ya Vodacom.wengi wamechukizwa na tabia ya kijana konde boe kujipiga chenga uwanjani kabla ya kutafta matokeo timu ishinde.

CEO wa young african tanzania,amesema wao hawabagui mtu yeyote hivyo mikia wanakaribishwa sana ili wapate cha kijifunza kutoka kwa mabingwa hao wapya wa ligi ya Vodacom.

#assalam aleykum
Game id:526626
Time:saa 10:00
Venue: Mwadui complex

#jr
....Wape salaaaaaam
 
Utasubiri sana, Zama hazifanani we mbumbumbu.
Wanchojisahau Yanga ni kwamba Mwinyi Zahera aliongoza mzunguko wa kwanza wote akiwa kileleni huku akiwa hajapoteza mechi...mpaka pumzi zilipowakata mzunguko wa pili na kujeruhiwa na Kijana (el capitain) Jacob Massawe kutoka timu ya Stendi United ya mkoani Shinyanga,halo iliyopelekea Yanga kushuka na kuelekea kwenye nafasi yao huku wakiwapisha mabingwa Simba ambao kwa muda walikua na viporo kutokana na majukumu ya kuliwakilisha taifa kwenye michuano ya kimataifa ambapo kwa bahati mbaya walitolewa kwenye hatua ya robot fainali kitu ambacho hakikutarajiwa na watanzania walio wengi pamoja na Afrika kwa ujumla....kwani wengi waliamini timu hiyo ambayo alitokea Mbwana Samata... ambaye in mchezaji wa kwanza East Afrika kuwa mchezaji bora Afrika pia kuwa mfungaji bora wa ligi ya mabingwa...ingeweza kuwatoa Mabingwa hao wa zamani wa club ubingwa Afrika Tp Mazembe.

My take; Furahini sasa Yanga na mshone madera na vijora vingi kweli...kwa maana siku yaja mwenye nafasi yake ya kwanza atakuja kama Mwizi na kuichukua (Simba).
Na hapo ndipo kutakua na vilio na kusaga meno na kuilaumu TFF as if ndo imemsajili Nchimbi badala ya Miquesson...au Yacouba badala ya Chama....Siku hiyo mtalia na kusaga meno huku mkisema ni bora tungemsajili Prince Dube kuliko Sapong na hakutakuwa na muda tena....wape salaam atakua kimya huku Bumbuli akiwa mkali San kuongea na waandishi...time will tell.
 
Wale mafundi wa kusakata kabumbu africa mashariki na kati, wanajangwani,kipenzi cha watanzania wapenda soka,Dar es salaam young african tanzania,leo wanatarajia kuwa na mechi kali kati yao na wababe wa mkoa wa shinyanga Mwadui fc.,ikiwa ni mwendelezo wa ligi kuu Tanzania bara.

Karibia 78% ya maandalizi ya game hiyo kubwa yameshafanyika huku wapenzi wa soka kutoka pande zote za Tanzania wakijiandaa kwenda kutazama burudaaani safi kutoka katika viwanja hivi.

Aidha katika ununuaji wa tiketi,inasemekana kuwa mashabiki wa timu moja hivi maarufu kama mikia fc[emoji23][emoji23], wamejitokeza kununua ticket za mchezo huo kwa wingi .hii imetokana na timu yao kusuasua katika ligi ya Vodacom.wengi wamechukizwa na tabia ya kijana konde boe kujipiga chenga uwanjani kabla ya kutafta matokeo timu ishinde.

CEO wa young african tanzania,amesema wao hawabagui mtu yeyote hivyo mikia wanakaribishwa sana ili wapate cha kijifunza kutoka kwa mabingwa hao wapya wa ligi ya Vodacom.

#assalam aleykum
Game id:526626
Time:saa 10:00
Venue: Mwadui complex

#jr
Kwan hyo ni game ya kimataifa? Yanga na mambo ya kimataifa WAP na WAP
 
Back
Top Bottom