Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
- Thread starter
- #21
mabint hawajui wanachohitaji kwa mwanaume,je ni kweli??
Sio Kweli... kujua kwao wanataka nini ndo kinawaondoa bada ya kukikosa....
Wanapewa kila kitu lakini wanaondoka tu,asha usiwadifend kwa sababu tu wewe ni mwanamke,kama huamini is a matter of time then utaamini dear!