Mabinti huwa mnahitaji nini?

mabint hawajui wanachohitaji kwa mwanaume,je ni kweli??

Sio Kweli... kujua kwao wanataka nini ndo kinawaondoa bada ya kukikosa....

Wanapewa kila kitu lakini wanaondoka tu,asha usiwadifend kwa sababu tu wewe ni mwanamke,kama huamini is a matter of time then utaamini dear!
 
rafiki,kama unaona umempa kila kitu na bado unaona mambo hayaendi sawa jaribu kumuuliza anataka nini!i usually ay if we all treat our partner the same way tunavyo-treat wafanyakazi wenzetu ofisini ndoa zetu zingekuwa na amani.kaka,ww kama una-share ofc na mdada,huwezi kuenda kuchukua chai,ama gazeti ukaacha kumletea!wala akiangusha kitabu huachi kuokota haraka na akisema anaumwa utamuambia pole na kumsaidia.je unafanya the same kwa mwanamke anayekutandikia kitanda,kukufulia vinyasa,kusimamia nyumba yako na wanao na mama yako pia? hata ukienda kuchukua maji ya kunywa (kama hujamuagizi) huwezi kusema 'mpnz,nikuletee maji ama juice' manake itakuwa limbwata! guys,u ar clicking the wrong buttons!mi nakiri sina akili,ukinionesha kunijali kidogo tu ntakujali hadi ukanisemelezee kwa babako!
Wanawake nyie ni pasua kichwa thats why Mungu ametuambia tuishi na ninyi kwa akili,huwa hamjui mnahitaji nini,mnaweza kupewa vyote lakini mkahisi something is mising!
 
Wanapewa kila kitu lakini wanaondoka tu,asha usiwadifend kwa sababu tu wewe ni mwanamke,kama huamini is a matter of time then utaamini dear!


Eiyer siwadefend ndo ukweli, akiona anachotaka hakipo anaondoka mana ingekua otherwise ina maana angekalisha... sema kitu anacho taka in most hakiko constant.. wakati guys mnaweza msiwe constant your great strength ni kupotezea.. weakness yetu ni kwamba waweza nipa yooote but kimoja nikakosa ninachohitaji na kuondoka badala ya kukalisha ili nifanye compromise...

Enways mara nyingi wanawake tunapenda kushikilia na kung'ang'ania even if it is not the best for us, hivyo sio wanawake woote.
 
Kwa taarifa yako King'asti ukimcare sana ndo atakudharau wala kwenye apointment ndo hatokei,ukwa rud ndo afadhali kidogo,sio siri siwaelewi mabint na sio mimi tu,nimetoa mfano mmoja hapo wa Justine Timbarlake na wapo wengi tu na kuna watafiti wamesema mabint hawajui wanachohitaji kutoka kwa wanaume wengine wamesema hawahitaji kitu,hii inachanganya,kuwa mkweli utusaidie mama!!
 
huyo ni personality tu baba,ndo maana tunakuambia ukidisco muhas,usichome madaftari.kuna udsm,aru hadi s john's! muulize anataka nini,kuna tunaopenda friendship,kuna wanaopenda mikiki mikiki bila kugombana mambo hayaendi. pole,ukiskia kua uyaone ndo sio maghorofa kuna na vogue nazo za kushangaa!
 
Unachotakiwa uulize binadamu mnahitaji nini when it comes issue ya relationship na wala sio mabinti tu kwani hata wanaume mna the same thing, unaweza mpata mwanamke mrembo, mtulivu na mengine lakini unambwaga na kuenda kwa kimada. kama bosi wa IMF na wengine inabidi ujiangalie wewe mwenyewe ulimwachia nini yule wa kwanza na wengine kwenye listi yako wakati wote wana tabia na hulka tofauti?????
 
Asha D sikia always mtu anaejua anachotaka huwa anaonekana lakini sio kwa mabint,kwenu ni tofauti sana dear,faham nina ushahidi mwingi sana wangu mimi na wa rafiki zangu zaidi ya kumi,sijui kwako wewe lakini nashindwa kuamini kama kuna binti anaejiamini na kujitambua!
 


Unayosema ni kweli but the above red you are totally wrong... Hivi Eiyer unajua kua mara nyingi guys wenye bahati mbaya ya kupata binti wa namna hii kila mara ndo wale wale wanaotongoza the same variety... na haya mambo yanaenda na variety... kuna kila aina ya mabinti ikiwemo wanaojitambua... sijui unaposema binti umelenga umri gani... but wapo wanaojitambua.
 
Plz soma thread uelewe kisha uchangie vizuri,uliyosema hapo mabinti wanapewa lakini wanatoka nduki

Plz hata wewe soma maoni yangu uyaelewe, nimesema akigundua kuwa unagawa nafasi yake kwa mtu mwingine. Hawezi kutoka nduki bila sababu, lazima kuna sababu, inaweza kuwa hiyo niliyotaja au nyingine au zote. Kwani wewe ulihitaji jibu moja tu?
 
King'asti mpaka nimeamua kuwasema mabinti nimefanya uchunguzi,faham kuna tabia za watu binafsi na zipo za jumla,hii ni ya jumla,hujawahi kusikia kuwa wanawake wote baba yao na mama yao ni mmoja?Au mwanamke hata asome namna gani au awe na umri mkubwa namna gani huwa hana tofauti na binti anaevunja ungo?!
 
Asha D namuomba Mungu uendelee kuishi utakuja kunikubali,kwanza fahamu kwenye moja ya maandiko matakatifu wanaume tumeambiwa tuishi kwa akili na ninyi wanawake,but now days ni tofauti sana mnadai haki hivyo matatizo yamezidi,huwezi kuniambia wanaume zaidi ya 50 niliojadiliana nao including me wote tuna bahati mbaya this can't be dear!
 
i

Eiyer you are so set on your beliefs for you to understand and believe me inahitaji niwe na energy ya kutosha... inshallah iko siku nitajaribu kadri ya uwezo wangu...
 

Ulipo wewe ndo hawajiamini na kujitambua!!

Nwy kwa kuuliza mabinti wanahitaji nini hutopata jibu unalotaka maana mabinti hawafanani!Nnachohitaji mimi sio sawa na anachohitaji partner wangu AD au mwenzi wako....ndo maana unaona watu wengine wanakimbilia kua na mtu kwasababu ana pesa huku mwingine anakimbia...mwingine yuko na sharobaro wakati mwingine hata kusikia hataki.Hili swali huwezi kujibiwa collectively hata siku moja kwahiyo hata matokeo ya hako kautafiti kako usigeneralize!Ni sawa na unachotaka wewe kwa mwanamke ambae unadhani atafaa kua mke sii sawa na anachotaka jirani yako!
 
Plz hata wewe soma maoni yangu uyaelewe, nimesema akigundua kuwa unagawa nafasi yake kwa mtu mwingine. Hawezi kutoka nduki bila sababu, lazima kuna sababu, inaweza kuwa hiyo niliyotaja au nyingine au zote. Kwani wewe ulihitaji jibu moja tu?

Hakuna kugawa nafasi mtu unakuwa mwaminifu 500%lakini matatizo palepale best!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…