Mabinti, kuna la kujifunza hapa

Zile prado na range alizokuwa anahongwa kwa kiki alisababisha mademu wakawa wanatuona hatuna maana sisi tusio na IST za kuhonga.
At least aliwapandisha molari za kutafuta ili kuondoa unyonge.

Hata hivyo hayo yalikuwa ni maisha ya U_star na wema alipata jina kubwa kabila ya kufikisha miaka 20. Kwa hiyo sometimes huwa tunasahau kuwa pengine kuna makosa aliyafanya kutokana na umri lakini pia kukosa washauri wazuri kama vile ndugu zetu wanavyopotea kwa makundi mitaani

Alikuwa ni mdogo sana sanaa
 
Uzuri ni kwamba receipts zote zitatunzwa, wao waendelee kujiachia tuu
 
Akome 😂
Wanawake wakiwa warembo na wana pesa hua wanajisahau sana
Wema ni kielelezo kizuri sana kwa wanawake warembo, ilikua huwezi kuskiliza radio siku ikaisha bila kutajwa jina lake, hawa wasanii wakubwa waliwekwa bize sana na wema ila siku zimepita sasa na mambo yamebadilika jina lake imekua ni nadra sana kuliskia na ni kama wanaume wamempotezea flani hivi
 
Kama anahela inatosha mapenzi atanunua, wakimtukana awashtaki. Bado yuko mrembo
 
Sass hata hiyo "k" yako Si itakuwa mdebwedo imeishatembea kilometers zaidi ya trillion!
 
Kama alikiri kutoa mimba kadhaa, kwanini mamlaka hazijamchukulia hatua nahuku ni kosa kisheria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…