Mabinti, kuna la kujifunza hapa

Mabinti, kuna la kujifunza hapa

Alishinda 2006, hiyo ni miaka 19 iliyopita, ili asiwe 30+ inamaanisha alishinda akiwa na miaka 11View attachment 3213847
September 28, 1988 mpaka 2006 aalikua na miaka ngapi 18 ndio akachukua u-miss tz inamaanisha sasa ana miaka 36

Screenshot_20250125_201108.jpg
 
Aishi maisha yake atakua na furaha tu, sisi viumbe hatuna jema, hata akimpata huyo mtoto bado masimango yataendelea tu.

Shida ya wasanii ni kuishi maisha kufurahisha fans wao.
 
Nimepita pita huko mtandaoni nikakutana na hii video ya mwanadada wema sepetu a.k.a Tanzanian sweetheart akilia mtandaoni na kumwaga chozi la maumivu linaloashiria anapitia hatua ngumu sana ya maisha yake.

Sijajua hasa alikuwa specific na maumivu gani ila nakumbuka juzi ya juzi kuna on-line media interviewer alimuuliza swali kali sana na la kikatili kuhusu swala la wema kuwa na mtoto,swali ambalo wema sepetu alijikaza sana kulijibu kistaarabu ila macho na uso wake uligubikwa na huzuni mzito sana na muonekano wa aibu uliochanganyika na maumivu ya kutoneshwa hisia.

Asije akakudanganya mtu, furaha ya kila mwanamke by age 30+ ni kuwa na familia yake ya Baba,mama na watoto. Haya yasipotimia mwanamke huwa anakuwa katika msongo wa mawazo usiokwisha ambao huendelea kukua kadiri umri unavyokwenda.

Wema kama wanawake wengine anaonekana kupitia hiyo hali sasa kwasababu yupo nje ya wakati kwenye ndoa na familia. Wanafiki wanajitahidi sana kumfariji kuwa hakuna shida bado hajachelewa ila hata yeye anajua amefika kituni saa moja kasoro kupanda basi la saa kumi na moja alfajiri.

Huko juu hakutakuwa na wa kukutetea. Najua mnajifariji kuwa utakwenda nyumba ya ibada kupata rehema/neema za Muumba ili upate nafasi ila ukweli tunaojua wote kuwa kujutia sio jambo wakati wa hesabu ukifika kulipa ipo pale pale. Kama unabisha si ujaribu ujionee.

Sijui anachopitia ila najua anatamani aamke iwe ni ndoto kuwa katika wakati huu ili awe serious na kila anachoamua na kuweza kujenga njia kama wenzake ambao hawana michezo na maisha.

Baada ya kusema hayo niwatakie jioni njema na kuwasihi wale ambao bado wanaona wanaume tunawafuatilia,tunawadharau,tunawakejeli,tunawaponda waendelee hayo maisha ya kuruka ruka hovyo ili uzeeni waje kupewa hesabu ya ujanani.
Wema asipate presha aje kwangu wala hamna presha sijui ya kuzaa mie nampenda hivo hivo akiwa mgumba
 
Mtu kapaka make up na kajua simu ilipo halafu kurekodi na kupost halafu unasema ana machungu.

Lini mara ya mwisho ulijirekodi ukiwa unalia?

Alikuwa anatafuta public sympathy huyo. Mwenye machungu hawezi kukumbuka simu na kupost mitandaoni.
 
Pole yake
Kuna watu walisema fainali uzeeni... Yaani we rukaruka kama chura ila as the time goes on.. Utatulia tuu na itakuwa too late
 
Sijajua kama ni natural au ni michezo alicheza ikaleta madhara kwenye kizazi ila kukosa mtoto kutamuadhiri sana
Amekiri kutoa ujauzito mara kadhaa mbona.
 
Back
Top Bottom