Mabinti, kuna la kujifunza hapa

Mabinti, kuna la kujifunza hapa

Ndo mnavyojidanganya?? Wanaume mnapenda sana kutusemea wakati wenyewe tumetulia..!!
Sasa hata kama yakusikia hasikii hata kuona pia nayo hauoni? Tunadanganya jambo gani kwa mfano?
 
Msipende kuzungumzia maisha ya watu kirahisi tu huku hamna uhakika wa maandiko yenu!.
Eneo gani sasa na mambo yapo wazi kwamba tunamtungia story au?
 
Mbona km baadhi ya wanaume wamefurahia hbr hii kwa kukebei na wivu
Hatujafurahi tunasheherekea ukweli unapotimia. Kwan na wale watu wanaofanyia sherehe marehemu za jubilee au kuwakumbuka huwa wanafurahia si ni maadhimisho tu?
 
Aishi maisha yake atakua na furaha tu, sisi viumbe hatuna jema, hata akimpata huyo mtoto bado masimango yataendelea tu.

Shida ya wasanii ni kuishi maisha kufurahisha fans wao.
Maisha yapi sasa mzee?
 
Mwenye namba za wema anipe. Nipo tayari kusetlle nae kama mke na mume bila watoto
 
Nakumbuka alisema alitoa mimba mbili za Kanumba.

Afanye adoption tu hakuna jinsi ,bado mapema au amchukue Lola aishi naye tu.
 
Nakumbuka alisema alitoa mimba mbili za Kanumba.

Afanye adoption tu hakuna jinsi ,bado mapema au amchukue Lola aishi naye tu.
Kwanini mamlaka hazijamchukulia hatua? Maana kukiri illegal abortion ni kosa, unakuwa umejichoma mwenyewe.
 
Back
Top Bottom