Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The Math is not Mathing😂😂😂😂Alishinda 2006, hiyo ni miaka 19 iliyopita, ili asiwe 30+ inamaanisha alishinda akiwa na miaka 11View attachment 3213847
Piga ua, wema lazima awe na 40+Wema Sepetu yuko kwenye 30 au 40? Maana nimeanza kumsikia kitambo sana, ila Asijali hiyo ni mitihani tu ya dunia asikate tamaa
Sawa msema kweliNdio ukweli huo , sinaga unafki mimi.
Mbona mwenzio yamemshinda hadi amepandwa na depression kali sana 🤣🤣Ndo mnavyojidanganya?? Wanaume mnapenda sana kutusemea wakati wenyewe tumetulia..!!
Yaani kuna njemba zina mashine usiombe! Zinaingiza na kufumua mji wa uzaziAlikula bata na kizazi akaua
Kwanini mamlaka hazijamchukulia hatua? Maana kukiri illegal abortion ni kosa, unakuwa umejichoma mwenyewe.Nakumbuka alisema alitoa mimba mbili za Kanumba.
Afanye adoption tu hakuna jinsi ,bado mapema au amchukue Lola aishi naye tu.
Kutojali ninyi mnasema na mnamtakia niniMaisha yapi sasa mzee?