agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
Tamaa na starehe, utandawazi vinawaponza, hakuna anayewadanganya wanakurupukia tu mambo.
Labda!nakumbuka wakati Nina miaka 19 nilikuwa muoga ila vibint vya sikuhizi macho makavuu.Wazazi tubadili mbinu za kuwalea hawa watoto...tunatumia mbinu walizotumia baba zetu kipindi hakuna IG na FB.
Wazazi tubadili mbinu za kuwalea hawa watoto...tunatumia mbinu walizotumia baba zetu kipindi hakuna IG na FB.
Yani unaweza kukutana na mdogo wako ukampa shikamoo..Huku kwetu ndio usisemee nakwambia wapo majumbani kwao wanahangaika sana. Ukiwaona wamezeeka wananizid mpaka mm Dada yaoo inaumiza sana hawana future yeyote wamedanganya na wakipewa mimba wanakimbiwa .
Wanaume wanaowafanyia hivi mabinti sio vizuri.
Labda!nakumbuka wakati Nina miaka 19 nilikuwa muoga ila vibint vya sikuhizi macho makavuu.
Yani unaweza kukutana na mdogo wako ukampa shikamoo..
Nahisi kutokana na vyakula labda homoni za kupenda zimeongezeka kwa mabinti,
MmmmhNahisi kutokana na vyakula labda homoni za kupenda zimeongezeka kwa mabinti,
Kwa hiyo watu hawaogopi miaka 30?Mabint wengi wa 15-19 yrs wamezalishwa na kuachwa,wengi wao hawana kipato cha uhakika,hali ni mbaya huku mtaani kwetu sijui miaka kumi ijayo tutakuwa na kizazi cha aina gani.
Yani mpaka unajiuliza alidanganyika na nini hasa..Alafu ukiangalia walio wapa Mimba huwa nachoka kabisaaa