agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
- Thread starter
- #21
Muwaoe basi sio mnawaachia mzigoWabichiwabichi,majeshi yangu yote nimehamishia kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muwaoe basi sio mnawaachia mzigoWabichiwabichi,majeshi yangu yote nimehamishia kwao
Inawezekana lakini pia wanajazwa mimba na watoto wenzaoKwa hiyo watu hawaogopi miaka 30?
huwa wanasema condom zinawawasha sana.Mabint wengi wa 15-19 yrs wamezalishwa na kuachwa,wengi wao hawana kipato cha uhakika,hali ni mbaya huku mtaani kwetu sijui miaka kumi ijayo tutakuwa na kizazi cha aina gani.
Mitindo ya nini?Maitaji yameongezeka. Ukiachia ela ya bando wanaitaji na mitindo waonayo Fb nk
Kuna mmoja anasoma Chuo cha hotel ana 19 nadate nae najitahidi kumhudumia ila Pasua kichwa nataka nimwache ili akutane na wahuni anaowataka wamtie mimba aishi anavyotakaHuku kwetu ndio usisemee nakwambia wapo majumbani kwao wanahangaika sana. Ukiwaona wamezeeka wananizid mpaka mm Dada yaoo inaumiza sana hawana future yeyote wamedanganya na wakipewa mimba wanakimbiwa .
Wanaume wanaowafanyia hivi mabinti sio vizuri.
😀 😀 ni bora uzae na mtu anayejitambua au angalau uwe na kipato,wengi wameongeza mzigo kwa wazazi wao tu.Nashangaa sana.... Yaani sie wakubwa zao hatuna mpango wa kuzaa, wao sasa doooh [emoji29][emoji29][emoji29][emoji29]
Yani mpaka unajiuliza alidanganyika na nini hasa..
Utandawazi
Inasikitisha mnoo😀 😀 ni bora uzae na mtu anayejitambua au angalau uwe na kipato,wengi wameongeza mzigo kwa wazazi wao tu.
Jitahidi kumpa elimu tusiongeze idadi ya watoto wa mtaani.Kuna mmoja anasoma Chuo cha hotel ana 19 nadate nae najitahidi kumhudumia ila Pasua kichwa nataka nimwache ili akutane na wahuni anaowataka wamtie mimba aishi anavyotaka
Okipo siku utakutana na mjanja wako tu!
Nashangaa sana.... Yaani sie wakubwa zao hatuna mpango wa kuzaa, wao sasa doooh [emoji29][emoji29][emoji29][emoji29]