Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Kuna siku nilipanda bajaji na wanafunzi story walizokuwa wanaongea aibu niliona mimi.
Wanapenda ngono hatar Sana
Siku hizi wao Ndiyo wanatongoza wanaume
Kama Kawaida mwanaume hana hiyana wanatembeza dudu kama anakufa kesho

Duuh vijana wetu wana risk maisha Sana

Nani alaumiwe JIBU ni wazaz wanaharibu watoto Sana

Yaan msichana Mdogo anasema kisim...... kinawasha hatar hivi Kweli mtu kama huyu unamfanyaje hana aibu kabsaaa

Akimwambia acha huo ujinga saiv anakutukana

Kila mtu apambane na hali
 
Hali si nzuri mtaani binti below 25 anawatoto 3 na kila mtoto anababa yake ingawa mlezi ni mama yake na wamejaariwa majibu aisee unaeza juta kuhoji
Alafu awajifunzagi yani mimba ya kwanza labda twaweza sema ulikua hujui ila kinachosikitisha n bado anaendelea kuzaa miaka 25 kuwa na watoto wa3 na huna kipato cha maana kinachoeleweka ni kuwatesa watoto tu
 
Back
Top Bottom