Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Sh.ngapi unalipa?Kama kuna binti wa ef mbili humu na 99 antafute pm natafta house girl
Halafu unatafuta House girl au umri mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sh.ngapi unalipa?Kama kuna binti wa ef mbili humu na 99 antafute pm natafta house girl
Wamechakaa mkuu....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alivyochoka au unamaanisha nini
Yaaalah
Nimekaa na binti wa miaka 22 anasema huu mwaka hauwezi kuisha kabla hajabeba mimba and I was like wtf!? Kisa eti anaona umri unaenda bora azae kwanza
Mimi dada yake kikongwe hata kuzaa haipo kwenye ramani nimeshangaa mtoto wa 22 anasema kachelewa [emoji28]
Hilo sio la kusemaWamechakaa mkuu....
Sio kuachika hajawahi olewa kazalishwa tu hapo kwa Baba yake baadaye eti naye kungwi mie hata sitaki kusikia hizo habari
miaka 18 , 19 , 20Sh.ngapi unalipa?
Halafu unatafuta House girl au umri mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekaa na binti wa miaka 22 anasema huu mwaka hauwezi kuisha kabla hajabeba mimba and I was like wtf!? Kisa eti anaona umri unaenda bora azae kwanza
Mimi dada yake kikongwe hata kuzaa haipo kwenye ramani nimeshangaa mtoto wa 22 anasema kachelewa [emoji28]
Umefuraaaaahi
Mshauri sasa uone majibu yake utahama mtaa
Sawa nyenge zinasumbua ila kujidhibiti ni muhimu sana dada zanguNahisi kutokana na vyakula labda homoni za kupenda zimeongezeka kwa mabinti,
pande zipi hizo na mimi nijeMi hapa nimepanga na single maza wabichi kabisa kama 3 mi nawachora tu
Kichaa huyo pesa anazo?
Yuko sahihi kabisa
Na chamoto wanakipata, mwishowe mtoto naye anazaa mtoto mwenzie nako kanapata wajukuu mapema
Hiyo dhambi si mchezo ndugu yanguHivi kutoa mimba nako ni ngumu?
Hahahahahhaha muache ajifanye chiziBado anaunga unga bado hajachora ramani vizuri amlete na mwenzie wataishi vipi ati?
Yaani hapo daa hata sijui useme nini jamaniHili ndo chimbuko la vizazi aina ya amber ruty. Na hapo nae ana watoto idadi ya kutosha sijui anawapa malezi gani