Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Mabinti mliozaliwa miaka ya 2000s, nani anawadanganya?

Yuko sahihi kabisa
Nimekaa na binti wa miaka 22 anasema huu mwaka hauwezi kuisha kabla hajabeba mimba and I was like wtf!? Kisa eti anaona umri unaenda bora azae kwanza
Mimi dada yake kikongwe hata kuzaa haipo kwenye ramani nimeshangaa mtoto wa 22 anasema kachelewa [emoji28]
 
Wanajiita somo. Nimeshangaa juzi juzi.. mtu anajiita somo wkt yeye ni kaachika. Nikasema hii ndoa sijui kama itadumu. Maana alimfunda mke jinsi ya kukaa na mume ni single mother.. yaan na yeye kaachika.
Sio kuachika hajawahi olewa kazalishwa tu hapo kwa Baba yake baadaye eti naye kungwi mie hata sitaki kusikia hizo habari
 
Tamaa
Maadili mabovu

Kuna siku dogo wa 11 kanivutia waya anaongea mambo meusi kuliko dada yake.
Hadi shule kikatoroka
Nilikatukana kakaniogopa
 
Kichaa huyo pesa anazo?
Nimekaa na binti wa miaka 22 anasema huu mwaka hauwezi kuisha kabla hajabeba mimba and I was like wtf!? Kisa eti anaona umri unaenda bora azae kwanza
Mimi dada yake kikongwe hata kuzaa haipo kwenye ramani nimeshangaa mtoto wa 22 anasema kachelewa [emoji28]
 
Back
Top Bottom