Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Mambo ni aje wana JF!!!
Zamani wakati nakua na kujua Mapenzi nilidhani Wanaume peke yetu ndo ving'ang'anizi hata binti akikuambia hakutaki unakomaa nae hadi kieleweke lakini siku hizi Mabinti ni balaa unamwambia humtaki still anataka awe na wewe!!!!
Hivi hii ndo Haki sawa kwa wote au ndo mambo dunia ya sasa!!!!
nin mbaya mjomba?
aaaiiiii.... unajua saaana majambozi?????? mmmmh!!!! teh teh teh
Hhahaahaaa!!!Umenifurahisha lakini wengine hata hayo majambozi hawajapewa!!! Nini tatizo hebu tuambien wadada
aaah! mambo gan hayo? m' PM bhana! c o mnatokeana hivi laivu laivu, MBONA WABONGO MNAKOSA USTAARABU?me apenda wewe..ajua una....bt i do lav u ..UTANSAIDIAJE SASA LABDA?
siku hizi wana ujasiri chaliangu!
na wanatoa kweli.juzi nilikua chuo flani mwanza, nikatongozwa live.
af mwanamke akikataa hua anaonekana mwadilif, ila mwanaume akikataa
huonekana kama mwoga au mshamba, au weak.
aaaaiiiii, body inauzaaa????? teh teh
me apenda wewe..ajua una....bt i do lav u ..UTANSAIDIAJE SASA LABDA?
Hahahaa!! Acha wizi Romance!!!