Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Ukweli mchungu huu hawa gold diggers wamejaa huko I've seen this happen all the time and has happened to me aswell, unfortunately, even if she truly loves you, she'll still chase money and wealth
 
Kwa hiyo unatakaje kwangu ??mie nawambiaga mnatafuta watu sio halafu mnalaumu watu wote Sasa muelewekaje??
 
NENDA KKKT, RITA & MAHAKAMA ZA MWANZO KUNA TALAKA NA USURUHISHI WA NDOA HUKO.

JE HUJAJUA TALAKA NYINGI ZINATAOKEA HUKO.
Kesi ya talaka ni lazima ianzie mahakama ya mwanzo na siyo mahakama ya wilaya moja kwa moja?!
 
Kama wewe mwanaume nakuweka daraja la mvulana.
Mpaka leo unagawa watanzania kwa ukanda.
BAdo tu unakandia na kudidimiza wanawakeee?
Duh kazi ipo kwel kweli
Haja didimiza wanawake kasema kweli,tatizo lenu hamjui huyu ni mwanaume au mwanamke mnaona wote mko sawa
 
Wacha maneno yako ukweli every chagga woman only cares about the money. They are only in the relationship for the money
Kwa nini nyie tu? I know women out there who will love you for you and support you on your journey to create more wealth and to become a better man
 
Kwa hiyo unatakaje kwangu ??mie nawambiaga mnatafuta watu sio halafu mnalaumu watu wote Sasa muelewekaje??
Badilikeni...jamaa ameshauri vizuri tu .jifunzeni kupenda...hizi pesa tunazisaka Hadi mwisho wa maisha yetu...kuweni romantic, jifunzeni kukatika....ndio maana tukienda pwanu Huwa haturudi bara[emoji1787]
 
Ukioa Mmachame ukazzeka naye ujue wewe ni mume bwege. Kwani, atakuletea washikaji wake akiwaita kaka zake. Kwa wamachame hata kaka zake, wajomba zake na kila mtu anakula tu mradi atoe pesa babaangu. Ni wa hovyo kuliko hata mbwa. Kutokana na uhovyo wao, hata wanaume wengi wamachame wanapenda kuoa makabila mengine lakini siyo hawa vyangu wao. Hovyo, hakuna mfano japo si wote. Asipokuwa changu, atakuwa chawa au awe vyote. Hawa na wapare si wa kuoa hata kutongoza achia mbali kuoa
 
Badilikeni...jamaa ameshauri vizuri tu .jifunzeni kupenda...hizi pesa tunazisaka Hadi mwisho wa maisha yetu...kuweni romantic, jifunzeni kukatika....ndio maana tukienda pwanu Huwa haturudi bara[emoji1787]
Hatuna chakiwashauri
 
Naunganisha na maneno ya mzee wangu aliwai nisihi sana juu ya kuoa kaskazini, alinambia bora ukaoe mahala pengine lakini si kaskazini. Binafsi nimeshuhudia wanawake wa uko walivyo, hakuna komenti.

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Bora mseme maana Kuna watu ni wabishi
 
Je,ukienda pale Manyara hasa karatu [emoji739] babati
 
Haja didimiza wanawake kasema kweli,tatizo lenu hamjui huyu ni mwanaume au mwanamke mnaona wote mko sawa
WAtu hawasemwi kwa dini. Kabila ama kwa ukanda.
Tabia zinatengwa na hayooo
 
Acha makasiriko mkuu kwa sababu tu ya ex wako huyo wa kaskazin aliyekutosa kwa sababu ya tabia zako ila nakusihi nenda maeneo haya Dareda,mbulu,dongobesh,katesh hakika utakuja kunishukuru na kuona uzi wako ume base kwa wachaga pekee.
 
Acha makasiriko mkuu kwa sababu tu ya ex wako huyo wa kaskazin aliyekutosa kwa sababu ya tabia zako ila nakusihi nenda maeneo haya Dareda,mbulu,dongobesh,katesh hakika utakuja kunishukuru na kuona uzi wako ume base kwa wachaga pekee.
Watu wa maeneo hayo wapoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…