Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Wawapi ndio hawajashindikana ndugu tukaoe huko?
Unamzungumzia mwanamke alieumbwa na Mungu au ni wanawake mabinti aliejiumbw mwenyewe?
Acha kueneza chuki kuna watu wamewaoa na wanaishi nao, wana watoto na vijukuu.
Acha ukanda na ukabila sio silika yetu Watanzania
 
good message judge not you will not be judged.Ndio kusema mabinti wa kaskazini hakuna mwenye sifa za kuoa?
Nadhani hajawa judge bali ame condemn matendo yao kwenye mahusiano.
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Naunganisha na maneno ya mzee wangu aliwai nisihi sana juu ya kuoa kaskazini, alinambia bora ukaoe mahala pengine lakini si kaskazini. Binafsi nimeshuhudia wanawake wa uko walivyo, hakuna komenti.

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
... hujawakanda vizuri, Glory wangu yupo romantic mtanga akasome.!
Mtego huo. Fuatilia familia yake watazame kama kuna elements za kuishi vizuri na Wanaume maybe utakuwa umescore bingo. Otherwise ukiona elements za tofauti na upendo kwa familia yake then taratibu anza kujichomoa umalizane nae. Simba huwa hali majani sababu hawezi kuacha asili yake.
 
Zemanda There is quite difference between Tribalism..Attitude..Behaviour and Personality

Person personality aint intefear with person behaviour..There is a difference between a "selfish act" understood as an act intended to benefit the person who does it as well as other people, and a "selfish act" understood as an act intended to benefit the person who does it without regard to the wellbeing of anyone else. Only the latter types of selfishness need be condemned.

Being a Gold digger and being Chagga are quite different things[emoji1787]
Mpendwa why unatetea na sisi yametukuta?
 
Binafsi naona kila mtu atafute anaendana nae.
Kama mvivu mvivu nenda zako pwani katafute wavivu wenzio, kama unajua kutafuta pesa na upo smart upstairs nenda kwa wenye caliber hiyo. Kama unapenda ngumi mkononi unajua pa kupata wa aina hiyo.

Cha msingi kuwa makini. Mke/Mpenzi hatafutwi bar [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Kama una maadili yaliyonyooka tafuta aliyelelewa kwa maadili. Wenye maadili hawazunguki barabarani kama kuku wa kienyeji.
 
Back
Top Bottom