Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
Mshamba tuuu huyoWalimuona bogus wakampiga matukio anakuja kulia lia jf [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshamba tuuu huyoWalimuona bogus wakampiga matukio anakuja kulia lia jf [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulitakaje Sasa?? Natunasemwa vibaya ????Umeongea kwa kiburi sana hadi umenikera. Toka hapa. [emoji19][emoji19][emoji19] Mxiem
Si hao kwenye bajaji anasinzia!😂😂😂Hii verse imemaliza kila kitu mkuu[emoji3][emoji3]
yani wewe ukingia kwenye 18 ya kipimo ngebe itakuisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waitin kwa hamu hiyo zamu yangu.
Nitarudi baadaeMambo kama yapi hayo ulijifunza kijana?
Nadhani hajawa judge bali ame condemn matendo yao kwenye mahusiano.good message judge not you will not be judged.Ndio kusema mabinti wa kaskazini hakuna mwenye sifa za kuoa?
Yeah yaani kupuliza uji ambao hautakunywa si nikuchosha mdomo tu.Hahaha mambo yasiwe mengi[emoji23][emoji23]
Naunganisha na maneno ya mzee wangu aliwai nisihi sana juu ya kuoa kaskazini, alinambia bora ukaoe mahala pengine lakini si kaskazini. Binafsi nimeshuhudia wanawake wa uko walivyo, hakuna komenti.Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini
Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.
Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini
Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini
Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini
Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu
Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.
Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
yupo wapIla ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Mtego huo. Fuatilia familia yake watazame kama kuna elements za kuishi vizuri na Wanaume maybe utakuwa umescore bingo. Otherwise ukiona elements za tofauti na upendo kwa familia yake then taratibu anza kujichomoa umalizane nae. Simba huwa hali majani sababu hawezi kuacha asili yake.... hujawakanda vizuri, Glory wangu yupo romantic mtanga akasome.!
Yeah hiyo ndio wanataka na usipo mpa ndio usumbufu unaanza ni kama kwenda sokoni na mtoto halafu kakuona umeshika pesa. Atakusumbua umnunulie kila anachokiona mbele ya macho yake.Kwani akitaka ashike lazima umpe?
NashukuruPole sana Mzee mwenzangu. [emoji855]
😂😂😂😂
Mpendwa why unatetea na sisi yametukuta?Zemanda There is quite difference between Tribalism..Attitude..Behaviour and Personality
Person personality aint intefear with person behaviour..There is a difference between a "selfish act" understood as an act intended to benefit the person who does it as well as other people, and a "selfish act" understood as an act intended to benefit the person who does it without regard to the wellbeing of anyone else. Only the latter types of selfishness need be condemned.
Being a Gold digger and being Chagga are quite different things[emoji1787]
Funguka basi, Hadithi njoo, ukweli njoo utamu kolea kudadadeki zako.Ni Kweli kbsamm nimetokeaa moja Kat ya mkoa huuo kule Huna pesa au familia yenu maskin maskini utafurahi mkuu acha kbsa nisiseme Sana mm Ni muanga wa tukio fln