Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Kama wewe mwanaume nakuweka daraja la mvulana.
Mpaka leo unagawa watanzania kwa ukanda.
BAdo tu unakandia na kudidimiza wanawakeee?
Duh kazi ipo kwel kweli
Walimuona bogus wakampiga matukio anakuja kulia lia jf [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kununua masufuria, tv ya singsung inches 40,makochi mapya na boda boda. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mwanaume mwenye utimamu wa akili kweli unawaza kabisa kuwa maisha yako kufanikiwa ni hadi uwe na mwanamke na sharti ni atoke kaskazini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Umasikini wa fikra ni mzigo sana aisee.
Siyo wa fikra tu, mpaka wa hela ni mbaya mno. Ndiyo kama huyo jamaa.
 
Waliochanganya na jamii zingine ndio huwa wanakuwa na shape na makalio mazuri. Hivi umeshawahi kutana na mchagga ambaye mama ni Muiraq au mnyaturu au mchagga baba msukuma.

Na ndio hawa waliozaliwa miaka ya 2000 kuja juu wako vema.
Hakika
 
Ukiwa kijana mwenye mafanikio hizi species za kaskazini lazima zitakuzunguka tu.

Kifupi wanajua kunusa kijana mwenye pesa/ mafanikio au atakuwa na pesa au mafanikio.

Huwezi kwenda mbali nao ila Kuoa ni maamuzi binafsi
Wana sensor hawa huenda[emoji23]
 
Niliwahi kuwa na demu mtoto wa Tarimo aisee. Yaani anavyoongelea pesa utadhani sasa anazo.

Yaani hana utu. Yeye kwake binadamu ni mtu mwenye hela. Kama hana anamuona kama zombie.

Kwa kuwa alinipnde yeye mwemnyewe basi tulidumu lakini mwisho wa siku nikaona huyu sio mtu wa kawaida. Nilijifunza mambo mengi kwake.
Mambo kama yapi hayo ulijifunza kijana?
 
Uliyosema ni kweli....watu waliooa wachaga wanapelekeshwa hivyo...


Watu wanatafuta pesa hadi wamasahau kuishi....

Maisha hayako hivyo...hatuoi tu ili tupate pesa...tunaoa tusaidianee kimaisha na kuenjoy uumbaji
Huko kupelekeshwa nakusikia kwenu tu. Mimi mbona nilisha date nao sana tu na hayo ya kupelekeshwa siyajui?
 
Back
Top Bottom