reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Ndo wanaongeza kuolewa piaIla ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo wanaongeza kuolewa piaIla ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Huwajui weweeBora twende mbeya kwa wanyakyusa. Case zao ni chache
Walimuona bogus wakampiga matukio anakuja kulia lia jf [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama wewe mwanaume nakuweka daraja la mvulana.
Mpaka leo unagawa watanzania kwa ukanda.
BAdo tu unakandia na kudidimiza wanawakeee?
Duh kazi ipo kwel kweli
Tupe na siye dogoZamani nilikuwa najua hakuna mchaga dark skin.
Mtu mwenye dark skin alikuwa akinambia ye mchaga namkatalia [emoji23] mpaka nilipopewa somo.
Mchaga bila ndoa mwanamke haelewi somo kabisaNa mie nashangaa wanawake wa kaskazini wanaolewa kwa ndoa tena za gharama kila siku.
Afu huku wana kandiwa sielewagi yaan
NakaziaMkuu hii mbona inaeleweka toka kitambo , japo sio wote , ila asilimia kubwa hao wanatakiwa tuu wawe single mother
Oa kabisa tako hiloNgoja nimuweke sawa. Maana TRAKOO lake linanipa wazimu
Siyo wa fikra tu, mpaka wa hela ni mbaya mno. Ndiyo kama huyo jamaa.Kununua masufuria, tv ya singsung inches 40,makochi mapya na boda boda. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanaume mwenye utimamu wa akili kweli unawaza kabisa kuwa maisha yako kufanikiwa ni hadi uwe na mwanamke na sharti ni atoke kaskazini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umasikini wa fikra ni mzigo sana aisee.
Hakika!.Niongezee tu kuwa ni mwanaume dhaifu ndio anaweza kaa na mwanamke aliyeonyesha hizo tabia.
Inbox kumeshajaa? au nije kumuuliziaIla ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Kwani kuna watu wanawafuataga nyie kweli?[emoji23] Ndiyo nasikia kwako...Ni kiherehere chenu kutufata wa kaskazini. Hapa ni mtakuja
Mimi naona wote washamba tu. Wanaowafuata na nyie mnaofuatwa[emoji38]Ni kiherehere chenu kutufata wa kaskazini. Hapa ni mtakuja
HakikaWaliochanganya na jamii zingine ndio huwa wanakuwa na shape na makalio mazuri. Hivi umeshawahi kutana na mchagga ambaye mama ni Muiraq au mnyaturu au mchagga baba msukuma.
Na ndio hawa waliozaliwa miaka ya 2000 kuja juu wako vema.
KabisaUnaweza enda hapo Dar ukakutana na pisi ya kizaramo, au ukaenda tanga ukakutana na pisi ya kizigua, au ukaenda Lindi au mtwara ukakutana na pisi ya kimakonde weeeee.
Wana sensor hawa huenda[emoji23]Ukiwa kijana mwenye mafanikio hizi species za kaskazini lazima zitakuzunguka tu.
Kifupi wanajua kunusa kijana mwenye pesa/ mafanikio au atakuwa na pesa au mafanikio.
Huwezi kwenda mbali nao ila Kuoa ni maamuzi binafsi
Mambo kama yapi hayo ulijifunza kijana?Niliwahi kuwa na demu mtoto wa Tarimo aisee. Yaani anavyoongelea pesa utadhani sasa anazo.
Yaani hana utu. Yeye kwake binadamu ni mtu mwenye hela. Kama hana anamuona kama zombie.
Kwa kuwa alinipnde yeye mwemnyewe basi tulidumu lakini mwisho wa siku nikaona huyu sio mtu wa kawaida. Nilijifunza mambo mengi kwake.
Huko kupelekeshwa nakusikia kwenu tu. Mimi mbona nilisha date nao sana tu na hayo ya kupelekeshwa siyajui?Uliyosema ni kweli....watu waliooa wachaga wanapelekeshwa hivyo...
Watu wanatafuta pesa hadi wamasahau kuishi....
Maisha hayako hivyo...hatuoi tu ili tupate pesa...tunaoa tusaidianee kimaisha na kuenjoy uumbaji
Wanaoisoma namba malofa tuMchaga bila ndoa mwanamke haelewi somo kabisa
Ila wakiingia ndani Sasa anajua haachiki mpk kifo pale Sasa ndo mwanaume anaisoma n#
NdiooWanaoisoma namba malofa tu