Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Kama Arusha ulikwenda Meru na wale wanao jiita waarusha. Ulipotea njia mkuu
 
Twende mbele turudi nyuma

Hao hao mabinti wa kaskazini wanaongoza kuolewa tena kwa sherehe kubwa za gharama

Kabla ya kuendelea kuwashambulia, mabinti wengine wajifunze mazuri ya hawa mabinti wa kaskazini na yale mabaya wayaache

Hata ww mtoa mada una mazuri yako na mabaya yako
Hawa mabinti wa Kaskazini wanajua kutengeneza ndoa... Utagandwa wewe,, utatambulishwa kwa mama mkwe na kupelekwa uchagani kabla hujaoa. Ukitoka huko lazima utangaze ndoa....sijui wanaloga au vipi Hila wapo vizuri kubana na kuganda kama ruba
 
Hawa mabinti wa Kaskazini wanajua kutengeneza ndoa... Utagandwa wewe,, utatambulishwa kwa mama mkwe na kupelekwa uchagani kabla hujaoa. Ukitoka huko lazima utangaze ndoa....sijui wanaloga au vipi Hila wapo vizuri kubana na kuganda kama ruba
Utagandwa kama una kitu, na hapo unakuwa unawindwa tu ili uingie kwenye mfumo.
 
Kuna ukweli,nipo huku,kuna jamaa yangu tangu kaoa huku uhuru wake umetombwa na mke wake
 
Hawa wanawake wa kichaga ni hatari mno nishashuhudia watu kama 5 waliodhulumiwa na wengine kupelekwa ardhini na hao mawakala wa ibilisi...kwenye utafutaji nawakubali mno ila sasa mukishatoboa tu siku zako zinahesabika ila dawa yao ni kwamba mukishatoboa tu muue yeye
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Na ukitaka kutoboa kimaisha fasta kuwa na wa kaskazini.. wana akili
Ya kutafuta pesa
 
Ndoa ina muda gani? Na kabla ya ndoa hakuona dalili? Masuala ya uchumi kwa jamaa yapoje?
Ndoa inakama mwaka na miezi sita,mwanamke nadhani alificha tabia zake ili aolewe,jamaa anakipato cha kati yaani sio njaa njaa,ninampango wa kum toumbea
 
Wana tabia za kiume jike dume kumweka ndani ni sawa na kumweka mwanaume mwenzio
 
Na ukitaka kutoboa kimaisha fasta kuwa na wa kaskazini.. wana akili
Ya kutafuta pesa
Hakuna mtu asiyejua kutafuta pesa ila siyo watu wote ni wakabaji au matapeli ili wapate pesa zaidi
 
aisee mimi ni mkibosho, huu uzi ni kweli kabisa. Dada zetu ni watu wa maslahi sana...kila kitu ni pesa inaangaliwa kwanza.

Tabia ya kutaka kumtawala mume hutokana na familia nyingi moshi kuwa ni wajane na kuwa na baba ambaye hana mamlaka tena kwa sababu ya uchumi mbaya, hivyo dada zetu hupata makuzi ya kiutu uzima kutoka kwa mama ambao ni independent.

Kutokana na hiyo spirit ya kupenda hela sana, wanajikuta ni wepesi kuliwa na wanaume wenye hela. Ukitaka kuamini jaribu
 
Back
Top Bottom