Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mtuache jmn, tunaolewa kila siku ,Tena kw mahari kubwaaaa....

kuna wanaotupenda hivyo hvyo tulivyooo

Ni kweli pesa ndo kipaombele chetu, ukitaka kupeti petiwa ukanda huu utasubiri sana.
Pole mana naona limekukuta jambo
Hamna maana kwakweli na hizo ndoa za maigizo ni ngumu sana kutoboa sababu maisha yanabadilika huwa hayapo hivyo hivyo kila miaka.
 
Khs maokoto mbona tunatafta wote tu, hatutegeagi sisi

Tatizo ni pale mwenzangu atakapoanza kuztumia bila mpangilio na kwenye anasa hapo ndo ujeuri wa akina manka unapoanzia
Ni bora kuwa na mwanamke ambaye ana adabu na haiba ya kike hata kama hatafuti pesa naweza mfundisha na akajua ila muhimu ni kuwa na adabu na heshima yenye utii ndani yake kwa mume.

Sio tukipishana unaniletea mori ya kikurya as if mimi na wewe ni equals aiseee sitakuacha hivi hivi nitakulamba makofi na nitakufukuza urudi uchaggani ukawakosee adabu hao waliokufunza sio mimi.
 
Ni bora kuwa na mwanamke ambaye ana adabu na haiba ya kike hata kama hatafuti pesa naweza mfundisha na akajua ila muhimu ni kuwa na adabu na heshima yenye utii ndani yake kwa mume.

Sio tukipishana unaniletea mori ya kikurya as if mimi na wewe ni equals aiseee sitakuacha hivi hivi nitakulamba makofi na nitakufukuza urudi uchaggani ukawakosee adabu hao waliokufunza sio mimi.
Kwenye hizi mambo huwa hukoseagi mkuu.
 
Sometimes watu hawarushii mawe mti wenye matunda , wanarushia mawe nyoka mwenye sumu kali. Usifocus zaidi kwenye kurushiwa mawe focus kwenye warusha mawe wanalenga nini huko wanaporusha mawe.

Don't be too comfortable with a bad behavior and repels everyone.
Ha ha ha
 
Wamasai.. kwa niliobahatika juana nao ni ❤️

Pia kuna Waarusha.. hawa siwaelewagi, umasaini wanajitoa, uchagani hawapo.
Wapo katikati hapo, mfano Waarusha wa Sekei kiasili wana 80%, ya Umachame kwasababu Mama zao wengi walitokea machame

Infact, Waarusha wametokana na Ukoo uliopo Kibosho wa LARUSA, na ndio maana Wamasai wanawaita Waarusha LARUSAI hata kama Wanaongea kimasai

Ila kwakuwa Wakibosho na Wamachame wanajulikana kwa ukatili basi Waarusha huwa hawapendi kuusishwa nao
 
Kuoa muhimu wewe. Ukiwa na mke unakuwa huru kufukuzia mcheps bila presha ya kudinya maana nyumbani unapewa yoteee.
Na faida ya kuoa ni kwamba kuopoa madem ni rahisi sana
Umekuwa mhuni umekubuhu🙄
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
98% wapo hivyo kuna demu mmoja mkali balaa, nilikutana nae nje ya nchi alikuwa anaishi na mume wake lakini ana mabwana naowafahamu zaidi ya watano, bahati nzuri aalitokea kuwa rafiki yangu wa karibu sana, nikamuuliza mbona unamfanyia jamaa hivyo akanijibu eti mi niache hela niendekeze ndoa, familia yangu moshi inanitegemea, nikiangalia jamaa yake ana kazi nzuri tu, as we speak wameachana ,demu anagongwa na lizee dar hapo ingawa ana watoto wawili na mume wake walioachana
 
Back
Top Bottom