Hahahaa mkuu mbona una hasira sana?We ni muongo mkubwa,tuko hapa Kaskazini mwaka wa 15 sasa tunafanya kazi hapa,wadada wa huku ni mbwa,wengi wao nasema ni mbwa....hivyo yani
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa mkuu mbona una hasira sana?We ni muongo mkubwa,tuko hapa Kaskazini mwaka wa 15 sasa tunafanya kazi hapa,wadada wa huku ni mbwa,wengi wao nasema ni mbwa....hivyo yani
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Tena kubwa mno.Akukosea aliweka self defence kubwa sanaaa.
Hapo kwenye udangaji ungebold.Moja kati ya uongo mkubwa kutokea Tanzania eti kuna wanawakw wapambanaji , kaskazini nimekaa hakuna hata huyo tajiri wa kike hata wamiliki wa biashara labda ziwe za urithi na kudanga
Wanawake niliwahi kuona wanamiliki pesa binafsi na nyumba labda Mwanza.
NAKAZIAMsipo zingatia maneno haya basi maisha yenu yote lazima yawe motoni
Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini
Mimi sishauri mtu kuoa hawa dada zangu.
Mama yake ni MchagaKajala Masanja kumbe wa Kaskazini, ndo maana...[emoji35]
Ha ha haHaujaolewa wewe unauza mbususu tu tunakujua, acha kutuzuga hapa.
Inaonekana unawajua saana mkuu, mabint wa kaskazini ambao hawajaolewa huwa wanapenda kukaa na wamama wa kaskazini ili kuwapa mafundisho ya wanaume, hapo ndipo wanapoharibikiwa, hasahasa kuona mwanaume ni kitu cha kawaida kwao.Hamna ni tabia za kuigana na kuambukizana. Unajua mademu wengi wa kichagga wakishafika ule umri wa kuanzia miaka 20+ huwa wanakaa sana na wale mashangazi, mama wadogo, na wamama ili wawafunde na kuwapa mbinu za kusurvive.
Sasa shida ndipo inaanza hapo, wanawake wengi wa wilayani Moshi kule uchaggani ni masingle mother na hata wenye wanaume wanakuwa na wanaume walevi wasio na Maisha.
Mwisho wa siku wanawajaza mabinti sumu kuwa wanaume ni adui zao na wasiwape kipaumbele maana hawatawasaidia waanze kupambana mapema ili kujijenga kiuchumi na kujiimarisha wasitegemee kuishi kwa pesa na mali za mwanaume.
Sasa hawa mabinti ndio tunakutana nao sisi, binti mdogo ila ana mentality za mjane wa miaka 50 ambaye alipitia manyanyaso ya ndoa kwa miaka 40.
Mimi huwa sivutiwi na mabinti wa kaskazini kwasababu ya akili zao ngumu na kukosa ile haiba ya kike yaani Feminity.
Wanawake wa huko hawana kitu kinachoitwa kuridhika/kutosheka ili ajenge familia bora. Kama alikuwa anakula dagaa kisha akatamani walau ale nyama, akipata nyama anasahau kama alikuwa anatamani kuipata hiyo nyama, so maisha yao wengi wao yapo hivyo...98% wapo hivyo kuna demu mmoja mkali balaa, nilikutana nae nje ya nchi alikuwa anaishi na mume wake lakini ana mabwana naowafahamu zaidi ya watano, bahati nzuri aalitokea kuwa rafiki yangu wa karibu sana, nikamuuliza mbona unamfanyia jamaa hivyo akanijibu eti mi niache hela niendekeze ndoa, familia yangu moshi inanitegemea, nikiangalia jamaa yake ana kazi nzuri tu, as we speak wameachana ,demu anagongwa na lizee dar hapo ingawa ana watoto wawili na mume wake walioachana
nilipita siku moja kwa rafiki yangu ana biashara pale stendi ya arusha mjini, katika story akaniambia unaona hizi nyumba hapa nyingi wamiliki ni wajane ,akaniambia wanawake wa huku sio wanawake ni mashetani ,wanawamliza waume zao kisa pesa, yeye ni mchaga anasafiri kila mwezi kwenda kwa demu wake tangaHapo mlengwa ni Moshi, Arusha nimesimgizia tu kidogo
Hii watakataa ila katika mademu wanaojificha eneo la udangaji wa kichagga nambari moja. Wao kwenye pesa hawajui kukataa.Viduka vya nguo vipo kama fashion tu ila udangaji ndo chanzo kikuu cha pesa zao.
Lazima tuwe na angle maalumu ya maamuzi ys mwisho,si ndio anko?😂😂Kwenye hizi mambo huwa hukoseagi mkuu.
Kenya kuna wanawake watamu kutomba tu ila sio wanawake wa kuishi nao kama mke. Wanawake wa kule utaweza sema wote wanatokea Machame. Aisee wale viumbe ni Acid.Hii ni athari ya kuwa karibu na Wakenya na kuwa na Asili nao
Kenyans Influence
Sasa tutafanyaje?Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini
Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.
Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini
Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini
Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini
Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu
Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.
Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
kweli bora kugongewa kuliko kuchukuliwa malinilipita siku moja kwa rafiki yangu ana biashara pale stendi ya arusha mjini, katika story akaniambia unaona hizi nyumba hapa nyingi wamiliki ni wajane ,akaniambia wanawake wa huku sio wanawake ni mashetani ,wanawamliza waume zao kisa pesa, yeye ni mchaga anasafiri kila mwezi kwenda kwa demu wake tanga
Ukiona majority inazungumza negatives kuhusu hao viumbe basi ujue hawaonewi.nilipita siku moja kwa rafiki yangu ana biashara pale stendi ya arusha mjini, katika story akaniambia unaona hizi nyumba hapa nyingi wamiliki ni wajane ,akaniambia wanawake wa huku sio wanawake ni mashetani ,wanawamliza waume zao kisa pesa, yeye ni mchaga anasafiri kila mwezi kwenda kwa demu wake tanga
Mbele ya pesa uchi wao hauna thamani.Hii watakataa ila katika mademu wanaojificha eneo la udangaji wa kichagga nambari moja. Wao kwenye pesa hawajui kukataa.
Kabisa Anko, huwa reply zako siziruki, kila post unayowazungumzia hawa viumbe huwa upo sahihi.Lazima tuwe na angle maalumu ya maamuzi ys mwisho,si ndio anko?😂😂
Hakuna chenye unafuu.kweli bora kugongewa kuliko kuchukuliwa mali