Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Moja kati ya uongo mkubwa kutokea Tanzania eti kuna wanawakw wapambanaji , kaskazini nimekaa hakuna hata huyo tajiri wa kike hata wamiliki wa biashara labda ziwe za urithi na kudanga


Wanawake niliwahi kuona wanamiliki pesa binafsi na nyumba labda Mwanza.
 
Wengi mnapaparukia watu wa kuoa au kuolewa WACHAGA halisi mapenzi n kupotezea muda Ila kuchakarika na maisha jion sio Mwanamke/mwanaume wote unawakuta bar mezan Kuna safari au konyagi wakati anasubiri kitimoto hapo wanakunywa kwa Machame Yan anakunywa huku wanasoma Raman ya kesho ikifika saa mbili huyo nyumbani kesho mapema yupo road anakomaa na maisha yake.

Kiukweli natafuta Mwanamke wa kichaga sijui nitapata wap
Ushamba ni mzigo.
 
Sio wa saa hii. Aisee nilikutana na kabinti kakimasai. Aiseee nikaa nako wiki yule mtoto tulit*mbana aiseee. Yaani ilifika muda tunatazamana usoni tukiwa tunasubiria miili ipate nguvu tuendelee, ana macho fulani hivi ya rangi ya gold.

Praxeda popote ulipo nitafute maana namba yako haipatikani na wewe Namna yangu sijui ulipoteza matako yako. Tafadhali tafuta tuendeleze tulipoishia mara mwisho mbwa ww.
[emoji16][emoji16][emoji16] kumbe ndio wewe bs imeisha hyooo,amewai niadithia kuhusu ww kwa sasa nipo nae hapa na tumeiona comment yako.
 
wameru ni kabila dogo sana wako kwenye tarafa km 3 tu hawajazi hata wilaya moja. Kweli hawatoki na hawazai sana ndiyo maana wachache sana. Siyo watu wa kujichanhanya na watanzania. Wanawake zao ni hatari usijaribu kuoa utajuta.
Ninae mmoja bado sijamchakata
 
hao nawafahamu sana mara yangu ya kwanza kuwaona sikujua kama arusha kuna wameru mi nilijua arusha ni wamasai kwa wingi ,ila niligundua kitu hilo kabila hawazunguki nje ya mkoa na hata wanaotoka wanajitambulisha kama wachaga au wamasai kwani hawajiamini kutokana na historia ya kabila lao unambiwa ukikutana na mmeru na nyoka uwa mmeru acha nyoka
Ili niliye nae nipige tu alafu nipite hv
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
 
Classmate wangu high school anatokea Moshi ila ameoa kwetu unyakyusani alinigawia neno la busara, ipyax usije ukathubutu kuoa kwetu (kaskazini). Wanawake wa kwetu wana upendo lakini hawana caring (kujali),pia wametanguliza pesa mbele.

Be warned brother yani hata ukipata yellow bone (mweupe) piga sepa usitangaze ndoa maana utajuta. Mwisho wa kumnukuu. Huruma ya kiuanamke ni muhimu sana kwa Amani na furaha ya familia.
Thread closed.
 
Kaskazini watamu sana ila sio wake
Hakuna eneo au ukanda usio kua na wanawake watamu bhana we nae

Na katika hili nashauri pia vijana, msiende kuoa wa Meru, acha kabisa, wana laana wale si bure
 
Msipo zingatia maneno haya basi maisha yenu yote lazima yawe motoni

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Mimi sishauri mtu kuoa hawa dada zangu.
 
Inasomeka hivi kabla haijafutwa


"
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa"
Mshikaji alimpa mimba manka, akazaa....kurudi home ana mtoto, wazee wakamhoji binti, binti kaelezea stori. Mwamba kweli kwao apeche alolo hta hyo chuo nadhani ye ndio wa kwanza kufika. Kwahyo bdo ajitafute ndio aje aweke mambo sawa. ...

Nilikuaga najua jamaa anazngua mbaka pale nilipoona kwa macho na kuskia kwa masikio yangu wanamcheka hawezi oa kwao kisa pesa. Alooo hizi zinatia doa snaa kina mangi na manka wao...

Nawakubali though kwny fursa tu mpo vzur mnoo ila viuno na mapnz watuachie sie wa pwani
 
Inferiority Complex na Ujinga vinawamaliza vijana wengi

Wanawake wa kaskazini wanajitambua sana...sio wa kupelekeshwa kwa kila kitu

Wakihoji mambo yamsingi na ya kujenga hampendi mnataka wale wa kusema NDIO kwa kila kitu kama wabunge wa CCM
50/50 sio?
 
Demu za Chuga, Moshi, Upareni kote wanakula pombe kali kama K.Vant, Highlife, Konyagi, Shujaa, guard spirits. Huwezi kutana na mtu mwenye akili sawa hapo.

Regards!
Na vitambi flani hivi vya kmoo na safarii lager....shiiiiida
 
WACHAGA hawaepukiki kwenye kuwaoa au kuolewa nao n hv Kama kungekuwa na sensa ya makabila Basi WACHAGA wangeongoza angalia mazingira unayoishi, fanyia kazi au unapopenda kupotezea muda je WACHAGA wapo kwa asilimia ngapi? Na je status yamaisha yao ipoje? Lazima ukute anajiweza na ukimuangalia baada ya miez au miaka kadhaa unamuona ATAKUWA mbali zaidi.

Kwakua umaskini n tatzo kwenye familia zetu nyingi na kupelekea kila anaetaka kuoa au kuolewa lazima achungulie kule anapotaka kwenda kunanin ndipo hapo wengi hujikuta anakutana na mchaga.

WACHAGA Kiukweli ndio kabila lenye spirit ya kumcha MUNGU, kwenda shule na kupambana kwelikweli ndio Mana kila ofisi kila taasisi kila Biashara na kila eneo lolote like lenye pesa WACHAGA ndio umewakuta wakwanza.

Vijana wajifunze kujua Kuna malezi ya familia hvyo mtu kuwa na roho nzuri au mbaya haitokan na wewe kabila gan Bali n maadali yahuko ulipolelewa.

WACHAGA hawaepukiki Kama unataka kuendelea muhimu omba utue kwa mwele
 
Back
Top Bottom