Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Ila ni pisi balaa. Nina rafiki ni mmasai aliyemix na mpare. Yule dada ni mzurii
Na ana tabia njema, sijawahi notice kama ni mchoyo.
Ni wazuri sana hasa wambulu na wairaq ila tabia zao ni balaa,umalaya+ujeuli n.k
 
Shida wanajua kuact na kujiposition balaa[emoji119][emoji23]
 
Yani we unaugua moyo. Kwahiyo unatushauri tuishi na wapenda madera, wazaramo, wakwere, ombaomba, wasiowaza kukuaibisha hadharani, washirikina, wasio na mbele wala nyuma yani wao mwenye ela wanaenda nae? We una uchizi.
 
Yani we unaugua moyo. Kwahiyo unatushauri tuishi na wapenda madera, wazaramo, wakwere, ombaomba, wasiowaza kukuaibisha hadharani, washirikina, wasio na mbele wala nyuma yani wao mwenye ela wanaenda nae? We una uchizi.
Chizi ni wewe. Kama usinge comment ungeuficha huu upumbavu wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…