Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
Hahaha Kuna jamaa Kaka yake aliuliwa Bado kijana Sana kama Miaka 28 Na mchaga Ili abaki na Mali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa.Acha uoga kenge wewe
UKO SAHIHI SANAClassmate wangu high school anatokea Moshi ila ameoa kwetu unyakyusani alinigawia neno la busara, ipyax usije ukathubutu kuoa kwetu (kaskazini). Wanawake wa kwetu wana upendo lakini hawana caring (kujali),pia wametanguliza pesa mbele.
Be warned brother yani hata ukipata yellow bone (mweupe) piga sepa usitangaze ndoa maana utajuta. Mwisho wa kumnukuu. Huruma ya kiuanamke ni muhimu sana kwa Amani na furaha ya familia.
😂 Inabidi mara moja moja unasafiri naye akaone mambo ambavo huwa yanavoenda.Nimekosa hela huko kwenye mishe zangu, halafu aniletee maswali kama TRA kuniuliza nimeingiza pesa ngapi, nitamkata jicho hilo hatoamini kama ni mimi ambaye namwita my love.
Usemacho ni kweli na alichosema yeye ni kweli zaidi ya ulichosema wewe!Kama wewe mwanaume nakuweka daraja la mvulana.
Mpaka leo unagawa watanzania kwa ukanda.
BAdo tu unakandia na kudidimiza wanawakeee?
Duh kazi ipo kwel kweli
Hawa ni kweli wapo kila sehem yenye maslahi mazuri. Nakotafutia rizki wamejaa wengi tu na wanajua kui saka ela hao balaa liwake jua au kuwe na mvua lazma ela ipatikane. Ukiwa karibu nao ivi viela vidogovidogo utakuta si haba haviku pigi chenga.WACHAGA hawaepukiki kwenye kuwaoa au kuolewa nao n hv Kama kungekuwa na sensa ya makabila Basi WACHAGA wangeongoza angalia mazingira unayoishi, fanyia kazi au unapopenda kupotezea muda je WACHAGA wapo kwa asilimia ngapi? Na je status yamaisha yao ipoje? Lazima ukute anajiweza na ukimuangalia baada ya miez au miaka kadhaa unamuona ATAKUWA mbali zaidi.
Kwakua umaskini n tatzo kwenye familia zetu nyingi na kupelekea kila anaetaka kuoa au kuolewa lazima achungulie kule anapotaka kwenda kunanin ndipo hapo wengi hujikuta anakutana na mchaga.
WACHAGA Kiukweli ndio kabila lenye spirit ya kumcha MUNGU, kwenda shule na kupambana kwelikweli ndio Mana kila ofisi kila taasisi kila Biashara na kila eneo lolote like lenye pesa WACHAGA ndio umewakuta wakwanza.
Vijana wajifunze kujua Kuna malezi ya familia hvyo mtu kuwa na roho nzuri au mbaya haitokan na wewe kabila gan Bali n maadali yahuko ulipolelewa.
WACHAGA hawaepukiki Kama unataka kuendelea muhimu omba utue kwa mwelewa.
Kwanini wanafanya hivyo ? Au wao wachanga mira zao za mirathi zipoje? Ukienda kanda ya ziwa mume alifariki mali ana rithi mke na watoto wakiume, kwao wachaga inaonekana kwao ni tofauti ndiyo maana wanaua wanaume mapema kabla ya mali kuwa nyingi.Hahaha Kuna jamaa Kaka yake aliuliwa Bado kijana Sana kama Miaka 28 Na mchaga Ili abaki na Mali.
Sasa babu hapa unasapot/kataa?Watu hujifunza kutokana na makosa, hongera Mkuu kuweza kumove on.
Manake nasikia hata shemeji yetu aliyekuwa anakupiga matukio anatokea mojawapo wa maeneo hayo.
Khaaa jmnMkuu hii mbona inaeleweka toka kitambo , japo sio wote , ila asilimia kubwa hao wanatakiwa tuu wawe single mother
umeongea point mkuuHapana haiko kwenye DNA ni malezi ambayo wanakutana nayo. Mama kiburi baba mkorofi. Wkt wanakuwa wanaona ni tabia za kawaida kumbe ni massive hoax aisee
Kwani Mjukuu hujasoma Cuba, isije kuwa tulikulipia Ada ya Cuba wewe ukaenda Uganda 🤪Sasa babu hapa unasapot/kataa?
Unaamini tuko hivo kweli?[emoji28]
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Imani tu...wako poa sana.Aiseee kweli kaskazini hapafai
Duh.....Hawa uwa wana fungwa kabisa kabla ya kuolewa wakiona mambo yamekua mazuri wafanye maangamizi chap wakuondoe
Sidhani kama ni wa Kaskazini peke yake,asilimia kubwa ya wanawake wa siku hizi almost nchi nzima wako hivyo,niliwahi kusema humu mambo ya Jando na Unyago yarudishwe but in a modern way,hali ni mbaya sana kwenye mahusiano ya ndoa nowadays...Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini
Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.
Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini
Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini
Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini
Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu
Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.
Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Acheni imani potofu bhana. Uliwahi waona wakifundwa?Hawa uwa wana fungwa kabisa kabla ya kuolewa wakiona mambo yamekua mazuri wafanye maangamizi chap wakuondoe
Walikuwa na mali za kutosha? Aliuawa kwa sumu au dawa za kiganga?Hahaha Kuna jamaa Kaka yake aliuliwa Bado kijana Sana kama Miaka 28 Na mchaga Ili abaki na Mali.
Njoo basi me nitakufariji.Mimi nilipokuwa nashida hakuna aliyenifariji mimi