Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Classmate wangu high school anatokea Moshi ila ameoa kwetu unyakyusani alinigawia neno la busara, ipyax usije ukathubutu kuoa kwetu (kaskazini). Wanawake wa kwetu wana upendo lakini hawana caring (kujali),pia wametanguliza pesa mbele.

Be warned brother yani hata ukipata yellow bone (mweupe) piga sepa usitangaze ndoa maana utajuta. Mwisho wa kumnukuu. Huruma ya kiuanamke ni muhimu sana kwa Amani na furaha ya familia.
UKO SAHIHI SANA
 
Nimekosa hela huko kwenye mishe zangu, halafu aniletee maswali kama TRA kuniuliza nimeingiza pesa ngapi, nitamkata jicho hilo hatoamini kama ni mimi ambaye namwita my love.
😂 Inabidi mara moja moja unasafiri naye akaone mambo ambavo huwa yanavoenda.
 
Kama wewe mwanaume nakuweka daraja la mvulana.
Mpaka leo unagawa watanzania kwa ukanda.
BAdo tu unakandia na kudidimiza wanawakeee?
Duh kazi ipo kwel kweli
Usemacho ni kweli na alichosema yeye ni kweli zaidi ya ulichosema wewe!
 
WACHAGA hawaepukiki kwenye kuwaoa au kuolewa nao n hv Kama kungekuwa na sensa ya makabila Basi WACHAGA wangeongoza angalia mazingira unayoishi, fanyia kazi au unapopenda kupotezea muda je WACHAGA wapo kwa asilimia ngapi? Na je status yamaisha yao ipoje? Lazima ukute anajiweza na ukimuangalia baada ya miez au miaka kadhaa unamuona ATAKUWA mbali zaidi.

Kwakua umaskini n tatzo kwenye familia zetu nyingi na kupelekea kila anaetaka kuoa au kuolewa lazima achungulie kule anapotaka kwenda kunanin ndipo hapo wengi hujikuta anakutana na mchaga.

WACHAGA Kiukweli ndio kabila lenye spirit ya kumcha MUNGU, kwenda shule na kupambana kwelikweli ndio Mana kila ofisi kila taasisi kila Biashara na kila eneo lolote like lenye pesa WACHAGA ndio umewakuta wakwanza.

Vijana wajifunze kujua Kuna malezi ya familia hvyo mtu kuwa na roho nzuri au mbaya haitokan na wewe kabila gan Bali n maadali yahuko ulipolelewa.

WACHAGA hawaepukiki Kama unataka kuendelea muhimu omba utue kwa mwelewa.
Hawa ni kweli wapo kila sehem yenye maslahi mazuri. Nakotafutia rizki wamejaa wengi tu na wanajua kui saka ela hao balaa liwake jua au kuwe na mvua lazma ela ipatikane. Ukiwa karibu nao ivi viela vidogovidogo utakuta si haba haviku pigi chenga.

Changamoto yao wana tamaa sana. Wapo resi sana kwene ela usipokaa sawa unaezajikuta upo selo unanyea ndoo. Mnaeza wote kupata mgao hlf unakuta yeye mwenzio kapata mara nne au tano zaidi ya wewe lakn usishangae akakufata anang'ang'ana mgawane ulichopata wewe. Jamaa wana udwanzi sana😆. Inahitaji moyo mkuu kuishi nao mkaenda sawa.

Zamani nilijua wale wapare nao ni jamii moya na hawa kumbe sio wapare ni watu na nusu.
 
Hahaha Kuna jamaa Kaka yake aliuliwa Bado kijana Sana kama Miaka 28 Na mchaga Ili abaki na Mali.
Kwanini wanafanya hivyo ? Au wao wachanga mira zao za mirathi zipoje? Ukienda kanda ya ziwa mume alifariki mali ana rithi mke na watoto wakiume, kwao wachaga inaonekana kwao ni tofauti ndiyo maana wanaua wanaume mapema kabla ya mali kuwa nyingi.
 
Daah. Juzi kati kuna jamaaetu kavuta mchuchu wa pande za uko. Saitakuwaje wakuu?🙆‍♂️mbona kama ishakuwa kwere?
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Sidhani kama ni wa Kaskazini peke yake,asilimia kubwa ya wanawake wa siku hizi almost nchi nzima wako hivyo,niliwahi kusema humu mambo ya Jando na Unyago yarudishwe but in a modern way,hali ni mbaya sana kwenye mahusiano ya ndoa nowadays...
 
Back
Top Bottom