Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Wanaume wa siku hizi wanawahofia sana Wanawake wapiga kazi sijui kwa Nini.

No wonder vijana wa kium nao wanatamani kuolewa.
 
90% ya dadaz kwenye cycle yangu ya maisha wanatoka Kaskazini, they're very beautiful na wana mapenzi ya dhati [[talking from experience]].

wako na mazuri mengi kuliko mabaya in all aspects, ni kawaida sana kwa binadamu kusahau na kufuta mazuri 99 kwa baya 1.

Kama wewe ni MWANAUME ULIYEKAMILIKA huwezi shindwa kuoa Mwanamke kutoka kaskazini kisa izo sababu ulizogeneralize apo juu.

Mdada wa kaskazini AKIKUPENDA ANAKUPENDA KWELI, kama hakupendi atakuchuna na pesa atakua anampatia Barafu Wa Moyo Wake.

Note:
hata uwe na Mali kiasi gani kama hauwezi kumfikisha kunako 6/6 mdada yeyote wa kaskazini then you're finished.!!
 
Tumeongea Sana lkn hakuna utafiti was kina kwa nn wako hivyo.Kutakuwa na shida mahali au nature ya maisha yao huko kwao labda hawapendi kuonekana maskini huko kwao hasa miezi yao ya kwenda kutambika.
 
😂😂😂
the good thing is naupenda uromantique na wenyewe unanipenda Mimi..!!

Halafu ka-mwamposa kananipenda ajabu..?!😂
"Ka-mwamposa kananipenda ajabu" hivi unakatakia maisha mema lakini? We kazana nije nikanyonge.

😄
 
90% ya dadaz kwenye cycle yangu ya maisha wanatoka Kaskazini, they're very beautiful na wana mapenzi ya dhati [[talking from experience]].

wako na mazuri mengi kuliko mabaya in all aspects, ni kawaida sana kwa binadamu kusahau na kufuta mazuri 99 kwa baya 1.

Kama wewe ni MWANAUME ULIYEKAMILIKA huwezi shindwa kuoa Mwanamke kutoka kaskazini kisa izo sababu ulizogeneralize apo juu.

Mdada wa kaskazini AKIKUPENDA ANAKUPENDA KWELI, kama hakupendi atakuchuna na pesa atakua anampatia Barafu Wa Moyo Wake.

Note:
hata uwe na Mali kiasi gani kama hauwezi kumfikisha kunako 6/6 mdada yeyote wa kaskazini then you're finished.!!
Umewatetea dada zako kimtindo
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Sikiliza wewe ngosha.
Wanawake wa kaskazini kamwe hawapendi wanaume mlenda mlenda na wasio na future, hapo huna bahati.

Wanataka wanaume shap, wenyr future nk.
Vinginevyo utachezea vitasa
 
Sikiliza wewe ngosha.
Wanawake wa kaskazini kamwe hawapendi wanaume mlenda mlenda na wasio na future, hapo huna bahati.

Wanataka wanaume shap, wenyr future nk.
Vinginevyo utachezea vitasa
Unawatetea dada zako. Okay vizuri
 
"Ka-mwamposa kananipenda ajabu" hivi unakatakia maisha mema lakini? We kazana nije nikanyonge.

😄
😂😂😂😂😂
you know very well ukikanyonga nitakumbatia ngumi Pa'...!!

Unataka nibaki 'monyewe'..??
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Umekaza kweli jamaa! Wamekuelewa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom