Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

wameru ni kabila dogo sana wako kwenye tarafa km 3 tu hawajazi hata wilaya moja. Kweli hawatoki na hawazai sana ndiyo maana wachache sana. Siyo watu wa kujichanhanya na watanzania. Wanawake zao ni hatari usijaribu kuoa utajuta.
Binti wa kimeru alishawahi kuwa rafiki sana chuo sana wanapenda sna kucheka..
 
Bora twende mbeya kwa wanyakyusa. Case zao ni chache
Jiandae watoto wako kuwaita Gwalugano, Lugano, Ipyana, Asukile, Sekela na mengineyo...........yenye asili ya Kinyaki kama Mponjoli Au Tusekelege usipokuwa Ngangari.

Jiandae Lugha ya Kinyakyusa kuwa Lugha kuu ya mawasiliano ndani kwako.

Ila Kuna kaheshima ka Kinyaki katamu sana na utaitwa baba kama mara mia Tano hivi kwa siku, Cha muhimu ujue bei ya vitenge.

Ila Bora Wanyaki na ubabe wao kuliko hao wa kaskazini mara mia.

Ukifika Mbeya unaweza ukawachagua Wala Mpunga Wasangu, Wasafwa ila hawa wachafu wachafu msiniulize kuhusu Masogange, Wamalalila wa Mbalizi ukikosa kabisa Wandali ila Omba Mungu usiangukie kwa Wanyamanyafu na Wanyiha.

Wanyiha wanaongoza kwa kesi ya kuwapiga visu na kuwaua waume zao Mbeya.
 
wameru ni kabila dogo sana wako kwenye tarafa km 3 tu hawajazi hata wilaya moja. Kweli hawatoki na hawazai sana ndiyo maana wachache sana. Siyo watu wa kujichanhanya na watanzania. Wanawake zao ni hatari usijaribu kuoa utajuta.
hao nawafahamu sana mara yangu ya kwanza kuwaona sikujua kama arusha kuna wameru mi nilijua arusha ni wamasai kwa wingi ,ila niligundua kitu hilo kabila hawazunguki nje ya mkoa na hata wanaotoka wanajitambulisha kama wachaga au wamasai kwani hawajiamini kutokana na historia ya kabila lao unambiwa ukikutana na mmeru na nyoka uwa mmeru acha nyoka
 
Kijana mwenzangu mwenye ndoto kubwa sana huko mbeleni, naomba nikueleze mambo ambayo yanaweza kukusaidia sana na kukupunguzia vikwazo pale unapotaka kutimiza ndoto.Ninayasema haya nikiwa ni mmoja wa waliotokea kaskazini hivyo nina uzoefu wa kutosha. Epuka mabinti wa kaskazini

Kwenye safari hii vijana wengi hukwama maana hapo katikati huwa na mahusiano na huamua kuoa, hapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.

Wana mioyo ya chuma, huruma ni msamiati ambao kwao haupo. Pesa ipo mbele kuliko jambo lingine lolote. Epuka mabinti wa kaskazini

Jeuri + kiburi, hii ndio alama kuu ya utambulisho(SI Unit). Tumezoea kuwa wanawake/mabinti kwa jinsi walivyoumbwa huwa wanapaswa kuwa humble. Kuwa wapole, wanyenyekevu, lakini kwa hawa hiyo kitu SAHAU. Epuka mabinti wa kaskazini

Mali, hili ni neno ambalo utalisikia maisha yako yote kuliko neno lingine lolote. Ni kweli mali ni kitu kizuri lakini hatupaswi kuwa wanyama kwa sababu ya kuwaza muda wote Mali. Epuka mabinti wa kaskazini

Ukiwa upo vizuri kimaisha, atakuheshimu sana. Ukiweka ndani tu hakuna rangi utaacha kuona. Na mwisho anaweza kukumaliza kwa stress/depression.
Chake ni chake, chako ni chake, chako na chake ni Chao. Kifupi tu vyote ni vyao sio vyenu

Unae katika mahusiano? Chapa alafu sepa, ukishasepa jipige kifuani alafu sema mimi ni mwamba mjanja.

Be warned, vijana wenzangu don’t be afraid to make decisions you know you can live with afterward, never make decisions you know you can’t live with later. That’s my free advice, no charge. Epukaaaaaaa
Huu ni ukweli mtupu, maana Nina ndugu kamuoa mchagga, aisee anaendeshwa mpaka kwenye Mali zake.
 
Nafanya kazi Kaskazini , na ninaelewa ulichosema, ninkweli kabisa, hawafai
Kule unaweza kutana na pisi kali yaani bonge la manzi inauza mitumba, inauza maandazi, inauza mboga mboga, ipo sokoni inapambana kutafuta 5000 per day. Ukienda sehemu anaishi vingunguti ni masaki.

Sasa jiroge umchukue useme unataka ukaishi nae umbadili awe mkeo utajua haujui. Kiburi atakachokuonyesha plus ubishi wa kutaka kukupanda kichwani ndipo utaelewa kwann wanaume wanawatazama tu hawahangaiki kuweka ndani mwanamke mwenye kila sifa ya uzuri.
 
hasa wameru ni hatari sana
Nilikutana na moja ya kimeru hiyo demu nilipoonyesha interest tu akaona huyu fala amenielewa atafanya ninachotaka.

Akaniomba laki tatu yaani from no where demu kaomba laki tatu as if ananipima. Nikaona huyu mbali na kuwa hana maisha lakini amejawa na kiburi na shetani ndani yake.

Nikamwambia haina shida mwisho huu wa mwezi nikumbushe nitakupatia. Nikamwambia nitakubadilishia na simu nionyeshe simu unapenda yeye alikuwa anatumia kasimu sijui brand gani ya kichina ile maana hata logo yake haieleweki.

Kuna siku nikamchukua twende home by surprise, tulipofika tukapelekeana moto. Hakuna kanachojua kitandani sijui hata X huwa hakatazami yaani hakuna kitu kanajua. Unapiga mashine unamtazama usoni macho makavu haonyeshi hata stimu kuwa anapagawa cha zaidi anaweka muonekano kama yupo surprised kuwa tupo uchi.

Nikapiga round mbili nikamrudisha anapoishi na mdogo wake nikamtoa elfu kumi. Nikamwambia sijabeba pesa leo nitakutumia.

Nilipoondoka hapo hajaniona hadi leo nikaona shetani wewe
 
Twende mbele turudi nyuma

Hao hao mabinti wa kaskazini wanaongoza kuolewa tena kwa sherehe kubwa za gharama

Kabla ya kuendelea kuwashambulia, mabinti wengine wajifunze mazuri ya hawa mabinti wa kaskazini na yale mabaya wayaache

Hata ww mtoa mada una mazuri yako na mabaya yako
Wanaongoza kuolewa kimkakati sio ile ndoa ya mapenzi ya kujenga familia ni ndoa ya kuchuma mali kisha vita vianze.
 
Si wote jamani wengine hatupo hivyo
Mmmmmmhmn ngumu kuamini. Yaani nyie mkitulia ni kama simba aliyeshiba. Anaweza cheza hata na mtoto bila kumdhuru. Subiri njaa ije anaweza kula hata chuma kwa hasira ndio ninyi sasa namna huwa mnabadilika ghafla pale mnapoanza shida za pesa
 
Tamaa. Wanaamini muda wote wanatakiwa kuwa na pesa ili kuishi vizuri na hiyo pesa ashike yeye. Ukitaka jua hawajielewi tazama matumizi yao ndipo utajua hizi ni ng'ombe kama ng'ombe zingine tu.
Kwani akitaka ashike lazima umpe?
 
Back
Top Bottom