Kwa hiyo Iran mwanamke anaweza kuteuliwa kuwa Ayatollah?Iran ina mfumo wake unique.
Ina rais, ina kiongozi wa nchi. Wanawake huteuliwa kushika nyadhifa kubwa.
Afghanistan iko ktk transition kwasasa,
Niqab ni ziada. Ktk kupiga picha huvua. Lkn hijab (stara) ni lazima kwa muumini.Wanaovaa niqab kama ibada yao huwa picha zao zinapatikanaje kwa ajili ya vitambulisho na passport??
Niqab ni ziada kwako kwa tafsiri yako, kwa wenzako wengine niqab na burqa ndio stara yenyewe kwa hiyo usilazimishe mambo yako ya kidini sehemu zisizohitajika, hata hao wavaa niqab na burqa wanalipa kodi.Niqab ni ziada. Ktk kupiga picha huvua. Lkn hijab (stara) ni lazima kwa muumini.
Sasa jibu kosa gn la kikatiba nchi nimefanya kwa kuwa inaruhusu hijab na mtaala wa dini mashuleni.
Nchi ambayo nusu ya kodi inatoka kwa waislam.
Ni haki kweli kodi ya waislam inatumika kuwekeza ktk viwanda vya chibuku, safari laga kuliko kuirudisha kwao na kuwasomesha watoto wa wasiojiweza mfumo wao wa maisha.
u Huo jeshini Hamna Dini hutaki Acha Hata nguruwe utalisha tuuu jeshini.hizo Dini peleka kanisani Au msikitiniWiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.
Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume, nazungumzia vibukta kwa lazima.
Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.
Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.
Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.
Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta kwa jina la serikali isiyo na dini, kwa jina la uzalendo kwanza.
Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?
Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya Watanzania imani za dini zao badala ya kuzilinda.
Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna Sheria za JKT zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.
Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.
Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya Chama Cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.
Kwa miaka mingi sasa JKT imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.
Kwani JKT ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.
Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.
Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini katika mafunzo ya JKT wasiwe na uhuru huo.
Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?
Iwapo ni masharti ya serikali (JKT) hawaoni wanaisigina Katiba inayotoa uhuru wa kuabudu na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusiwa kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo, je, hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?
Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?
Kunawataka Watanzania waelewe hili, uhuru wa kuabudu ni misingi ya haki za binadamu.
Kwanini watz tuko wa ajabu sana linapokuja suala la kuvumiliana values zetu. Kila kundi linalounda watanzania. Kwanini tulazimushwe kufata imani na values za kipagani.
Kwani Ujamaa ni imani.
imani ya Ujamaa ni upagani.
Kama dini dini ni imani
Na kama Ujamaa ni imani
Then Ujamaa ni dini.
Hivyo kusema serikali haina dini ni uongo uliotengenezwa, disinformation and unconstitutuion.
Dini ni falsafa na Ujamaa ni falsafa.
Kwanini serikali iwe na imani ambayo iwe ni lazima kwa wenye imani nyingine kuifata.
Mataifa ya kidemokrasia yanayojipambanua kusimamia haki za binadamu na uhuru wa kuabudu wameweka
GUIDE ON RELIGION AND BELIEF IN THE ARMED FORCES.
Unaweza kugoogle hii title na tuelimike
Chukulia jeshini jkt kama kupiga picha kwa wavaa hijab.Niqab ni ziada. Ktk kupiga picha huvua. Lkn hijab (stara) ni lazima kwa muumini.
Napenda warabu wajiunge na jeshi nione vichwa vyao Hasa mabintiKuhenyeshwa sawa lakini vile vibukta kwa watoto wa kike si sawa...ningependa na viongozi wa dini waingilie hili kati. Kuna mijitu pale inataka tu kulisha macho yao....
Hijab si gauni refu au dera.Kwa misingi ya ulicho kiandika hata kwenda JKT kwa wasichana ni dhambi. Na kama wakienda wafanye mazoezi wakiwa wamevaa magauni marefu. Kutokufunika nywele nayo ni dhambi. Je wafanye mazoezi wakiwa wamefunika nywele na nyuso. Michezo nayo inahitaji nguo za michezo na nadhani aina ya nguo hizi nazo ni dhambi.
Mtoa Mada tuelekeze namna ya kuvuka hivi vihunzi bila kutenda dhambi
That is so called "Philosophy" and its dangerous.As an African, you travel to Israel to pray on a wall. This is called pilgrimage and you automatically earn the title of JP.
As an African, you travel to Saudi to pray on a black stone. This is called Hajj and you automatically earn the title of Alhaji.
As an African, you travel to your own Ancestral home or village where you were born to pray on Stone, River, Tree, or any symbolic spiritual statue in your home, this is called Pagan.ism and tagged as Felfi. sh, Dem.on!c and Devi.lish.
U are contaminated already na upaganiYan ila nyie wenzetu wa Kobazi na vitambaa huwa mnazingua sana😂😂 mimi nlkua nataman hata nyama ya kitimoto walishwe
Silly qn. Katiba haikatazi mtu kupiga picha akiwa na hijab. Ktk ulimwengu wa IPO picha is nothing. Fingerprint ni muhimu zaidi ya picha.Chukulia jeshini jkt kama kupiga picha kwa wavaa hijab.
Shida iliopo ukristo uko contaminated tayari. Kiasi kwamba huwezi tofautisha kati ya ukristo na ubepari. Ndio maana mambo muhimu ninyi mko torelent. Kiasi kwamba hata wakitaka watu wakasema yetu alikuwa shoga (gay) ninyi mtavumilia tu. Uislam hauna uvumilivu huo. Kwa hiyo hapa tunajaribu kusilimisha ili hatua zoanze kuchululiwa. Ujinga ni wenu kwa kuwa u r already contaminatedWaislamu muwe mnajielimisha kidogo, mnaleta uzito kwenye jamii yenu shauri ya 'ujinga' wenu wa rejareja.
Unahitaji kujifunza somo na Sosholojia na uraiaUpuuuzi mtup
u Huo jeshini Hamna Dini hutaki Acha Hata nguruwe utalisha tuuu jeshini.hizo Dini peleka kanisani Au msikitini
Sawa. Ni suala la taratibu tu. Kwani ukitaka picha password ya mwenye niqab anaweza kuvua niqabs na akapigwa picha na mwanamke mwenziwe. Niqab si kikwazoNiqab ni ziada kwako kwa tafsiri yako, kwa wenzako wengine niqab na burqa ndio stara yenyewe kwa hiyo usilazimishe mambo yako ya kidini sehemu zisizohitajika, hata hao wavaa niqab na burqa wanalipa kodi.
una uwezo mdogo wa kufikiri au unedandia treni mbele. Nani kasema wavae majuba.Wawee wanavaa majubaaaa jamaniii... kweli sio hakiii kuvaa pensiii. Sawa wew zumbukukuu
wanaweza kuchaguliwa kuongoza mashirika, taasisi na mamlakaKwa hiyo Iran mwanamke anaweza kuteuliwa kuwa Ayatollah?
Yeye amezungumzia kuhusu Imani na mafunzo ya kiimani akasema serikali haina dini ina katiba na katiba inawalinda wananchi na kuheshimu Imani zao ama dini zao unasema chukua toto lako unakosea maana vilevile hii nchi sio yakikiristo pekee NI nchi ambayo wananchi wake wanaimani tofautitofautiChukua mwanao baki nae nyumban kwako
Mnataka kufanya hii nchi ya kiislamu mnataka kuleta ujinga wenu hadi jeshin??
Huo upumbavu wako jeshin hakuna
Utaratibu ulikuwepo, upo, na utaendelea kuwepo chukua mtoto lako kalee kama yai
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app