Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Wanaovaa niqab kama ibada yao huwa picha zao zinapatikanaje kwa ajili ya vitambulisho na passport??
Niqab ni ziada. Ktk kupiga picha huvua. Lkn hijab (stara) ni lazima kwa muumini.

Sasa jibu kosa gn la kikatiba nchi nimefanya kwa kuwa inaruhusu hijab na mtaala wa dini mashuleni.

Nchi ambayo nusu ya kodi inatoka kwa waislam.

Ni haki kweli kodi ya waislam inatumika kuwekeza ktk viwanda vya chibuku, safari laga kuliko kuirudisha kwao na kuwasomesha watoto wa wasiojiweza mfumo wao wa maisha.
 
Wawee wanavaa majubaaaa jamaniii... kweli sio hakiii kuvaa pensiii. Sawa wew zumbukukuu
 
Niqab ni ziada. Ktk kupiga picha huvua. Lkn hijab (stara) ni lazima kwa muumini.

Sasa jibu kosa gn la kikatiba nchi nimefanya kwa kuwa inaruhusu hijab na mtaala wa dini mashuleni.

Nchi ambayo nusu ya kodi inatoka kwa waislam.

Ni haki kweli kodi ya waislam inatumika kuwekeza ktk viwanda vya chibuku, safari laga kuliko kuirudisha kwao na kuwasomesha watoto wa wasiojiweza mfumo wao wa maisha.
Niqab ni ziada kwako kwa tafsiri yako, kwa wenzako wengine niqab na burqa ndio stara yenyewe kwa hiyo usilazimishe mambo yako ya kidini sehemu zisizohitajika, hata hao wavaa niqab na burqa wanalipa kodi.
 
Upuuuzi mtup
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume, nazungumzia vibukta kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta kwa jina la serikali isiyo na dini, kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya Watanzania imani za dini zao badala ya kuzilinda.

Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna Sheria za JKT zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya Chama Cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.

Kwa miaka mingi sasa JKT imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani JKT ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini katika mafunzo ya JKT wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (JKT) hawaoni wanaisigina Katiba inayotoa uhuru wa kuabudu na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusiwa kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo, je, hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?

Kunawataka Watanzania waelewe hili, uhuru wa kuabudu ni misingi ya haki za binadamu.

Kwanini watz tuko wa ajabu sana linapokuja suala la kuvumiliana values zetu. Kila kundi linalounda watanzania. Kwanini tulazimushwe kufata imani na values za kipagani.

Kwani Ujamaa ni imani.

imani ya Ujamaa ni upagani.

Kama dini dini ni imani
Na kama Ujamaa ni imani
Then Ujamaa ni dini.

Hivyo kusema serikali haina dini ni uongo uliotengenezwa, disinformation and unconstitutuion.

Dini ni falsafa na Ujamaa ni falsafa.

Kwanini serikali iwe na imani ambayo iwe ni lazima kwa wenye imani nyingine kuifata.

Mataifa ya kidemokrasia yanayojipambanua kusimamia haki za binadamu na uhuru wa kuabudu wameweka

GUIDE ON RELIGION AND BELIEF IN THE ARMED FORCES.

Unaweza kugoogle hii title na tuelimike

u Huo jeshini Hamna Dini hutaki Acha Hata nguruwe utalisha tuuu jeshini.hizo Dini peleka kanisani Au msikitini
 
Yan ila nyie wenzetu wa Kobazi na vitambaa huwa mnazingua sana😂😂 mimi nlkua nataman hata nyama ya kitimoto walishwe
 
As an African, you travel to Israel to pray on a wall. This is called pilgrimage and you automatically earn the title of JP.

As an African, you travel to Saudi to pray on a black stone. This is called Hajj and you automatically earn the title of Alhaji.

As an African, you travel to your own Ancestral home or village where you were born to pray on Stone, River, Tree, or any symbolic spiritual statue in your home, this is called Pagan.ism and tagged as Felfi. sh, Dem.on!c and Devi.lish.
 
Kwa misingi ya ulicho kiandika hata kwenda JKT kwa wasichana ni dhambi. Na kama wakienda wafanye mazoezi wakiwa wamevaa magauni marefu. Kutokufunika nywele nayo ni dhambi. Je wafanye mazoezi wakiwa wamefunika nywele na nyuso. Michezo nayo inahitaji nguo za michezo na nadhani aina ya nguo hizi nazo ni dhambi.

Mtoa Mada tuelekeze namna ya kuvuka hivi vihunzi bila kutenda dhambi
Hijab si gauni refu au dera.

Hijab ni nguo itakayoleta stara ya kufunika mwili. Hivyo ziko nguo za mchezo zenye kukidhi haja ya hijab.

Vihunzi hivi tunaweza kuvivuka. Lkn kwanza tunapigania utayari wa serikali yetu kuondoa masharti ya kibaguzi yasiyofata katina yanayofanywa na wale tuliowaweka mbele na kuwaamini.

Yawezekana hawana ufahamu huu. Kama ambavyo wazee wetu wa bakwata walivyo na ufahamu huu. Lkn ufahamu ni kitu kimoja, kuyasema haya baada ya kupata ufahamu ni kitu kingine. Ndio maana waislam wanapata wasiwasi iwapo bakwata ni ya waislam au ni tawi la watawala.

Nijibu sasa hoja yako. Kwa kuanzia tunaweza kujifunza kupitia kwa wenzetu.

Lkn niko tayari najiandaa kamrasha litakaloleta upembuzi wa jambo hili.

Kwasasa tupate uzoefu kupitia link hizi


View: https://youtu.be/zddiPwicaH0?si=oDVehMbqsHZVbpLm


View: https://youtu.be/RDx2zl5li5k?si=TwW5LxcLzKEYHPPA


View: https://youtu.be/LFVeJK2ZdkQ?si=3xNDM8I5KvSnTWs1


View: https://youtu.be/vwFzn5TucuQ?si=BmHGBiZ5p2LkMIy7
 
As an African, you travel to Israel to pray on a wall. This is called pilgrimage and you automatically earn the title of JP.

As an African, you travel to Saudi to pray on a black stone. This is called Hajj and you automatically earn the title of Alhaji.

As an African, you travel to your own Ancestral home or village where you were born to pray on Stone, River, Tree, or any symbolic spiritual statue in your home, this is called Pagan.ism and tagged as Felfi. sh, Dem.on!c and Devi.lish.
That is so called "Philosophy" and its dangerous.

Falsafa haikwepeki na ndio inayopifanwa hapa duniani. Vita vyote chanzo ni falsafa. Iwe ya imani, Uongozi, uchumi nk
 
Waislamu muwe mnajielimisha kidogo, mnaleta uzito kwenye jamii yenu shauri ya 'ujinga' wenu wa rejareja.
 
Waislamu muwe mnajielimisha kidogo, mnaleta uzito kwenye jamii yenu shauri ya 'ujinga' wenu wa rejareja.
Shida iliopo ukristo uko contaminated tayari. Kiasi kwamba huwezi tofautisha kati ya ukristo na ubepari. Ndio maana mambo muhimu ninyi mko torelent. Kiasi kwamba hata wakitaka watu wakasema yetu alikuwa shoga (gay) ninyi mtavumilia tu. Uislam hauna uvumilivu huo. Kwa hiyo hapa tunajaribu kusilimisha ili hatua zoanze kuchululiwa. Ujinga ni wenu kwa kuwa u r already contaminated
 
Niqab ni ziada kwako kwa tafsiri yako, kwa wenzako wengine niqab na burqa ndio stara yenyewe kwa hiyo usilazimishe mambo yako ya kidini sehemu zisizohitajika, hata hao wavaa niqab na burqa wanalipa kodi.
Sawa. Ni suala la taratibu tu. Kwani ukitaka picha password ya mwenye niqab anaweza kuvua niqabs na akapigwa picha na mwanamke mwenziwe. Niqab si kikwazo
 
Chukua mwanao baki nae nyumban kwako

Mnataka kufanya hii nchi ya kiislamu mnataka kuleta ujinga wenu hadi jeshin??
Huo upumbavu wako jeshin hakuna

Utaratibu ulikuwepo, upo, na utaendelea kuwepo chukua mtoto lako kalee kama yai


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yeye amezungumzia kuhusu Imani na mafunzo ya kiimani akasema serikali haina dini ina katiba na katiba inawalinda wananchi na kuheshimu Imani zao ama dini zao unasema chukua toto lako unakosea maana vilevile hii nchi sio yakikiristo pekee NI nchi ambayo wananchi wake wanaimani tofautitofauti
 
Back
Top Bottom