Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Jeshini hatuko hivyoKuhenyeshwa sawa lakini vile vibukta kwa watoto wa kike si sawa...ningependa na viongozi wa dini waingilie hili kati. Kuna mijitu pale inataka tu kulisha macho yao....
Mbona hao wahindi hapo wana mavilemba viongozi wa dini waingilie hiliKuna vitu haviwezekani mkuu, unataka mtoto akimbie mabio na hijab? Hell no! unasema kuna watu wanataka kulisha macho yao, ukienda baada ya wiki mbili hao mabinti hawatofautishiwi na wanaume hizo sura zao
Wawe na taifa lao tu au wahamie ulikotoa hizo picha.Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.
Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume, nazungumzia vibukta kwa lazima.
Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.
Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.
Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.
Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta kwa jina la serikali isiyo na dini, kwa jina la uzalendo kwanza.
Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?
Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya Watanzania imani za dini zao badala ya kuzilinda.
Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna Sheria za JKT zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.
Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.
Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya Chama Cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.
Kwa miaka mingi sasa JKT imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.
Kwani JKT ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.
Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.
Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini katika mafunzo ya JKT wasiwe na uhuru huo.
Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?
Iwapo ni masharti ya serikali (JKT) hawaoni wanaisigina Katiba inayotoa uhuru wa kuabudu na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusiwa kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo, je, hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?
Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?
Kunawataka Watanzania waelewe hili, uhuru wa kuabudu ni misingi ya haki za binadamu.
Kwanini watz tuko wa ajabu sana linapokuja suala la kuvumiliana values zetu. Kila kundi linalounda watanzania. Kwanini tulazimushwe kufata imani na values za kipagani.
Kwani Ujamaa ni imani.
imani ya Ujamaa ni upagani.
Kama dini dini ni imani
Na kama Ujamaa ni imani
Then Ujamaa ni dini.
Hivyo kusema serikali haina dini ni uongo uliotengenezwa, disinformation and unconstitutuion.
Dini ni falsafa na Ujamaa ni falsafa.
Kwanini serikali iwe na imani ambayo iwe ni lazima kwa wenye imani nyingine kuifata.
Mataifa ya kidemokrasia yanayojipambanua kusimamia haki za binadamu na uhuru wa kuabudu wameweka
GUIDE ON RELIGION AND BELIEF IN THE ARMED FORCES.
Unaweza kugoogle hii title na tuelimike
Hahaha mkuu nimecheka balaa. Faster nenda kwa mangi hapo uagizie chochoteMzee Mohamed Said tunaomba maoni yako kuhusu hili suala. Ruksa kumtaja Sykes kwenye maelezo yako.
Hatutaki watoto wa imani ya kikristo wavae hijab, hatutaki watoto wa imani ya kipagani wavae hijab.Hakuna dini ya kinafki na walalamishi kama waislamu.
Kila kukicha wanamadai mapya. Wanajikuta wao ni special sana. Hata wakiwa kumi tu ktk mia watataka hao tisini wawafuate wao kwa lazima.
Hii husababisha hata wakikaa wao kwa wao lazima wadundane.
NB: Majini pia yanachangia
Nchi na taasisi zake zinaendeshwa kwa mujibu wa katiba.Ningekuona unaakili laiti ungesema waislamu wote jinsi zote kiume na kike hawapaswi kwenda Jeshini sababu Jeshi haifuati taratibu zenu za kiislamu.. hapo ningekuona unaakili..
Jeshi lina misingi na taratibu zake Hapa Tanzania halikulazimishi kwenda
Mbona mnakuwa vuguvugu kwanini msiwe baridi au moto ikafahamika..
Rais mwenyewe wa Tanzania ni mwanamke na ni Amri jeshi Mkuu ..katika Uislamu wenu hilo linakubalika?
Kwanini huko misikitini msimuambie au mkataza kama mnaona haifati muongozo wenu..
Ukiona Jeshi la hapa Tanzania halifati misingi yako ya kiiimani Usiende usimpelekee kijana wako huyo wa kike au wewe mwenyewe hutaona jeshi likikufata au kubembeleza.
Kila sehemu kuna taratibu zake.
Shee hijab ni utamaduni wa jamii ya zaidi ya 30% ya watz walipa kodi wa nchi hii.Kwani udamaduni wa mtanzania ni upi kiongozi.
Maana usijekuta hata utamaduni wetu hatuujui.
Hijab ni utamaduni wa kabila gani?
Ni utamaduni wa watu wa mashariki ya katiKwani udamaduni wa mtanzania ni upi kiongozi.
Maana usijekuta hata utamaduni wetu hatuujui.
Hijab ni utamaduni wa kabila gani?
Ningekuona unaakili laiti ungesema waislamu wote jinsi zote kiume na kike hawapaswi kwenda Jeshini sababu Jeshi haifuati taratibu zenu za kiislamu.. hapo ningekuona unaakili..
Jeshi lina misingi na taratibu zake Hapa Tanzania halikulazimishi kwenda
Mbona mnakuwa vuguvugu kwanini msiwe baridi au moto ikafahamika..
Rais mwenyewe wa Tanzania ni mwanamke na ni Amri jeshi Mkuu ..katika Uislamu wenu hilo linakubalika?
Kwanini huko misikitini msimuambie au mkataza kama mnaona haifati muongozo wenu..
Ukiona Jeshi la hapa Tanzania halifati misingi yako ya kiiimani Usiende usimpelekee kijana wako huyo wa kike au wewe mwenyewe hutaona jeshi likikufata au kubembeleza.
Kila sehemu kuna taratibu zake.
Ni utamaduni wa watu wa mashariki ya kati
Acheni mihemko tufate katiba.Wawe na taifa lao tu au wahamie ulikotoa hizo picha.
Nani kakwambia mimi ni Mkristo?Shida iliopo ukristo uko contaminated tayari. Kiasi kwamba huwezi tofautisha kati ya ukristo na ubepari. Ndio maana mambo muhimu ninyi mko torelent. Kiasi kwamba hata wakitaka watu wakasema yetu alikuwa shoga (gay) ninyi mtavumilia tu. Uislam hauna uvumilivu huo. Kwa hiyo hapa tunajaribu kusilimisha ili hatua zoanze kuchululiwa. Ujinga ni wenu kwa kuwa u r already contaminated
Sasa mbona mtoa mada anasema Bukta hizo ni kinyume na utamaduni wetu.Ni utamaduni wa watu wa mashariki ya kati
Hebu taja hata jamii tatu tu za Tanzania ambazo hijabu ni utamaduni wake.Shee hijab ni utamaduni wa jamii ya zaidi ya 30% ya watz walipa kodi wa nchi hii.
Lkn mada hapa ni kufata katiba.
Katiba inatoa haki ya uhuru wa kuabudu.
Wakati waislam walipotaka watoto wao wa kike kuvaa hijab ilikuwa hivi hivi. Ninyi wenzetu mnakosa uvumilivu wa kuheshimu values za wengine.
Mbona waislam tunawavumilia.
Tufate katina, utawala bora na haki za binadamu
Na hapa ndipo matatizo na mitafaruku mikubwa inapoanzia kati yenu na jamii au tamaduni nyingineUislam hauna uvumilivu huo. Kwa hiyo hapa tunajaribu kusilimisha ili hatua zoanze kuchululiwa.
Ni Africa pekee ndio tunapenda kufanya jambo bila kuhoji. Ukihoji unashambuliwa vibaya sana.
Kwanza swalI langu la msingi kwa nini watu wanyoe mapara? For what reason
Nchi zote kubwa dunuani, zinatambua heshima za dini husika ndio maana unqona jeshini wanawake wa kiislam wanapewa uhuru wa kujisitiriView attachment 3000836
View attachment 3000833
View attachment 3000834View attachment 3000835View attachment 3000840
Ni mtu wa hovyo sana huyu mleta uziNani kakwambia mimi ni Mkristo?
Na huoni aibu kusema dini yako haina uvumilivu? Mko sawa ninyi?
Ok. Ni hivi tz ina idadi kubwa ya watu ambao ni waislam na wakristo. Ni zaidi ya asilimia 75%Sasa mbona mtoa mada anasema Bukta hizo ni kinyume na utamaduni wetu.
Sijamuelewa.