Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Hakuna dini ya kinafki na walalamishi kama waislamu.
Kila kukicha wanamadai mapya. Wanajikuta wao ni special sana. Hata wakiwa kumi tu ktk mia watataka hao tisini wawafuate wao kwa lazima.
Hii husababisha hata wakikaa wao kwa wao lazima wadundane.

NB: Majini pia yanachangia
 
Ningekuona unaakili laiti ungesema waislamu wote jinsi zote kiume na kike hawapaswi kwenda Jeshini sababu Jeshi haifuati taratibu zenu za kiislamu.. hapo ningekuona unaakili..

Jeshi lina misingi na taratibu zake Hapa Tanzania halikulazimishi kwenda

Mbona mnakuwa vuguvugu kwanini msiwe baridi au moto ikafahamika..

Rais mwenyewe wa Tanzania ni mwanamke na ni Amri jeshi Mkuu ..katika Uislamu wenu hilo linakubalika?
Kwanini huko misikitini msimuambie au mkataza kama mnaona haifati muongozo wenu..


Ukiona Jeshi la hapa Tanzania halifati misingi yako ya kiiimani Usiende usimpelekee kijana wako huyo wa kike au wewe mwenyewe hutaona jeshi likikufata au kubembeleza.


Kila sehemu kuna taratibu zake.
 
Kuna vitu haviwezekani mkuu, unataka mtoto akimbie mabio na hijab? Hell no! unasema kuna watu wanataka kulisha macho yao, ukienda baada ya wiki mbili hao mabinti hawatofautishiwi na wanaume hizo sura zao
Mbona hao wahindi hapo wana mavilemba viongozi wa dini waingilie hili
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume, nazungumzia vibukta kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta kwa jina la serikali isiyo na dini, kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya Watanzania imani za dini zao badala ya kuzilinda.

Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna Sheria za JKT zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya Chama Cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.

Kwa miaka mingi sasa JKT imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani JKT ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini katika mafunzo ya JKT wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (JKT) hawaoni wanaisigina Katiba inayotoa uhuru wa kuabudu na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusiwa kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo, je, hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?

Kunawataka Watanzania waelewe hili, uhuru wa kuabudu ni misingi ya haki za binadamu.

Kwanini watz tuko wa ajabu sana linapokuja suala la kuvumiliana values zetu. Kila kundi linalounda watanzania. Kwanini tulazimushwe kufata imani na values za kipagani.

Kwani Ujamaa ni imani.

imani ya Ujamaa ni upagani.

Kama dini dini ni imani
Na kama Ujamaa ni imani
Then Ujamaa ni dini.

Hivyo kusema serikali haina dini ni uongo uliotengenezwa, disinformation and unconstitutuion.

Dini ni falsafa na Ujamaa ni falsafa.

Kwanini serikali iwe na imani ambayo iwe ni lazima kwa wenye imani nyingine kuifata.

Mataifa ya kidemokrasia yanayojipambanua kusimamia haki za binadamu na uhuru wa kuabudu wameweka

GUIDE ON RELIGION AND BELIEF IN THE ARMED FORCES.

Unaweza kugoogle hii title na tuelimike

Wawe na taifa lao tu au wahamie ulikotoa hizo picha.
 
Kwani udamaduni wa mtanzania ni upi kiongozi.
Maana usijekuta hata utamaduni wetu hatuujui.
Hijab ni utamaduni wa kabila gani?
 
Hakuna dini ya kinafki na walalamishi kama waislamu.
Kila kukicha wanamadai mapya. Wanajikuta wao ni special sana. Hata wakiwa kumi tu ktk mia watataka hao tisini wawafuate wao kwa lazima.
Hii husababisha hata wakikaa wao kwa wao lazima wadundane.

NB: Majini pia yanachangia
Hatutaki watoto wa imani ya kikristo wavae hijab, hatutaki watoto wa imani ya kipagani wavae hijab.

Tunataka watoto wa kiislam wapewe haki hii iliyo ndani ya katiba.

Kwanini iwe kikwazo ndugu zetu. Munaumia nini.

Serikali yetu ilijipambanua inafata imani ya kipagani. Lkn ikasema haitowalaximisha wananchi wafate imani ya kipagani bali italinda imani zote. Ndio maana tunaikumbusha jkt wafate katiba.

Kua haya ni majini.. sikushangai uko contaminated na mafundisho ya kiongozi wako wa dini baada ya kukosa hoja ya kutetea imani yetu ambayo kimsingi suala la family inayotokana ma misingi ya ndoa haipo kwa sasa.

Kwa hiyo kulinda mtoto wa kike si miongoni mwa majukumu yeny
 
Ningekuona unaakili laiti ungesema waislamu wote jinsi zote kiume na kike hawapaswi kwenda Jeshini sababu Jeshi haifuati taratibu zenu za kiislamu.. hapo ningekuona unaakili..

Jeshi lina misingi na taratibu zake Hapa Tanzania halikulazimishi kwenda

Mbona mnakuwa vuguvugu kwanini msiwe baridi au moto ikafahamika..

Rais mwenyewe wa Tanzania ni mwanamke na ni Amri jeshi Mkuu ..katika Uislamu wenu hilo linakubalika?
Kwanini huko misikitini msimuambie au mkataza kama mnaona haifati muongozo wenu..


Ukiona Jeshi la hapa Tanzania halifati misingi yako ya kiiimani Usiende usimpelekee kijana wako huyo wa kike au wewe mwenyewe hutaona jeshi likikufata au kubembeleza.


Kila sehemu kuna taratibu zake.
Nchi na taasisi zake zinaendeshwa kwa mujibu wa katiba.

Nimeelewa kula kitu kwa mifano kutoma nchi nyingine ambazo zina serikali zisizo na dini.

Najua sababu ya mihemko yako ni kwa kuwa jambo hili ni geni kwako.

Jeshi lipo kwa mujibu wa katiba inayoruhusu uhuru wa kuabudu.

Kuvaa nguo za stara ni ibada kwa mabinti wa kiislam. Ni kuabudu. Marekani kwenye waislam wachache waruhusu. UK, sa, malawi nk.

Usinichoshe, nisikuchishe nishaekeza huko nyuma.

Pitia hivi link

https://assets.publishing.service.gov.uk/media/5a789754e5274a277e68dead/guide_religion_belief.pdf

DCAF – Geneva Centre for Security Sector Governance
Home | DCAF – Geneva Centre for Security Sector Governance › N09_Freedom_Religion
PDF


Minnesota’s first hijab wearing police woman: how cool is she? - MVSLIM


Police Scotland uniform to include Muslim hijab


Malawi Defence Force allows Muslim soldiers to wear hijab Malawi 24 | Latest News from Malawi



View: https://youtu.be/zddiPwicaH0?si=oDVehMbqsHZVbpLm



View: https://youtu.be/RDx2zl5li5k?si=TwW5LxcLzKEYHPPA



View: https://youtu.be/LFVeJK2ZdkQ?si=3xNDM8I5KvSnTWs1



View: https://youtu.be/vwFzn5TucuQ?si=BmHGBiZ5p2LkMIy7
 
Kwani udamaduni wa mtanzania ni upi kiongozi.
Maana usijekuta hata utamaduni wetu hatuujui.
Hijab ni utamaduni wa kabila gani?
Shee hijab ni utamaduni wa jamii ya zaidi ya 30% ya watz walipa kodi wa nchi hii.

Lkn mada hapa ni kufata katiba.

Katiba inatoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Wakati waislam walipotaka watoto wao wa kike kuvaa hijab ilikuwa hivi hivi. Ninyi wenzetu mnakosa uvumilivu wa kuheshimu values za wengine.

Mbona waislam tunawavumilia.

Tufate katina, utawala bora na haki za binadamu
 
Ningekuona unaakili laiti ungesema waislamu wote jinsi zote kiume na kike hawapaswi kwenda Jeshini sababu Jeshi haifuati taratibu zenu za kiislamu.. hapo ningekuona unaakili..

Jeshi lina misingi na taratibu zake Hapa Tanzania halikulazimishi kwenda

Mbona mnakuwa vuguvugu kwanini msiwe baridi au moto ikafahamika..

Rais mwenyewe wa Tanzania ni mwanamke na ni Amri jeshi Mkuu ..katika Uislamu wenu hilo linakubalika?
Kwanini huko misikitini msimuambie au mkataza kama mnaona haifati muongozo wenu..


Ukiona Jeshi la hapa Tanzania halifati misingi yako ya kiiimani Usiende usimpelekee kijana wako huyo wa kike au wewe mwenyewe hutaona jeshi likikufata au kubembeleza.


Kila sehemu kuna taratibu zake.


Tunazungumzia katiba. Hatutaki tz iendeshwe kiislam. Ingawa Uislamu hauzuii mwanamke kuwa kiongozi. Bali inazuia kuwa imamu msikitini kuwaswalisha wanaume.

Anyway mada ni kufata katiba, sheria, utawala bora sio mababu, na uhuru wa kuabudu.

Jeshi la Marekani taifa lenye idadi ndogo ya waislam wameridhia kwanini tz yenye idadi kubwa ya waislam wanadhibitiea na kubaguliwa. Hii nchi si yetu?

Usinichoshe. Pitia hizi link ujifunze

https://assets.publishing.service.gov.uk/media/5a789754e5274a277e68dead/guide_religion_belief.pdf

DCAF – Geneva Centre for Security Sector Governance
Home | DCAF – Geneva Centre for Security Sector Governance › N09_Freedom_Religion
PDF


Minnesota’s first hijab wearing police woman: how cool is she? - MVSLIM


Police Scotland uniform to include Muslim hijab


Malawi Defence Force allows Muslim soldiers to wear hijab Malawi 24 | Latest News from Malawi



View: https://youtu.be/zddiPwicaH0?si=oDVehMbqsHZVbpLm



View: https://youtu.be/RDx2zl5li5k?si=TwW5LxcLzKEYHPPA



View: https://youtu.be/LFVeJK2ZdkQ?si=3xNDM8I5KvSnTWs1



View: https://youtu.be/vwFzn5TucuQ?si=BmHGBiZ5p2LkMIy7
 
Ni utamaduni wa watu wa mashariki ya kati

Wawe na taifa lao tu au wahamie ulikotoa hizo picha.
Acheni mihemko tufate katiba.

Si watz wanapigania katiba mpya? Itakuwa na maana gn kama haitofatwa kama hii iliopo.

Mada uhuru wa kuabudu ndani ya katiba ni kwa ajili ya wanafunzi tu au taasisi zote ikiwemo jkt, jwtz, jeshi la polisi, magereza nk
 
Shida iliopo ukristo uko contaminated tayari. Kiasi kwamba huwezi tofautisha kati ya ukristo na ubepari. Ndio maana mambo muhimu ninyi mko torelent. Kiasi kwamba hata wakitaka watu wakasema yetu alikuwa shoga (gay) ninyi mtavumilia tu. Uislam hauna uvumilivu huo. Kwa hiyo hapa tunajaribu kusilimisha ili hatua zoanze kuchululiwa. Ujinga ni wenu kwa kuwa u r already contaminated
Nani kakwambia mimi ni Mkristo?
Na huoni aibu kusema dini yako haina uvumilivu? Mko sawa ninyi?
 
Shee hijab ni utamaduni wa jamii ya zaidi ya 30% ya watz walipa kodi wa nchi hii.

Lkn mada hapa ni kufata katiba.

Katiba inatoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Wakati waislam walipotaka watoto wao wa kike kuvaa hijab ilikuwa hivi hivi. Ninyi wenzetu mnakosa uvumilivu wa kuheshimu values za wengine.

Mbona waislam tunawavumilia.

Tufate katina, utawala bora na haki za binadamu
Hebu taja hata jamii tatu tu za Tanzania ambazo hijabu ni utamaduni wake.
Tatu tu.
 
Mkuu picha ulizoweka ni wanajeshi kamili hujaweka wakiwa mazoezini kama akina mdee,bulaya na wenzao hapo. Uzi wa mleta mada unahusu mafunzoni hauwahusu wanajeshi kamili.

Halafu kumbe US kwa mabeberu wanajeshi wa kiislamu wanakula bata basi haina haja ya kuwasingizia kuwa wanauchukia uislam wakati mpo huru sana kule
Ni Africa pekee ndio tunapenda kufanya jambo bila kuhoji. Ukihoji unashambuliwa vibaya sana.

Kwanza swalI langu la msingi kwa nini watu wanyoe mapara? For what reason

Nchi zote kubwa dunuani, zinatambua heshima za dini husika ndio maana unqona jeshini wanawake wa kiislam wanapewa uhuru wa kujisitiriView attachment 3000836

View attachment 3000833
View attachment 3000834View attachment 3000835View attachment 3000840
 
Sasa mbona mtoa mada anasema Bukta hizo ni kinyume na utamaduni wetu.
Sijamuelewa.
Ok. Ni hivi tz ina idadi kubwa ya watu ambao ni waislam na wakristo. Ni zaidi ya asilimia 75%

nikuulize bukta inaruhusiwa kwa msichana kwenda nayo kanisani. Sikuulizi msikitini.

Ktk mataifa yenye watu wanaielewa haki za binadamu, utawala bora na kufata demokrasia, ktk mataifa hayo wengi hufunga sheria. Kama ilivyo ktk kupiga kura. Wenye wingi wa kura ndio hutunga sheria. Unlikely to tz kuna finyu mkubwa wa watu wake.

Kwa ufupi bukta kwa wasichana si utamaduni wa watz walio wengi. Wakristo na Waislamu
 
Back
Top Bottom