Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Wewe ndio uache mihemuko. Use your common sense. Hata kama kuna katiba lakini kuna taratibu za kufuata kila sehemu. Ndio maana waislam wote wanaosoma shule za kikristo wanafuata taratibu za shule hizo. Hijabu inaachwa getini hutaki usiende.
Tatizo hili. Kwa hiyo shule za kikristo ni taasisi za serikali. Kwa hiyo serikali hii ni ya kikristo kama ilivyo shule za kikristo.


Kwann nyie ndugu zetu hamukiri tu kuwa hili ni kosa na litarekebishwa.

tunaongea hays kwa kutilia mkazo 4R za mama. Ni wakati wa kufanya Maridhiano kama taifa. Mna pungukiwa na nini mkiridhiria iwapo mnakiri ktk hili katiba inasiginwa
 
Kiukweli ni kitu kinakera sana, dadangu alienda huko toka maisha yake ya baleghe na kujitambua hajawahi kuonekana mguu wake acha hilo paja mabega nywele ila walivyo hawana adabu wakamvalisha hivyohivyo aisee!!! Alafu wao wanafurahia hvyo kumuacha mtoto uchi ati
NI BORA LIWEKWE AZIMIO LA KUGOMEA HII KITU
 
Ndugu kwann utangulize mambo vita, wakati kinachotakiwa ni kupress the button tu.

Kwa vile katiba imekiukwa muda wote huu ni suala la kiongozi mwenye dhamana hii kutoa tamko.
 

Hatua ya pili tutakwenda mahakamani. Nililipeleka bakwata hili lkn wao wakanijibu mamlaka yao wanaishia mlangoni wa msikiti wa kutoka nje. Kwa hiyo hawana msaada.
 
My people. Tanzania nani Katuroga kuwa jeshi halifati katiba.

Tafuteni clip ya mkuu wa jeshi aliyestaafu alivyoingilia kati na kufata katiba.

Tafuteni clip yake ya mwisho mzee wetu huyu
 
Perfect , umelezea vizuri sana 💯
 
Dhambi kwa muislamu ni kula nguruwe. Zingine siyo dhambi
Utawakuta mabinti wa kiislamu wamevaa majuba wameacha macho tu lkn hawana bikra na hawajaolewa.
Ukiwauliza watakuambia wanajistili, sijui na baridi
 
Ni hoja nzuri tu.
Lakini jeshini siyo mskitini au kanisani kule ni kazi kazi.
Vipi kwenye michezo?
Huyo ni mchezaji wa Timu ya Morocco (Islamic country)
 

Attachments

  • images (6).jpeg
    28.7 KB · Views: 2
Ndugu hii ni nchi insyoendesha kwa katiba, Sio kama wanavyosema kuwa viongozi waneamua.

Pili ungejisomea Kodogo falsafa unaeelewa umuhimu wa imani ktk kutetea nchi na mtu mmoja mmoja.

Serikali yyt lazima iongeze na imani. Serikali ya ina imani.

lkn kubwa zaidi ubora wa serikali hutegemea imani aliyonayo mtendaji wa serikali.

Nchi hii imekuwa ikiongozwa kwa muda mrefu na tabaka moja la jamii. Kiasi kwamba maamuzi yao yaliyoegemea imani zao za asili wanadhani ndio sheria ya taasisi na serikali kuu kwa ujumla.

Ili kuendesha taasisi yyt ya serikali katiba ya nchi ndio msingi mkuu, na wala si imani ya mtendaji wa serikali.

Katiba inatoa uhuru wa wananchi wa kuabudu akiwa ktk majukumu binafsi au majukumu ya taifa.

Jkt ni taasisi inayopaswa kuheshimu katiba. Kwa kutambua hili nchi zilizoamua kuheshimu utawala bora, haki za binadamu ximeweka utaratibu wa maeneo ya kambi za kijeshi kuwapatia haki hiyo waumini wa imani tofauti kupractice imani zao.

Nchi hizo zikiongozwa na Marekani yenyewe.

Swali inakuwaje nchi kama Marekani yenye waislam wachache inawalinda waislam, masingasinga na mayahudi kupractice imani zao jeshini. Huku tz yenye idadi kubwa ya waislam ikiwabagua, na kuwadhibiti.

Tunapitwa hata na malawi.

Nilitarajia mtu kama wewe unaonekana kuwa msomi angesema tu hili suala ni fikra mpya, hatujaizoea lkn kama taifa tumefanya makosa na hivyo kosa hili la kikatiba tulisahihishe.

Na tuonyeshe uwezo wetu wa kuvumilia values za jamii zote zilizoorodheshwa ndani ya katiba tunazitekeleza kwa kuunga mkono dhana ya 4R ya mama Samia


Pitia link hizi uone mataifa ya kidemokrasia yanavyotekeleza haki hii



Police Scotland uniform to include Muslim hijab


Malawi Defence Force allows Muslim soldiers to wear hijab Malawi 24 | Latest News from Malawi


SOUTH AFRICA ARMY ALLOW MUSLIM WOMAN TO WEAR HIJAB - Google Suche



View: https://youtu.be/zddiPwicaH0?si=oDVehMbqsHZVbpLm

View: https://youtu.be/RDx2zl5li5k?si=TwW5LxcLzKEYHPPA


View: https://youtu.be/LFVeJK2ZdkQ?si=3xNDM8I5KvSnTWs1


View: https://youtu.be/vwFzn5TucuQ?si=BmHGBiZ5p2LkMIy7
 
Sio lazima waende jeshi,
si lazima ni kweli na hiyo sio mada yetu. Mada haijasema ni lazima kwa mabinti wa kiislam kwenda jkt. Mada ni jkt wafate utawala bora kwa kutekeleza sheria na haki ya uhuru wa kuabudu iliyoainishwa ktk katiba ya nchi. Kwani kuvaa mavazi ya stara ni ibada.

Tatizo watz tuko nyuma na somo la uraia. Kujua haki zetu
 
Sawa ujamaa ni imani.
Ni vizuri tukifuata imani ya serikali yetu na wala sio huo upuuzi wa imani zingine.
Hujui somo la uraia. Kwa hiyo unataka kuwalazimisha watz wafate imani ya kipagani. Wakati katiba imeapa kuwapa uhuru wananchi wafate imani zao.

Watz wengi ni bora andazi
 
Vitani watavaa madera na nikhab?
Jehova witness nao wakitaka suti itakuwaje?
Wasabato nao wakisema wanataka natural air itakuwaje?
Marasta wakigoma kunyolewa nywele itakuwaje?'Mnatudhalilisha waislamu kila siku sisi ndio lia lia.
 
Baadhi ya Waislamu wagumu sana kuishi Kwa utengamano na watu wa Imani zingine na hata wao kwao

Wakitofautiana hata kiimani tu vita inalipuka kama ilivyo Somalia nk

Na Tanzania huitana makafiri kisa kutoamini mwezi umeandama au la utasikia huo mwezi wa makafiri wa Bakwata
 
Kama kawaida dini ya wapumbavu kila kona wanataka waingize dini pumbavu kabisa

Nilisha semaga hawa watu hawawezi ku co exit mara nyingi huwa wanataka tamaduni za dini husika ziende kwenye kila idara.....

Sasa jeshi na dini wapi na wapi
 
Kuhenyeshwa sawa lakini vile vibukta kwa watoto wa kike si sawa...ningependa na viongozi wa dini waingilie hili kati. Kuna mijitu pale inataka tu kulisha macho yao....
Hujawahi kujua jinsi vibukta vinaongeza morali, Jeshi linajitegemea haliendeshwi Kama unavyojiskia lina taratibu zake!
 
Leta hicho kifungu kinachokataza mabinti wa Kiislam kuvaa kaputula.
Ni kifungu cha 19 cha katiba. Kifungu cha pili kinachoitoa uhuru wa kuabudu. Na ibara ya 29 - 30 inayozuia mtu yyt kuzuia wengine kutekeleza haki zilizoanishwa na katiba.

Ufafanuzi.

Kuabudu ni nini.

Jamii moja inayounda watanzania wanaamini kuabudu ni kwenda ktk majumba ya ibada au kumsifia Mungu. Ktk uislam kuabudu ni kutekeleza kila amri ya Mungu. Kwa mfano kuvaa mavazi ya stara tasiyoonyeshesha mapaja, nywele za msichana wa kiislam ni ibada, ni kuabudu. Na ktk miaka ya 80 kama ulikuwepo jamii inayoamini kuamudu ni kwenda kanisani au msikitini walipanga hivi hivi wazo la watoto wa kike wa kiislam kuvaa uniform zenye sifa za kuitwa hijab. Lkn kisheria ikaoneshana yafaa wasichana kuvaa hijab.

Ndio tunachojaribu kutumia kifungu vile vile kwa wanafunzi wa mafunzo ya kijeshi na uzalendo wa kiislam, sinhasinga, wayahudu wavishwe uniform zinazikidhi sifa za kuwa ni uniform ya kiibada (kuabudu).

19. Uhuru wa mtu kuamini dini atakayo


(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari la mtu binafsi; na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.


Masharti ya Jumla (Ib 29-30)


29. Haki na wajibu muhimu


(5) Ili watu wote waweze kufaidi haki na uhuru vilivyotajwa na Katiba hii kila mtu ana wajibu wa kutenda na kuendesha shughuli zake kwa namna ambayo haitaingilia haki na uhuru wa watu wengine au maslahi ya umma.
30. Mipaka ya haki na Uhuru na hifadhi kwa haki na wajibu
(1) Haki na uhuru wa binadamu ambavyo misingi yake imeorodheshwa katika Katiba hii havitatumiwa na mtu mmoja kwa maana ambayo itasababisha kuingiliwa kati au kukatizwa kwa haki na uhuru wa watu wengine au maslahi ya umma.
 
Vitani watavaa madera na nikhab?
Jehova witness nao wakitaka suti itakuwaje?
Wasabato nao wakisema wanataka natural air itakuwaje?
Marasta wakigoma kunyolewa nywele itakuwaje?'Mnatudhalilisha waislamu kila siku sisi ndio lia lia.
Katiba ifatwe take example Marekani.

Acheni ubinafsi hii nchi si ya wapagani keep yao na wanaowakaribia ambao yaone wamepewa haki zote.

Tukumbuke upagani ni imani kama zilivyo imani nyingine. Na ktk suala la imani watendaji wa serikali hawapaswi kutegemea imani moja na kulazimisha imani nyingine wafate kanuni za imani nyingine. Hata kama imani hiyo ni ya chama tawala.

Hakuna kulazimishana ktk imani. Kila mtu abaki na imani yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…