Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Mtu unazini unaua unaiba unasema uongo leo unapiga kelele buktaaaa?? Piga kelele kuhusu dhambi kwanza ukimaliza rudi

Mkuu hilo swala halipo na halitokuja kuwepo.
Acha vijana tuwanyooshe na tuwaweke katika mstaari mmoja.

Ukiona unampenda sana kijana wako njoo mchukue ukae nae nyumbani
 
Kwenye hiyo nusu ni pamoja na hawa wacheza vigodoro waimba singeli pamoja na hawa wanao tikisa makalio kwenye madalala wakienda shuhulin? Au ni kwa wale swale tano tu?
 
Kuna vitu haviwezekani mkuu, unataka mtoto akimbie mabio na hijab? Hell no! unasema kuna watu wanataka kulisha macho yao, ukienda baada ya wiki mbili hao mabinti hawatofautishiwi na wanaume hizo sura zao

mbona kwa wengine vinawezekana? haviwezekani hapa kwetu tu?
 

kwahiyo kuvaa HIjabu ni udini? Wagalatia bana muna vituko sana
 
Maislamists bana, mnajifanya mnaijua sana dini kumbe hamna kitu. Tumebaini hata hizo swala zenu mnazotoa kwa kiarabu kumbe huwa mnazielekeza kwa mtume Mohammed ambaye ni mfu na kaburi lake liko maddina. Si afadhali hata mngesali kupitia kwa yesu ambaye kitabu chenu hicho hicho kinasema alinyakuliwa akiwa hai kwenda kwa Mungu ambako yuko akiwa hai mpka sasa.
Angalia huyo mwenzio akiwekwa kikaangoni

Maislamists bana mnajifanya mnaijua sana dini kumbe hamna kitu. Tumebaini hata hizo swala zenu mnazotoa kwa kiarabu kumbe huwa mnazielekeza kwa mtume Mohammed ambaye ni mfu na kaburi lake liko maddina. Afadhali mngesali kupitia kwa yesu ambaye kitabu chenu hicho hicho kinasema alinyakuliwa akiwa hai kwenda kwa Mungu ambako yuko akiwa hai mpka sasa. Angalia huyo mwenzio akiwekwa kikaangoni.
Your browser is not able to display this video.
 
Jikite kwenye mada.

Taifa linaongozwa na katiba na sheria.
 
Hawajalazimishwa kwenda JKT.
Unaweza kuingia Leba na JEANS Condom?
 
We ni mnafki aliye-expire akili. Unaandika upuuzi wote huu muda unatoa wapi? Baadaye mnalalamika kwaini waislamu wengi ni maskini. Hujawaona waliokuwa walinzi wa Muamar Ghadafi nguo walizokuwa wanavaa? Walikuwa wanavaa baibui? We unaujua uislam kuliko waarabu? Mapumbavu ni mapumbavu tu
 
Hawajalazimishwa wakati majina ya wanafunzi waliopangwa na makambi ya ngono watakayoripoti yanawakwa hadharani? Punguza uwongo wako mkuu.
Wamefuatwa nyumbani waende?
Mficha uchi hazai.
Wabaki madrsa, wasio na dini wataendea watulinde.
Si lamza.
Ma gyno wa kiume si wanawavua manguo na kuchunguza via zao za uzazi? au wanapimwa na wanawake tu?
Wana hospitali zao wanapotoleaga mimba ambapo madaktari ni wanawake tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…