Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Kusema kweli mimi nilikuwa sijawahi kufahamu kwamba wanafunzi wa kike wanavalishwa bukta huko JKT hadi nilipoona hizi picha kwenye uzi wako mtoa mada.

Hii ni mbaya sana. Haiwezekani JKT wakiuke katiba kwa kisingizio cha uzaleno. Huo ni zaidi ya uwendawazimu.

Na kibaya zaidi eti wanawanyoa nywele kama wafungwa. ikiwa JKT wataendelea na upumbavu huu kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha sita, binti yangu bora aishie kidato cha nne kisha aende chuo cha kati na hatimaye chuo kikuu.

Kama kwenda JKT ndio tiketi ya kwenda chuo kikuu ni bora binti yangu atumie njia mbadala kufika huko kuliko kwenda kuvuliwa sketi na maafande wa JKT wanaovuta bangi na kuvalishwa bukta kwa lazima huku mapaja yote yakiwa wazi. Sikubali.

Jambo jingine la kipumbavu na kiuendawazimu linalosemekana kufanyika huko kwenye makambi ya JKT ni maafande kuwageuza watoto hawa wa kike kuwa wake zao. Hili ni jambk la hatari sana.

Ewe chuki, chukua hatua ya kumpima binti yako kabla hajaenda JKT na akirudi nyumbani mpime tena ili kujiridhisha. Kama akirudi akiwa ameharibiwa au ameambukizwa UKIMWI na maafande, fungua kesi serikali iwajibike kwa uhalifu huo.
Shukran sana mkuu kwa kulielewa hili na imenimaliza.

Ukweli usiotakwa kusemwa kuwa kuna hisia wanajeshi wanafanya watoto wa kike kuwa ni wake zao.

Na kisaikolojia kuwavisha watoto wa kike bukta na kuwachanganya na watoto wa kiume na kuwafanyisha mazoezi magumu kunawaondokea watoto wa kike aibu na kuwaweka tayari kufanywa lolote ili mradi asiolewe mateso zaidi.

Huko mbeleni tutahitaji kama zilivyo shule za bweni za wasichana au wavulana. Na kambi hizi pia ziwe ktk mfumo huu. Hii nchi ni ya kwetu sote. Na hini ni kosa kubwa limefanywa na waumini wa dini zote kuwaachia walevi watufanyie maamuzi kwa niaba yetu.
 
Ndugu Mohamed hii mada ni nzuri lakini kwa hapa JF ni kama haina uzito, kwani katika kipindi hiki tunachopita nacho nadhani badala ya uzuri wa mada hii itakuwa ni dhihaka na kebehi. Ninacho kiona michango mingi itakuwa si ya hoja bali ni mihemko ya kidini, hivyo basi ingekuwa tungeomba taasisi za dini husika zikae na vyombo vya ulinzi na usalama na viangalie jinsi gani ya kuendesha program zao kwa kuzingatia imani, utamaduni na mila za wananchi wake. Tunaposema serikali haina dini bali wananchi ndiyo wenye dini kauli tata iliyoficha na kunyima haki za wenye dini.
Ndio. Hii ni hatua ya kwanza ya kufanya awareness kwa jamii.

hatua ya pili ni kuwashirikisha viongozi wa dini au kwenda kukipeleka shauri hili mahakamani ili mahakama itoe tafsiri ya serikali kutokuwa na duni.

Inapaswa kuwalinda wenye dini au kuwadhibiti, kuwabagua na kufanyika haki ya kubudu.
 
Shekhe Mohamed Abubakar,
Kwema? Mbona kwenye bar nyingi mabinti wa imani yako akina ASHURA ni wengi tu wanauza vinywaji wakiwa wamevaa vibukta na vimini unaona tu hadi kunako na husemi kitu?!!

Jeshi likianza kukumbatia dini litakuwa kitu kingine, siyo jeshi tena!
Kwa hiyo unamaanisha jeshi letu liendeshwe kama bar. Na unamaanisha watoto wa kike wanaokwenda jeshini wafanye kama wanawake wa bar kuwa ni jambo la kawaida jeshini. Nawe unaridhia binti yako akafanyie mambo ya bar.

Ndugu yangu. Jeshi ni mihimili wa serikali na unapaswa kuendesha kwa kufata sheria mama (katiba). Iwapo taarisisi yyt ikiwemo jeshi imetumia sheria yanayokinzana na katiba. Sheria hiyo inakuwa batili dhidi ya katiba.
 
Ukristo na uislam siyo utamaduni wa Tanzania,nimekuuliza kuhusu utamaduni wa Tanzania,bukta ni kinyume na utamaduni wa kabila lipi la Tanzania?
Tufate ushauri wa mama. Ni muda wa kujadili 4R.

Tufanye Maridhiano kama nchi. Nadhani wewe ni under 20.

Hatutoelewa.

Katiba na haki ya uhuru wa kuabudu ndio mada kuu.
 
Kwa hiyo unamaanisha jeshi letu liendeshwe kama bar. Na unamaanisha watoto wa kike wanaokwenda jeshini wafanye kama wanawake wa bar kuwa ni jambo la kawaida jeshini. Nawe unaridhia binti yako akafanyie mambo ya bar.
Ni wapi nimesema hivyo maalim?
Umri wako kwanza tafadhali, maana isijekuwa nabishana na katoto
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume, nazungumzia vibukta kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta kwa jina la serikali isiyo na dini, kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya Watanzania imani za dini zao badala ya kuzilinda.

Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna Sheria za JKT zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya Chama Cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.

Kwa miaka mingi sasa JKT imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani JKT ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini katika mafunzo ya JKT wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (JKT) hawaoni wanaisigina Katiba inayotoa uhuru wa kuabudu na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusiwa kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo, je, hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?

Kunawataka Watanzania waelewe hili, uhuru wa kuabudu ni misingi ya haki za binadamu.

Kwanini watz tuko wa ajabu sana linapokuja suala la kuvumiliana values zetu. Kila kundi linalounda watanzania. Kwanini tulazimushwe kufata imani na values za kipagani.

Kwani Ujamaa ni imani.

imani ya Ujamaa ni upagani.

Kama dini dini ni imani
Na kama Ujamaa ni imani
Then Ujamaa ni dini.

Hivyo kusema serikali haina dini ni uongo uliotengenezwa, disinformation and unconstitutuion.

Dini ni falsafa na Ujamaa ni falsafa.

Kwanini serikali iwe na imani ambayo iwe ni lazima kwa wenye imani nyingine kuifata.

Mataifa ya kidemokrasia yanayojipambanua kusimamia haki za binadamu na uhuru wa kuabudu wameweka

GUIDE ON RELIGION AND BELIEF IN THE ARMED FORCES.

Unaweza kugoogle hii title na tuelimike

Wamefata nini huko? Majini si ndugu zenu? Wapelekeni huko🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume, nazungumzia vibukta kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta kwa jina la serikali isiyo na dini, kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya Watanzania imani za dini zao badala ya kuzilinda.

Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna Sheria za JKT zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya Chama Cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.

Kwa miaka mingi sasa JKT imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani JKT ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini katika mafunzo ya JKT wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (JKT) hawaoni wanaisigina Katiba inayotoa uhuru wa kuabudu na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusiwa kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo, je, hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?

Kunawataka Watanzania waelewe hili, uhuru wa kuabudu ni misingi ya haki za binadamu.

Kwanini watz tuko wa ajabu sana linapokuja suala la kuvumiliana values zetu. Kila kundi linalounda watanzania. Kwanini tulazimushwe kufata imani na values za kipagani.

Kwani Ujamaa ni imani.

imani ya Ujamaa ni upagani.

Kama dini dini ni imani
Na kama Ujamaa ni imani
Then Ujamaa ni dini.

Hivyo kusema serikali haina dini ni uongo uliotengenezwa, disinformation and unconstitutuion.

Dini ni falsafa na Ujamaa ni falsafa.

Kwanini serikali iwe na imani ambayo iwe ni lazima kwa wenye imani nyingine kuifata.

Mataifa ya kidemokrasia yanayojipambanua kusimamia haki za binadamu na uhuru wa kuabudu wameweka

GUIDE ON RELIGION AND BELIEF IN THE ARMED FORCES.

Unaweza kugoogle hii title na tuelimike

Acheni mambo hayo maisha yatakuwa rahisi. Kumbuka mwarabu nae ana tamaduni zake.
 
Jamii moja inayounda watanzania wanaamini kuabudu ni kwenda ktk majumba ya ibada au kumsifia Mungu. Ktk uislam kuabudu ni kutekeleza kila amri ya Mungu. Kwa mfano kuvaa mavazi ya stara tasiyoonyeshesha mapaja, nywele za msichana wa kiislam ni ibada, ni kuabudu. Na ktk miaka ya 80 kama ulikuwepo jamii inayoamini kuamudu ni kwenda kanisani au msikitini walipanga hivi hivi wazo la watoto wa kike wa kiislam kuvaa uniform zenye sifa za kuitwa hijab. Lkn kisheria ikaoneshana yafaa wasichana kuvaa hijab.
Shekhe,
Ayatollah Khomeini, kiongozi wa nchi ambayo ni jamhuri ya kidini ameshindwa hayo mambo ya kulazimisha uvaaji wa hijab kwa kugomewa na wafuasi wa dini yake hiyo, wewe utaweza?!
 
Jeshi is tough; pili TZ hakuna lazima kujiunga jeshi km Israel; hata izo JKT cjui after form 6 hata km ukichaguliwa unaweza kuzikwepa tu. Sasa mtu unataka kujiunga jeshi unataka wawe trained km anaenda kucheza mwimbo wa Shilole?😀 Be serious bwana. Kwanza TZ hamna anayelazimishwa dini kisheria au kikatiba na hao mabinti baada ya form 6 wana akili yao timamu ya kuamua hata kama wanataka kuvaa izo hijab ambazo hawakuwahi kuchagua anyway coz it was imposed on them na wazazi wao; hivyo km hawataki wasijiunge. Simple tu.
 
Tatizo hili. Kwa hiyo shule za kikristo ni taasisi za serikali. Kwa hiyo serikali hii ni ya kikristo kama ilivyo shule za kikristo.


Kwann nyie ndugu zetu hamukiri tu kuwa hili ni kosa na litarekebishwa.

tunaongea hays kwa kutilia mkazo 4R za mama. Ni wakati wa kufanya Maridhiano kama taifa. Mna pungukiwa na nini mkiridhiria iwapo mnakiri ktk hili katiba inasiginwa
Mbona shule za kiislam nazo lazima wanawake ambao sio waislam wavae ushungi? Na wanavaa kwasababu wameamua kusoma hapo.
 
Mbona shule za kiislam nazo lazima wanawake ambao sio waislam wavae ushungi? Na wanavaa kwasababu wameamua kusoma hapo.
Wewe ni mtoto hatutoelewana. Kwa uko nje ya mada.

Kwa ufupi unapaswa kupunguza utawala wa sheria, haki za binadamu, utawala bora na uhuru wa kuabudu kwa taasisi na mihimili ya serikali
 
Shukran sana mkuu kwa kulielewa hili na imenimaliza.

Ukweli usiotakwa kusemwa kuwa kuna hisia wanajeshi wanafanya watoto wa kike kuwa ni wake zao.

Na kisaikolojia kuwavisha watoto wa kike bukta na kuwachanganya na watoto wa kiume na kuwafanyisha mazoezi magumu kunawaondokea watoto wa kike aibu na kuwaweka tayari kufanywa lolote ili mradi asiolewe mateso zaidi.

Huko mbeleni tutahitaji kama zilivyo shule za bweni za wasichana au wavulana. Na kambi hizi pia ziwe ktk mfumo huu. Hii nchi ni ya kwetu sote. Na hini ni kosa kubwa limefanywa na waumini wa dini zote kuwaachia walevi watufanyie maamuzi kwa niaba yetu.
Yes. Ndio maana nimesema kuna umuhimu wa wazazi kuwapima mabinti zao kabla ya kuwaruhusu kwenda kuharibiwa na maafande mabazazi na mavuta bange yanayowaka tamaa za kufanya ngono zembe na mabinti za watu ili wawaambukize UKIMWI na maradhi mengine ya hatari kama vile homa ya ini na gono.

Hivi ni kwanini mama Samia akiwa mwanamke anawaacha watoto wa kike waende kuharibiwa huko JKT? Ni kwa sababu yeye watoto wake hawaendi JKT au kuna sababu nyingine?

Ndugu wanaharakati na watetezi wa haki za mtoto wa kike tunaomba mtoke mafichoni mje hadharani kutetea watoto wa kike wanaoharibiwa kwenye makambi haramu ya JKT kwa kisingizio cha uzalendo.

Mungu atawahukumu kwa kukaa kwenu kimya. Mna maana gani hasa kukalia kimya janga hili? Au mmehongwa na serikali kuwaacha mabinti wa wakulima waharibiwe? Amkeni jamani.
 
Back
Top Bottom