Mabinti wa Kiisrael(Wayahudi) wanavutia sana

Mabinti wa Kiisrael(Wayahudi) wanavutia sana

Mbona mama'ke Yesu Alayhi Salaam anavaa hijabu au yeye si Myahudi?

opressed-women.jpg
Wanaovaa ni wachache.
 
For me.....
Wa Ethiopia, Somalia na wanyarwanda hawa kweli kiboko
Bahat mbaya upo mbali ungepiga Savana Nne ningelipa,,sema somalia wanakua weusi wengi japo ni mubashara,,ethiopia kwa haile sellasie I aaah malkia wa sheba amwacha kabsa mpka suleiman mtume akashindwa kujizuia,,njoo kwa jiran zetu hapo Rwanda aaaahg wachen bhnaaaa,,,
 
Ndugu wakati mwingine unatakiwa kujiuliza hivi inawezekana Katikati ya Bara la Africa kukawezekana kuwa na taifa la wazungu tupu kama ilivyo Poland au Ukraine?

Au katikati ya Ulaya kukawa na taifa la watu weusi tii kama Sudan ya kusini? inawezekana ?

Unapozungumzia Africa watu wote wanajua jamii ya kiafrica inakuwaje
Jamii za sehemu au bara moja zinatofautiana kwa
1Sura
2Maumbo ya mwili
3Tamaduni
So ni ngumu sana kwa jamii au bara moja wakatofautiana Rangi za ngozi au rangi za macho au nywele

So ukiangalia middle East jamii ya Pale wote wanafanana kama ilivyo jamii nyingine za sehemu kama Africa, Ulaya au Asia Pacific
lakini cha kushangaza katikati ya middle East kuwe na jamii nyingine ambayo ni tofauti na jamii nyingine za Middle East hakuna watu wa middle East wenye nywele za blonde au blue eyes wenye vitu hvyo yani blue eyes na blonde hair ni wazungu tu tena wazungu pure ambao wengi wanatoka Germany, Austria, Russia, Poland, Ukraine, Sweden na Denmark

Na si kuwa Ulaya tu na ww ukawa ni Mzungu wazungu wenyewe wanasema Spanish ,Turkey, Italy, Greece si wazungu pure ni mixed race ni kama vile leo sisi tunavyowaona makaburu wa kusini mwa Africa au wahindi au waarabu si waafrca pure lakini wenyewe wanajiona ni waafrca na wana Passport za nchi za Africa
Edger Sr Daby
Naweza kukubaliana na ww kwa kiasi kikubwa,,maana kuna siku nilikua nampopoa mmoja pale Rottadam Holland akasema mtu mweupe haswa hawez kua na nywele nyeusi,,japo yy alikua na nywele nyeus na anakula sana cha Arusha lakin alisisitiza wote ni mchanganyiko ulioingiliana,,
 
Bahat mbaya upo mbali ungepiga Savana Nne ningelipa,,sema somalia wanakua weusi wengi japo ni mubashara,,ethiopia kwa haile sellasie I aaah malkia wa sheba amwacha kabsa mpka suleiman mtume akashindwa kujizuia,,njoo kwa jiran zetu hapo Rwanda aaaahg wachen bhnaaaa,,,
Halafu tunafata sie sasa mabinti wa kibongo
Japo najua utakataa 😀
 
Back
Top Bottom