Mabinti wa Kiisrael(Wayahudi) wanavutia sana

For me.....
Wa Ethiopia, Somalia na wanyarwanda hawa kweli kiboko
Bahat mbaya upo mbali ungepiga Savana Nne ningelipa,,sema somalia wanakua weusi wengi japo ni mubashara,,ethiopia kwa haile sellasie I aaah malkia wa sheba amwacha kabsa mpka suleiman mtume akashindwa kujizuia,,njoo kwa jiran zetu hapo Rwanda aaaahg wachen bhnaaaa,,,
 
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜› tusifieni na mabinti wa ktz basi,hta mie mzuri
Asikudanganye mtu wanawake wa Kibongo ni wazuri, ukichanganya na chura walizonazo , dah!
 
Naweza kukubaliana na ww kwa kiasi kikubwa,,maana kuna siku nilikua nampopoa mmoja pale Rottadam Holland akasema mtu mweupe haswa hawez kua na nywele nyeusi,,japo yy alikua na nywele nyeus na anakula sana cha Arusha lakin alisisitiza wote ni mchanganyiko ulioingiliana,,
 
Halafu tunafata sie sasa mabinti wa kibongo
Japo najua utakataa πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…