Mabinti wa Kiisrael(Wayahudi) wanavutia sana

Mbn wanazidiw na rangi nyeusi kwa kiasi kikubw tuu (wabongo)
 
Hiyo sifa ni kweli ila kati ya picha ulizoweka, hamna mwenye sifa ya kuitwa mrembo anayevutia
 
Wengine wanasema uzuri wa kitu au mtu uko machoni mwa anayekitazama/anayemtazama.............
 
Gal gadot yule mdada alieshiriki fast n furios 6 ni mjew
 

Ila mleta uzi umekurupuka, unaona sample ya kiyahudi hiyo?[emoji121]️[emoji121]️[emoji121]️[emoji53]
 
Kuna watu unawatafuta wewe...umemis mapovu yao
 
Umesema sahihi. Hawa watu ni warembo si mchezo. Wana uzuri wa asili.

 

Umeshawasikia The Melanesians of Solomon Islands ? Nenda kawasome urudi hapa kurekebisha facts zako kwamba blonde ni wazungu tu na hawapo kwenye races zingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…