Mabinti wa Kiisrael(Wayahudi) wanavutia sana

Mabinti wa Kiisrael(Wayahudi) wanavutia sana

Mbn wanazidiw na rangi nyeusi kwa kiasi kikubw tuu (wabongo)
 
Hiyo sifa ni kweli ila kati ya picha ulizoweka, hamna mwenye sifa ya kuitwa mrembo anayevutia
 
Wengine wanasema uzuri wa kitu au mtu uko machoni mwa anayekitazama/anayemtazama.............
 
Gal gadot yule mdada alieshiriki fast n furios 6 ni mjew
 
e7999bbfd9b2e91167e8dd0a737ae108.jpg

Ila mleta uzi umekurupuka, unaona sample ya kiyahudi hiyo?[emoji121]️[emoji121]️[emoji121]️[emoji53]
 
Wakuu! Nilichokigundua na kisichojulikana sana ni uzuri wa hawa warembo wakiyahudi aisee, sio maarufu sana lakini inawezekana kundi hili likawa katika nafasi ya juu sana duniani kwa mvuto.

Na moja ya sifa kubwa walionayo ni kupenda familia.
Na sio wavaa mahijabu.

a58a77cfd379375915c67718b4149621.jpg


031cf7b7d9d7f60cc56c9ad0ccbff944.jpg


2b570fee3651e7183d23e2cb9a16dcd9.jpg


efa1d407e5a18c1210513fd1cc6b3a9d.jpg
Kuna watu unawatafuta wewe...umemis mapovu yao
 
Umesema sahihi. Hawa watu ni warembo si mchezo. Wana uzuri wa asili.

Wakuu! Nilichokigundua na kisichojulikana sana ni uzuri wa hawa warembo wakiyahudi aisee, sio maarufu sana lakini inawezekana kundi hili likawa katika nafasi ya juu sana duniani kwa mvuto.

Na moja ya sifa kubwa walionayo ni kupenda familia.
Na sio wavaa mahijabu.

a58a77cfd379375915c67718b4149621.jpg


031cf7b7d9d7f60cc56c9ad0ccbff944.jpg


2b570fee3651e7183d23e2cb9a16dcd9.jpg


efa1d407e5a18c1210513fd1cc6b3a9d.jpg
 
Hakuna Myahudi wa Asili wenye Blonde hair na blue eyes ww umeleta picha za wazungu wanaojiita Wayahudi

Pia kama ujui Asili zipo nne
1 Caucasian races(Europeans)
2 Mongolian races (Chinese , Koreans, Japanese )
3 Semitic races (Arabs Indian Jewish)
4 Negroid races(all blacks people)
Hizi ndizo jamii kamili za binadamu pia kuna jamii nyingine tofauti ambayo wapo wengi sana jamii hii inatambulika kama
Mixed race (chotara)
jamii hii watu wengi wanajua ni muunganiko wa mweusi na mweupe ndio wanaitwa mixed lakini si lazima hwe hvyo mixed anaweza kuwa mchina na mjapani au mwarabu na mzungu so mtoto atakaye toka hapo atakuwa mweupe pee
Sasa hoja hapa ni Mzungu ni nani?
Mzungu pure wanasema lazima kuwa na Kigezo kimoja kati ya 2
1 Blonde hair
2 Blue eyes
Mtu anaweza kusema wazungu ni watu wengi Asili ya Ulaya lakini wazungu wenyewe wanasema Spanish, Turkey, Italy, Greece si wazungu pure ni mixed race na Nchi nying sana ni kutoka jamii hii ya Mixed race ( chotara )
Wanasema wazungu pure ni Germany, Denmark, Sweden, Russian, Poland ,Ukraine etc
Blonde hair ndio kigezo kikubwa kwani wanasema katika jamii zote 4 Blonde hair zipo kwao tu ndo maana ni vigumu kumkuta mchina au mkorea wanablonde au kukita Negro ana blonde
Blonde hair unakuja kuzikuta kwa baadhi ya Waisrael ndio maana kuna msemo wanasema Waisrael wa sasa si wale wa enzi za Yesu,Musa hawa ni mchanganyiko wa Waisrael pure na mizungu
Ukiangalia wengi walikuwa Germany na Russia , Poland kule kwenye wazungu pure

Umeshawasikia The Melanesians of Solomon Islands ? Nenda kawasome urudi hapa kurekebisha facts zako kwamba blonde ni wazungu tu na hawapo kwenye races zingine
 
Back
Top Bottom