Mabinti wa kileo

Mabinti wa kileo

mabinti wa siku hizi hao hawawezi kusimama wao kama wao hadi wawe na references

Sio kweli,tatizo wanaume mnaona wanawake wanawapiga gap siku iz kuanzia kipesa,kielimu.kicheo kazin na kila ki2,so dats y fitina nyingi...wanawake wanaweze bila reference ya yoyote yule.
 
Wanaume siku iz wasione mwanamke ameendelea mara ooh kahongwa,cjui kafanyaje...achachen na vichwa vya wanawake siku izi vipo kimaendeleo zaid..iyo yako smart mind ni story tu ambazo yoyote anaeza tunga.
 
Uzuri katika kila hatua huyo partner anakuwa ana shughuli maalum e.g kumpa madesa,kumuongezea maksi,kumuweka mjini,kumpenda e.t.c
at least huwa kuna sababu
Je vijana wa kiume? ana mademu watatu wote ni classmates,kitaa wapo wawili, home kwao (kule ushagho) wapo wawili, mama mwenye nyumba bado,plus na mtoto wa tajiri fulani sasa anajitahidi amuoe
mmmmhh wote balaa,hakuna cha mabinti wala wakaka.

Kweli kabisa, haya mambo yameshamiri kotekote, si wakaka si wadada japokuwa wapo wenye tabia nzuri!!
 
mabinti wa siku hizi hao hawawezi kusimama wao kama wao hadi wawe na references

Nadhani unawasema hao wanaume wenzio ambao kila siku wanaweka matangazo kutafuta mashuga mami wa kuwalea!
 
Hii ndio maendeleo au sie wa zamani washamba? Leo utakuta binti mdodgo ana boyfriend wa primary, akimaliza primary anatafuta wa secondary. Akitoka hapo anakwenda chuoni, huko ana mvulana wa kumpa madesa na kumsaidia assignments, ana mvulana handsome boy anayempenda wa kutoka naye out huyu ni showcase, ana buzi baba mtu mzima wa kumnunulia mavazi na vitu vya gharama na ana mwalimu wa kumpa maksi darasani. Akitoka hapo akienda ofisini yule handsome boy anakuwa mume, kisha anatembea na bosi wa kumpandisha vyeo, anatembea na kijana mwingine ofisini hapo kwa kuwa anampenda, hii nini jamani?

hii post nimeipenda sana mkuu,umewapa ukweli mwana. Nami nawasindikiza na wimbo wa Samba mapangala kutoka kenya uliotamba miaka ileeee ya 90,
Chorous
Wape wape eeeh vidonge vyaooo,wakimezaa! wakitemaa ni shauri yao.*2
 
uyu vip? hii page ni kwa ajili ya wanajf, sasa fb watakujaje hapa? au unafikiri mmu
ni jambo la kufikirika na la kitoto? basi ungefungua jukwaa la siasa nk ndo
hutapata story hizi.umekuja kusoma nini katika jukwaa la maisha , mahusiano na
urafiki? shake well before use.

vp mkuu mbn unakua mkali! kuna mdada flani hiv urefu size y kati, maji y kunde chuchu six oclock kw nyuma ana mavi balaa yupo humu jamvin anaitwa feis buku!
 
je umewahi kujiuliza wavulana wa kileo wana wasichana wangapi? mabadiliko ya kijamii hayachagui jinsia, unavyoona wasichana wamebadilika ujue na wavulana wamebadika pia go bak n do ur research again
 
Yote hayo hawana HOFU na MUNGU! village flavours nyingi! ila UKIMWI unawaona waache tu wamtanie Mungu.
 
Many girls in TZ now days copy wazungus how they dress, some wear wigs and swing their heads to remove fake hair getting into their eyes like wazungu, some wear white make up and they looks like ghosts, wake up sisters ask for mafuta ya nazi, or why not be natural? Saop drammer za western zinawachengua sana mabinti wa kibongo wanapata free training ya matusi eg f**n idiot, lazy bastard etc. Stop too much imitation, be yourself girls.

Tena mbaya zaidi wanaanza na umri mdogo sana. ukimuona utaona huruma ukidhani anaonewa au anaumia kumbe wapi.
 
wanatumia rasilimali zilizopo, si km madin useme zitaisha, alietumia na asietumia mwisho wa siku mnaenda sawa
 
mi sioni shida kwa wakaka, kwani hata wahenga walisema
fahari wawili hawakai zizi moja, wakimaanisha kuwa
majike wanaweza kaa wakiwa under fahari moja. we cheki hata
wanyama kama simba... au hata kuku hapo kwa jirani yako then
utakubali.

we mkaleee!
 
Ndo mda wao wacha wautumie vizuri,si unajua wakati ukuta ati!
 
Back
Top Bottom