WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,234
hadi sasa wanakeketwa. Nina ushahidi huo yaani beki tatu wetu wote waliwahi kukaa hapa wemekeketwa hata huyu mpya wa mwezi wa kumi na moja! Msishangae huwa nawauliza!
hadi sasa wanakeketwa. Nina ushahidi huo yaani beki tatu wetu wote waliwahi kukaa hapa wemekeketwa hata huyu mpya wa mwezi wa kumi na moja! Msishangae huwa nawauliza!
hadi sasa wanakeketwa. Nina ushahidi huo yaani beki tatu wetu wote waliwahi kukaa hapa wemekeketwa hata huyu mpya wa mwezi wa kumi na moja! Msishangae huwa nawauliza!
BABA ERIC ! Unajua unaanzisha uzi ndani ya uzi ? Na sikuachii hapa mpaka utoe jibu "uzi creater" atuvumilie hili jambo serious! Wewe umedai ma'beki3 wako wote hua unawauliza wamekeketwa au laa, unapowauliza hizo habari hua unakua mpo na mkeo au ? Na kwa jibu lolote utakalonipa haya, ukishajibiwa majibu yao unayatumia kwa faida gani ?
Vingenevyo ungesema umeshawalamba wote ndiyo ukalifahamu hilo nisingekua na maswali kwako. Usikimbilie majukwaa mengine jibu kwanza.
idara yangu ya kazi ni kuchunguza makabila yapi wanaendeleza mila hizo.
Duh!We jamaa ni mkare,inaelekea hao beki 3 wote ushawakamua.hadi sasa wanakeketwa. Nina ushahidi huo yaani beki tatu wetu wote waliwahi kukaa hapa wemekeketwa hata huyu mpya wa mwezi wa kumi na moja! Msishangae huwa nawauliza!
Basi utatusaidia sana, sasa kuna makabila mengine wao ni visse-vessa instead kukeketa wao wana adjust hicho kikeketwacho kinakua kikubwa more than normal hawa mnawashauri nini wazidi kukuza au?
siwezi kufanya hivyo kwani ni hatari sanaDuh!We jamaa ni mkare,inaelekea hao beki 3 wote ushawakamua.
hadi sasa wanakeketwa. Nina ushahidi huo yaani beki tatu wetu wote waliwahi kukaa hapa wemekeketwa hata huyu mpya wa mwezi wa kumi na moja! Msishangae huwa nawauliza!
hapo kwenye kukeketa sasa, lo!kiomboi kisiriri. Huko utakuwa unakula kuku mpaka ukimbie.mmoja wa wasifu ni kuwa wamekeketwa.
jitahidi uwe mzuri kwenye sita kwa sita la sivyo, viserengeti kama vitatu hivi vitakusaidia kazi. Mabinti wa kinyiramba wanajua kupenda haswa endapo unajua mambo yetu. Kama mvivu kwenye sita kwa sita hesabu maumivu.
si ndo yule aliyefumaniwa igunga?
duh mkuu, me ndo natoka hukohuko kiomboi. Cha msingi mzee jaribu kupeleleza kidogo family background yao halafu muombe na mungu jibu litakuja. Nimejaribu kumentiontion back ground kwa kuwa kidogo wenyeji wengi wa hapo mambo ya ushirikina hayako nyuma sana kwao, usije ukaingia chaka.
sigienet, kwanza naomba ku declare interest, mimi sio mnyiramba, ila mzee wangu (rip) alioa, mama wa kinyiramba na ameacha nyumba mbili pale old kiomboi ziko katika majina ya mama!.
Wanyiramba kwanza
1. Ni warembo,
2. Ni wazuri,
3. Si wavivu kunako
4. Wana roho mzuri
5. Wanyenyekevu
ila pia
6. Ni wajanja
7. Hawana hiyana kutoa misaada kwa wengine (utasaidiwa) ila ni wapangaji wazuri wa ratiba zenu zisiingiliane!
8. True love sio issue kubwa sana kwao.
9. Ni wataalam wazuri wa tamaduni za kiasili za kiafrika (ndumba)
10. Pia ni gold diggers!
Duh mkuu, me ndo natoka hukohuko Kiomboi. Cha msingi mzee jaribu kupeleleza kidogo family background yao halafu muombe na Mungu jibu litakuja. Nimejaribu kumentiontion back ground kwa kuwa kidogo wenyeji wengi wa hapo mambo ya ushirikina hayako nyuma sana kwao, usije ukaingia chaka.
sigienet, kwanza naomba ku declare interest, mimi sio Mnyiramba, ila Mzee wangu (rip) alioa, mama wa Kinyiramba na ameacha nyumba mbili pale Old Kiomboi ziko katika majina ya mama!.
Wanyiramba kwanza
1. ni warembo,
2. ni wazuri,
3. si wavivu kunako
4. wana roho mzuri
5. wanyenyekevu
Ila pia
6. Ni wajanja
7. Hawana hiyana kutoa misaada kwa wengine (utasaidiwa) ila ni wapangaji wazuri wa ratiba zenu zisiingiliane!
8. True Love sio issue kubwa sana kwao.
9. Ni wataalam wazuri wa tamaduni za kiasili za kiafrika (ndumba)
10. Pia ni Gold diggers!
MKUU NAKUAMINIA KWELI UNA PhD KWENYE HILI?sigienet, kwanza naomba ku declare interest, mimi sio Mnyiramba, ila Mzee wangu (rip) alioa, mama wa Kinyiramba na ameacha nyumba mbili pale Old Kiomboi ziko katika majina ya mama!.
Wanyiramba kwanza
1. ni warembo,
2. ni wazuri,
3. si wavivu kunako
4. wana roho mzuri
5. wanyenyekevu
Ila pia
6. Ni wajanja
7. Hawana hiyana kutoa misaada kwa wengine (utasaidiwa) ila ni wapangaji wazuri wa ratiba zenu zisiingiliane!
8. True Love sio issue kubwa sana kwao.
9. Ni wataalam wazuri wa tamaduni za kiasili za kiafrika (ndumba)
10. Pia ni Gold diggers!
Thank you very much!!!!!!!!!!!! Hujawa na bias, nimepata mengi ambayo sikuyafahamu, na kiukweli mengine uliyoyataja nayaona dhahiri. please kama unadhani kuna jingine la kuongeza, ukifanya hivyo nitakushukuru sana.