The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:Inategemea na mfinyo wenyewe...mifinyo mingine utaipenda mwenyewe!
LD unataka kuniambia haupendi VX wewe basi kama haupendi nitakuja na baiskeli yangu
i hate Congolese music....can't listen to that,too low for my liking!!!
Halafu wewe!!!!wanaume kama mabinti,nani aliimba huu wimbo jamani???nahisi JD,em nikumbushe dada,naupenda kweli.......:wink2:
Mhhhhhhh!!!! Orait Oraitcheap arguments...if you managed to characterise women,you should be able to help them with the way forward.......
Nafikiri babau amekupa jibu zuri sanaAfu wewe!!!
Unataka kufinywa??
Halafu wewe!!!!
ya see! Common colores are black n white!
majita eee hii mivuvuzela wanajifanya oooh haya, hawa hapa sasa
hapo tulitwanga kotekote au? Maana hii si hasira. Ni ghadhabu
Kwa kuwa leo nina furaha sana,
Kwa kuwa leo ni wikiendi,
kwakuwa leo nna hela,
Kwakuwa leo nna kiu
Nawaageni wote kwa upendo mkuu,
Nawakaribisheni nyote kwa mapenzi makuu,
Mje tujumuike kunywa BIYA!
Michelle unanidai........!
kweli kabisa sister,tatizo lake ni ku generalize !!nataka niseme tu kuwa sio wote wako hivyo........wako mabinti wanaojiheshimu na hawako after things as u hv mentioned
Homu boyi nikupe number ya M pesa?Kwa kuwa leo nina furaha sana,
Kwa kuwa leo ni wikiendi,
kwakuwa leo nna hela,
Kwakuwa leo nna kiu
Nawaageni wote kwa upendo mkuu,
Nawakaribisheni nyote kwa mapenzi makuu,
Mje tujumuike kunywa BIYA!
Michelle unanidai........!
ndio ukome,siku nyengine tafuta mtu unayeendana nae,sio wewe mbahili afu unatafuta wadada wale wanaopenda kuspend-watoto wa mujini!ni gharama kuwatunza!....nenda katafute/kaoe kijijini huko wasio na gharama ndio wataendana na ubahili wako:mullet::A S 13:
cheap arguments...if you managed to characterise women,you should be able to help them with the way forward.......
ndio utajiju,tafuta mtu unayeendana naye! kama wewe ni wa viwanja vya uswahilini huko tafuta wa huko huko,sio ww unaendaga viwanja vya uswahilini halafu leo unataka mtu anayeenda viwanja vikubwa kwa gharama ile ile ya viwanja unavyoshindia?!!!....utakiona cha mtema kuni!!!:spider:
kwa hiyo hii huwa inasababishwa na baadhi ya wanaume kushoboka!!tena bora uje na nguo zilizochakaa kbisa yani. Halafu nakuja kukugundua baadae kwamba daaaah!! Mambo safi. Sio unaanza kutoa masimu yako makubwa makubwa na walert unaifungua fungua kuonesha una uwekundu, unasema eti hii gari siipendi nimeagiza nyingine hii nitaiuza au nitampa babu yangu.....shenzi halafu mnasema sie ndo tunapenda vijesenti vyenu mshindwe!!!