Mabinti wa leo

funga macho tu,by the time namalizana nae utakuwa umepofuka ukitu-watch,you have been warned!

Si kosa lako, kosa nilikuacha ukalelewa kwa wajomba zako........una m-warn babuyo?
 
Kwa hiyo unataka kumwambia Dsyklsexxlisia wangu kuwa weye uko salama? Stuka mjukuuz
He!


nimemsoma,ana trick za kizamani,anataka aje apewe kavu,eti kila baada ya miezi minne,vipi kama yuko kwa window period,havionekani?:A S 13:
 
Si kosa lako, kosa nilikuacha ukalelewa kwa wajomba zako........una m-warn babuyo?

nilisema kwa nia nzuri ili usipofuke babu,samahani sana,niko chini ya miguu yako niwie radhi,asante kwa malezi!!:hand::hand:
 
nimemsoma,ana trick za kizamani,anataka aje apewe kavu,eti kila baada ya miezi minne,vipi kama yuko kwa window period,havionekani?:A S 13:

:coffee::coffee: koku naomba mwongozo apo...
 
Kwa hiyo unataka kumwambia Dsyklsexxlisia wangu kuwa weye uko salama? Stuka mjukuuz!

He!

La la la la la la unaharibu jina la mjukuu HADHARANI??? :A S 13:
Zis is pyua ABYUZIIII

Babu mim niko salama salimin ndio maana mjukuu wako haoni tabu kunikubalia
 
nimemsoma,ana trick za kizamani,anataka aje apewe kavu,eti kila baada ya miezi minne,vipi kama yuko kwa window period,havionekani?:A S 13:

Afadhali awe kwenye window period.........akiwa kwenye door period si ndo itakuwa balaa?
 
nimemsoma,ana trick za kizamani,anataka aje apewe kavu,eti kila baada ya miezi minne,vipi kama yuko kwa window period,havionekani?:A S 13:

Nitaweka na vilainisho kidogo, ikiwa kavu sana moto utawaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…