Mabinti wa leo

Mabinti wa leo

u always miss the points. Unapojibu hoja hata hufikirii iliyotangulia ilisemaje. Unyamaze tu maana nakuona unajibu kighadhabu

yeah,cheap points i do miss them,i do not even wanna see them,thats why i keep confusing you and you keep :blah::blah::blah:
 
Michelle nakusalimu! Muzima wewe? Karibu counter ya juu!

Nakusalimu pia Kimey,heshima yako mkuu!
mi mzima niko tu nasubiri mwanaume wangu mwenye hela na ushawishi aje tutoke tuje kaunta ya juu tufurahi na Kimey,tule nyama choma na vinginevyo....!!!
 
you cant even present strong argument,mtu akichallenge upupu wako unaishia kuwa verbal....inferiority complex inakusumbua!...sishangai sababu hizo findings wanaziletaga watu wenye inferiority complex kama wewe!

bado hujaosha kinywa tu? Afu yaelekea una hasira na mi particularly. Unanifaham?
 
"Anger dwells only in the bosom of fools.” AND “Anger is never without a reason, but seldom with a good one”

By Albeit Einstein

Sijakwambia wewe. Mbona unanifata fata??? Mie nimekuacha wewe bado tu na vidhungu vyako nimekwambia sielewi viingereza vyako haaaa
 
Raia Fulani,

Obuntu anapenda kufahamu ni nini kinaendelea hapa?
 
Mamito haya badala ya kunipa Msaada wanisema tena! Haya niambiea kawaudhi nini? Huyu jamaa?

Nisamehe my dear ni hasira tu ndo zimenipelekea huko.

Katudhalilisha wanawake eti sijui nini hebu soma hapa

Hawana subira. Si wadadisi. Ni rahisi kushawishiwa, hasa mwanaume akiwa mambo safi. Tamaa yao iko hivi; kama mwanaume aonavyo maungo ya kike na akili kumruka, ndivyo walivyo mabinti (wengi) waonapo mazingira ya mali. Tena zaidi gari. Siwasemi vibaya. Wanam conclude mwanaume kwa kumtazama tu. Wasiyajue ya nyuma ya pazia. Humpati mwanamke kwa tenzi za rohoni (kirahisi hata kigumu) tena bali kwa kutanguliza ulicho nacho kwanza. Wanaume wa ndoto zao ni wachache ndio maana ni rahisi kumilikiwa na mwanaume mmoja hata wakiwa watatu. Cha msingi wapate mahitaji yao 'muhimu'-saluni, vocha, usafiri, mlo, viwalo, kodi. Sex imaweza isiwe lazima. Anajua to calm hamu hata kama ni kwa kuibia, kujichua ama wao kwa wao! Si tunaona wakilana madenda laivu kwenye media? Nisiseme sana. Sie wanaume tunapenda muwe wadadisi na wenye subira. Hayo mawili ni msingi wa mengine
 
Nakusalimu pia Kimey,heshima yako mkuu!
mi mzima niko tu nasubiri mwanaume wangu mwenye hela na ushawishi aje tutoke tuje kaunta ya juu tufurahi na Kimey,tule nyama choma na vinginevyo....!!!
Dah who is the lucky man? Nawasubiri hapa counter! Btw umenionea Cleaner au mlima zunzu?
 
bado hujaosha kinywa tu? Afu yaelekea una hasira na mi particularly. Unanifaham?

hahah ona unavyojishuku???mwanaume hawi hivyo......inaelekea yamekuingia huko uliko mpk unahisi nakuongelea wewe?! unalo hilo!!...wee jifanye hadija kopa nikuonyesha kazi kwa kukuvalisha kanga mwanaume mchana kweupeeee!:mullet:
 
hahah ona unavyojishuku???mwanaume hawi hivyo......inaelekea yamekuingia huko uliko mpk unahisi nakuongelea wewe?! unalo hilo!!...wee jifanye hadija kopa nikuonyesha kazi kwa kukuvalisha kanga mwanaume mchana kweupeeee!:mullet:
Just calm down pliz
 
hahah ona unavyojishuku???mwanaume hawi hivyo......inaelekea yamekuingia huko uliko mpk unahisi nakuongelea wewe?! unalo hilo!!...wee jifanye hadija kopa nikuonyesha kazi kwa kukuvalisha kanga mwanaume mchana kweupeeee!:mullet:

Umenichekesha mpaka watoto wangu wamekuja niuliza nacheka nini??
 
Back
Top Bottom