The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Acha tu hommie hii thread imekuwa kama makaa ya motoMi nimedandia treni kwa mbele kisa nini ati?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu hommie hii thread imekuwa kama makaa ya motoMi nimedandia treni kwa mbele kisa nini ati?
u always miss the points. Unapojibu hoja hata hufikirii iliyotangulia ilisemaje. Unyamaze tu maana nakuona unajibu kighadhabu
Michelle nakusalimu! Muzima wewe? Karibu counter ya juu!siendi mahali kaka,nipo tu,namzingua Babu aishi maisha marefu!!
Halafu pliz calm down sis
Michelle nakusalimu! Muzima wewe? Karibu counter ya juu!
you cant even present strong argument,mtu akichallenge upupu wako unaishia kuwa verbal....inferiority complex inakusumbua!...sishangai sababu hizo findings wanaziletaga watu wenye inferiority complex kama wewe!
"Anger dwells only in the bosom of fools. AND Anger is never without a reason, but seldom with a good one
By Albeit Einstein
sitafuti mtu,sore tena nyie masharobaro mnipitie mbali!:A S 13:
Mamito haya badala ya kunipa Msaada wanisema tena! Haya niambiea kawaudhi nini? Huyu jamaa?
Duh!!!!!Sijakwambia wewe. Mbona unanifata fata??? Mie nimekuacha wewe bado tu na vidhungu vyako nimekwambia sielewi viingereza vyako haaaa
Sijakwambia wewe. Mbona unanifata fata??? Mie nimekuacha wewe bado tu na vidhungu vyako nimekwambia sielewi viingereza vyako haaaa
Dah who is the lucky man? Nawasubiri hapa counter! Btw umenionea Cleaner au mlima zunzu?Nakusalimu pia Kimey,heshima yako mkuu!
mi mzima niko tu nasubiri mwanaume wangu mwenye hela na ushawishi aje tutoke tuje kaunta ya juu tufurahi na Kimey,tule nyama choma na vinginevyo....!!!
:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:love it,wakiona tunachangia wanajua tunahitaji....wangejua???maskini mashalobaro.......!!!!!
bado hujaosha kinywa tu? Afu yaelekea una hasira na mi particularly. Unanifaham?
Acha tu hommie hii thread imekuwa kama makaa ya moto
Just calm down plizhahah ona unavyojishuku???mwanaume hawi hivyo......inaelekea yamekuingia huko uliko mpk unahisi nakuongelea wewe?! unalo hilo!!...wee jifanye hadija kopa nikuonyesha kazi kwa kukuvalisha kanga mwanaume mchana kweupeeee!:mullet:
hahah ona unavyojishuku???mwanaume hawi hivyo......inaelekea yamekuingia huko uliko mpk unahisi nakuongelea wewe?! unalo hilo!!...wee jifanye hadija kopa nikuonyesha kazi kwa kukuvalisha kanga mwanaume mchana kweupeeee!:mullet: