Mabinti wa leo

Mabinti wa leo

RF tafadhali sana usinitafutie BAN jioni hii sawa???

hivi Dena unaelewaga somo?? usibishane na:bange::bange::bange: uta:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1: halafu mimi nitakuwa :disapointed::disapointed::disapointed:,ewaaaaaa!!!!!
 
Dena tumia hoja. Si vitisho na kurubuni. Ukali wako hausaidii maana unakasirika na key board tu.
 
mkuu pamoja sana............!
kweli tupu....................!
sio wote, lkn asilimia kubwa ndivyo walivyo kabisa........................!
usitishwe na makelele mkuu..............!
Hii thread imesaidia kuona upande mwingine wa sarafu wa baadhi ya members niliodhani wana hekima na heshima.............!

:A S 13::A S 13: wewe acha :blah::blah::blah:,watu kutofautiana mitazamo si kukosa hekima na heshima.....hivi kuna tuzo ya hekima na heshima?

here is where we dare to talk openly,stop judging others!!......em tuendelee jamani,where is Roselyne??
 
hivi Dena unaelewaga somo?? usibishane na:bange::bange::bange: uta:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1: halafu mimi nitakuwa :disapointed::disapointed::disapointed:,ewaaaaaa!!!!!

Haya nimeelewa dear ngoja ni:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
 
:A S 13::A S 13: wewe acha :blah::blah::blah:,watu kutofautiana mitazamo si kukosa hekima na heshima.....hivi kuna tuzo ya hekima na heshima?

here is where we dare to talk openly,stop judging others!!......em tuendelee jamani,where is Roselyne??

lol................!
sawa dadangu nakuahidi kuacha maana sina cha kuongeza kwenye aliyosema mkuu RAIA FULANI..............!
lol.....................!
 
lol................!
sawa dadangu nakuahidi kuacha maana sina cha kuongeza kwenye aliyosema mkuu RAIA FULANI..............!
lol.....................!

ukweli mtupu....mi mwenywe sikuwa na la kuongeza......l.o.l

usiwe unapotea kihivyo,wewe mpaka uone thread ka hili ndo unakuja bwana??? mi sijapendezwa.....l.o.l:hand::hand:
 
kutongoza hujui wewe ndo maana unaokutana nao wanakuchuna tu
 
ukweli mtupu....mi mwenywe sikuwa na la kuongeza......l.o.l

usiwe unapotea kihivyo,wewe mpaka uone thread ka hili ndo unakuja bwana??? mi sijapendezwa.....l.o.l:hand::hand:

kama dena amsi hatajali itabidi nikutafutie zawadi itakayokupendeza.................!
sipotei kihivyo kila siku lazima nije kuchungulia kama Dena Amsi wangu yuko fresh.............!
 
ukweli mtupu....mi mwenywe sikuwa na la kuongeza......l.o.l

usiwe unapotea kihivyo,wewe mpaka uone thread ka hili ndo unakuja bwana??? mi sijapendezwa.....l.o.l:hand::hand:

nina wasi na ufahamu wako. Em rejea uliyoandika yote ulinganishe na nilichonukuu. Otherwise asanteni kwa michango yenu. Narudia tena! Common colores are black n white
 
Back
Top Bottom